Uchaguzi 2020 Dkt. Bashiru: CCM mwaka huu itavunja rekodi kwa kupata ushindi mkubwa wa kihistoria kwa sababu tunashindana na vyama dhaifu sana!

Katika watuambao leo.hii ingekuwa mimi ndio mwenyekiti wa ccm ningewapiga chini ni huyu bashiru na polepole
Huyo mwenyekiti mwenyewe ni afadhali hata ya hao kina Bashiru, yeye hajawahi kuwa hata mjumbe wa nyumba 10.

Jk ndio mwanasiasa, alipoona mamba hayaendi sawa aliishawishi kamati kuu ya ccm yote ijiudhuru ili apewe na nafasi ya kuiunda upya.
 
Kwao jimbo linachukuliwa na CHADEMA asubuhi alafu anatuletea porojo zake sasa eti upinzani dhaidlfu
 
Bashiru na Polepole ndio wameiuwa CCM, wametoa ushauri mbaya wa kuihujumu CCM.
1.Kununua wanaopigiwa kura badala ya wapiga kura.
2.Kutopeleka maendeleo majimbo ya upinzani mfano Arusha, Moshi, Manyara,Mbeya, Mara hili limesababisha CCM kuchukiwa huko.
3.Kuwatumia polisi kuwanyanyasa wapinzani, hii imeleta matokeo positive badala ya negative, hapa nawapongeza Sana polisi wamefanya kazi nzuri Sana ya kuibomoa CCM kwa miaka 5 kwa kuifanya CCM izidi kuchukiwa zaidi na wananchi juu ya matendo yao ya kuwaumiza wapinzani, hili la matumizi ya polisi ccm ndio wameloose zaidi na upinzani umejengeka zaidi maana watz awapendi uonevu kwa hili upinzani utapata kura nyingi Sana za watz wasiopenda uonevu kwa hili polisi washukuriwe Sana Sana kwa kazi nzuri ya kuujenga upinzani nchini.
4.Kutumia dola kuijenga ccm badala ya nguvu ya umma nguvu ya ushawishi, hii mbinu ikifaa miaka ya 70 na sio kizazi cha sasa chenye global vision kimeona yaliyotokea Malawi, Zimbabwe, Sudani, Tunisia huwezi ukakipropaganda mfu ni sijui Libya.
 
Sasa mbona rafu nyingi mapingamizi, kuenguliwa wagombea, kutekwa na kupigwa wagombea wasirudishe fomu, nafikiri ndio udhaifu anaouzungumzia, tukihesabu kura tutajua
 
Ccm ni chama dhaifu sana kwa sasa, hakiwezi ushindani kinategemea kubebwa na polisi ama tume kwa kuengua kihuni wapinzani na kumtangaza matokeo fake kwa nguvu

 
Ushindi upi? Bado mna ndoto za kuiba kura tu?
Awamu hii tutajua mbivu na mbichi
Utafanyaje wewe mnyanyembe,zaidi ya kukimbilia kulalamika mitandaoni?
na uchaguzi ukiisha ni marufuku siasa mpaka uchaguzi ujao,taarifa ya habari ndo hiyo.
 
Umenichekesha mkuu, uko timamu na serious kweli??

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Je unahitaji kulima mahindi na hauna muda wa kusimamia? Au unataka upate mavuno mengi zaidi? Njoo ofisini kwetu.

Ofisi ya YAD yenye wataalamu wabobezi wa kilimo sasa inakuletea mpango wa kusimamia shughuli zote za shambani. Mkulima utatukabidhi shughuli zako pale shambani kwako sisi tutafanya kila kitu kwa utaalamu zaidi na kukukabidhi mazao yako yakiwa yamekomaa. Gharama zetu ni nafuu sana na tunakuhakikishia kwa ekari moja kuvuna mahindi zaidi ya gunia 30. Usihangaike sasa, sisi tupo kwa ajili yako, Kwa Wale ambao hawana mashamba tutakuwezesha kupata mashamba ya kukodi kwa elfu 40 tu na mashamba ya kununua kwa elfu 60 tu hata ukihitaji ekari 100 za kununua utazipata kwa bei hiyo hiyo.

Kwa maelezo zaidi fika ofisini kwetu.
Jengo la NSSF SONGEA
Ghorofa ya 3 chumba no. 317
Simu. 0621133117
 
Kama maneno hayo yametamkwa na Bashiru, basi ni dhahiri tunao watu wanaitwa madokta lakini bado wanaendelea kuwa wajinga, kwa sababu ya unafiki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kinyume chake.
 
Chemical Ali waziri wa propaganda wa Sadam Hussein alikuwa anasema wanajeshi watiifu wa serikali wameliangamiza kabisa jeshi la Marekani kumbe wakati huo Sadam Yuko chini ya shimo Kama panya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…