Dkt. Bashiru: Tundu Lissu anaumwa 'Ugonjwa wa Deko'

Dr feki Raia wa Rwanda tokea lini akajua malezi Tanzania?
Basi kwakuwa na Dr. Vincent ni mtu wa kanda ya ziwa naye ni mrundi[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Bavicha mnayo matatizo ya kimsingi
 
Ha ha haaaaa Dr Bashiru PhD anayekula mema ya nchi na Dr Mollel kiazi toka Shule ya meno muhimbili... Tuna shida Sana kama taifa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hivi shaba zooote mwilini!! bado mnasema anadeka!! kweli huruma imeisha duniani!!
 
Huyu nae ni msomi! Hivi tumeingiwa na mdudu gani nchini? Kwahiyo hapo msomi amejenga hoja? Yajayo yanafurahisha
 
ccc.wanafunzi woteee wa bashiru eti huyu ndo alikua bingwa wa sayansi ya siasa katika chuo bora(kama watambavyo DAI wana UD).

yeye anaona ni sifa kuzunguka atakavyo huku washindani wake hawaruhusiwi.au kw a usomi wake afanyacho yeye na akina moja kichwani sio siasa?.
 
Dr. Tatizo lako ni kwamba viatu vya mtangulizi wako Kinana vimekupwaya! Huna hoja acha porojo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shibe mwana malevya, njaa mwana malegeza. Mwenye shibe hamjui mwenye njaa. Mzigo wa mwenzio kanda la usufi.
 
Hahhahahhhahhaaaaaaaaaaahhahhahhahhah Dkt.Bashiru kapatia kabisa.
Jamani si mikutano ya kisiasa ilipgwa marufuku? Inakuwaje Bashiru anaruhusiwa kutangatanga na mabo ya siasa? Halfu juzi wakati JPM anaongoea na viongozi wa dini alipoulizwa kuhusu kuruhusiwa mikutano ya kisiasa alijibu mikutano inayoruhusiwa tu ni ile ya wabunge wakiwa katika majimbo yao, kwa kuwa wakienda kwenye majimbo mengine wanatukana. Sasa hapa mbona naona Bashiru anamtukana Tundu Lissu?
 
Unawashwa wewe siyo bure

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…