Dkt. Bashiru: Baada ya mzee Kikwete kuingia kura zetu (CCM) zilianza kuporomoka

Kikwete akiamka huko na vijembe vya kikwere mnaanza kutafutana kumbe mnatafuta wenyewe mstaafu wa watu.
Kwa mwaka huu mfano tunao kwenye serikali za mitaa CCM ilipita bila kupingwa.
Awamu iliyopita walikua wanang'ata na kupuliza ila sasa hivi mnang'ata tu mpaka wananchi wanaona kinachoendelea bila kificho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CCM inapaswa kutangazwa ni kikundi haramu. Na huyu Bashiri ni kiongozi wa genge haramu. Akamatwe ashtakiwe kwa makosa ya uhaini na kuongoza genge haramu.
 
Al Bashir

Mpuuzi kweli huyu dikteta wa Sudan

CCM sasa wanaanza kutegemea dhana ya kudanganya kwa kutengeneza Siasa za Kufikirika zisizo na ukweli yaani Utopia.

Walianza kutengeneza adui wakufikirika mabeberu-ruhani wasiokuwepo, sasa wanatengeneza pepo / paradise ya nchi ya kusadikika iliyoendelea isiyokuwepo.
 
Mkuu,
Ukijua baba yako kutoa hela mpaka umsifie basi utasifu hata ujinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
WATU WANA IMANI NA UCHAGUZI,BUNGE LINA HESHIMA! Kauli za uchochezi hizi.
 
Wametafuta ugomvi nje ya CCM imeshindikana. Sasa wanaanza kutafuta ugomvi ndani ya CCM yenyewe. Wanachotafuta watakipata muda so mrefu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa anatafuta "justification" maana kabla ya kuwa katibu mkuu alikuwa anaikosoa sana serikali na alivyoingia Magu wakampa ukatibu mkuu. (hapa amejibu indirect tatizo ilikuwa ni Kikwete na genge lake)
 
Naona kama wanaelekea huko ati. Wanang'pa na yale mema aliyoyaweka JK hasa kwenye uhuru wa mawazo na demokraska

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…