Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 12,444
- 18,741
kwahiyo ni mwendo wa KUDHIBITI ndio walichosomea chuoUsisahau KUDHIBITI maandamano, KUDHIBITI sauti za wengine ..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwahiyo ni mwendo wa KUDHIBITI ndio walichosomea chuoUsisahau KUDHIBITI maandamano, KUDHIBITI sauti za wengine ..
Wanataka mtumie hii🐼👇Najiuliza ikitokea dharula yoyote gari ikaishiwa mafuta njiani itakuwaje endapo hawataweza kuletewa mafuta kwenye madumu?
kwahiyo ni mwendo wa KUDHIBITI ndio walichosomea chuo
Tusaidie wewe watumie mbinu gani kupata hayo mafuta wakayaweke kwenye magenereta yao au mashine zao nyinginezoHilo sio zuio, ni ukweli.
Petrol ni maafa, isioo hifadhiwa vizuri.
Tangu enzi za mkapa walikuwa wanstumia mbinu Gani kupata hayo mafuta
Huu ni mradi wa kijinga mnataka kubuni au kuanzisha.
Ewura wanafanya kazi nzuri ni kibano kibakie hapo hapo
Ni copy and paste kutoka first class world. Siwatofsutishi na Tanroads amabo wanatumia sheria vipimo ya uingereza yenye ufinyu wa adrhi ilhali hapa kwetu tuna ardhi ya kutosha.Aisee wakati wanatunga sheria walitumia reasoning yoyote kweli?
Changamotoo sana hamna wakututetea inaumiza sana wakulima huyu aliyetunga sheria hii Mungu anamuonaKuna hali mbaya inaendelea huku vijijini baada ya sheria, kanuni au amri ya kukataza wananchi wanaoenda vituo vya kuuzia mafuta na dumu au galoni wasiuziwe mafuta.
Hii sheria au amri haikuzingatia maisha halisi ya nchi masikini kama Tanzania.
Kuna mashine za kusaga nafaka, kukamua mafuta, kusindika vyakula vya binadamu na mifugo, mashine za kilimo cha umwagiliaji ambazo zinatumia nishati ya diesel au petrol.
Huwezi kubeba hizi mashine kwenda nazo petrol filling station ( sheli ).
Mimi nafanya kilimo cha umwagiliaji kutumia mashine kubwa ambayo ipo fixed, mounted karibu na chanzo cha maji. Bado kidogo nipate hasara baada ya kukosa mafuta. Mashine hii pia naitumia kupandisha maji kwenye mabanda ya mifugo na makazi yaliyopo juu mlimani.
Nilikosa maji siku 4 Hali ilikuwa mbaya.
Imenilazimu kununua mafuta ya uchochoroni kimagendo ambayo ni hatari. Pia yanaweza kuwa machafu yakaharibu mitambo. Mafuta haya huchangia wizi wa mafuta na serikali inakosa kodi.
Nawaomba mtume watu vijijini kupata hali halisi. Kuna watu watapata hasara kubwa au kupoteza maisha kwa kukosa mafuta.
Huku shamba kuna watu wamejiajiri na kuajiri kwenye biashara za kukamua mafuta ya mawese(ya chikichi). Wanatumia diesel kazi zimesimama.
Watu wote hawana gari za kwenda kununulia diesel sheli na wengi hawajui kwa kupata mafuta ya magendo.
Najiuliza ikitokea dharula yoyote gari ikaishiwa mafuta njiani itakuwaje endapo hawataweza kuletewa mafuta kwenye madumu?
Najua Kuna utaratibu mpya wa kutoa leseni ya kujenga vituo vidogo vya watu wenye mtaji mdogo vya kuuza mafuta vijijini. Lakini bado mteja mwenye mashine atakatazwa kwenda na dumu kununua mafuta, na mashine hawezi kwenda nayo kituoni atafanyeje huyu mteja?
Sheria zetu zingine zinaififisha juhudi za kukuza uchumi wetu sekta ya kilimo.
Jerry can soon kuna mtu ataziingiza na kuziuzaaa kwaKuna vidumu maalumu vya petrol waruhusu hivyo, kwa mfano hapo wizarani kwake akitaka mafuta ya Generator anapataje ? wasitufanye watanzania mbumbumbu..
View attachment 3110781