Dkt. BITEKO na EWURA, Zuio la kuwauzia mafuta wateja wenye dumu (gallon) linaleta maafa vijijini kwa wakulima wanaotumia mashine za diesel na petrol

ukitaka mafuta ya generator unabeba generator lako unapeleka sheli ?
 
Niliwafikiria watunga sheria , nikajua wanapiga marufuku magaloni ya plastick lakini labda kuna cane maalumu za alminium au chuma zipo zimeanza kuingia special kwa wanaobeba mafuta kwaajili ya shamba na sehemu nyingine za mbali kumbe wapi, haya vijiji vingi havina fuel station , hii maana yake wenye powertillers, bodaboda, trekta , bajaji waliopo vijijini wafanyeje?
 
Hilo sio zuio, ni ukweli.
Petrol ni maafa, isioo hifadhiwa vizuri.
Tangu enzi za mkapa walikuwa wanstumia mbinu Gani kupata hayo mafuta
Huu ni mradi wa kijinga mnataka kubuni au kuanzisha.
Ewura wanafanya kazi nzuri ni kibano kibakie hapo hapo
 
Haya maelekezo mengine wanayatoa kwa mihemko na jazba.. hawafanyi kwanza utafiti.
 
Hilo sio zuio, ni ukweli.
Petrol ni maafa, isioo hifadhiwa vizuri.
Tangu enzi za mkapa walikuwa wanstumia mbinu Gani kupata hayo mafuta
Huu ni mradi wa kijinga mnataka kubuni au kuanzisha.
Ewura wanafanya kazi nzuri ni kibano kibakie hapo hapo
Tusaidie wewe watumie mbinu gani kupata hayo mafuta wakayaweke kwenye magenereta yao au mashine zao nyinginezo
 
Watafute njia mbadala,sisi wenye vigari vyetu tusioweza kujaza full tank kuna mida kigari chako kinakuishia mafuta maporini huko,hivi vipetrol station bubu vya vidumu ndio mkombozi wetu...
 
Tatizo uwezo mdogo wa viongozi wetu.Hawaangalii mambo Kwa upana.wao wanaangalia mazingira Yao tu yanaowazunguka.Mimi Huku kijijini Nina makarasha yangu ya kusaga mawe ya dhahabu ambapo mafuta Huwa nafata Kwenye madumu kilomita 50 kwenda mjini.Hii Hali ya kuzuia madumu imenichanganya maana nimejiajiri hapa kwenye mradi wangu ninaoupenda.Kutuletea umeme kijijini hamutaki na mafuta kubeba kwenye madumu na hiyo hamutaki.Hivi huyu kizimkazi anajua maana ya uongozi kweli?
 
Kama tuliku tuna nunua petrol, mafuta ya taa na dizel hadi kwenye mabobo ya maji ya kunywa na kwenye chupa za soda na hatukupata madhara yeyote sasa kwa akili ndogo sana Ukiachana na habari za vijijini . Swali dogo na la kijinga la kujiuliza ni vipi kama generator likiisha mafuta. je, tutalibeba na kwenda nalo huko kwenye station wanako jazia mafuta ?

Nb: Au kuna biashara za mabepari za magoni ya kubebea mafuta wanatafuta soko kwa nguvu?
 
Mara kadhaa huwa nasema humu Tanzakiza Kuna wapumbavu ambao ndo wapo kwenye ngazi za maamuzi/kimaamuzi.

"60% ya watumishi waliopo serikalini Wana uwezo mdogo"Prof Asad.
 
Hiyo sheria labda itemise dar tu sio huku vijiji kwetu au watu wa mwambao wa pwani ambao both zao zinatumia mafuta ya dizel au petrol mana huwezi kubeba mashine ukaenda nayo sheli kila siku ni usumbufu.

Chadema hawana makali hayo msiwaogope mana naona mnadhani kama vijana wao ndio wanunuaji wakuu kwa ajili ya maandano
 
Changamotoo sana hamna wakututetea inaumiza sana wakulima huyu aliyetunga sheria hii Mungu anamuona
 
Acha wafanye wanavyotaka,maana watz wengi. ndivyo tulivyo.
Maisha magumu acha ayaseme Mbowe,wengine endeleeni kujifungia ndani.
Na kelele nyingi zinapigwa nyuma ya kibodi🤣🤣🤣.
Tena kama nyie wa vijijini ndo hamfai kabisa🦻.
Wachache wanajielewa.
Kuna watu bado Wana tishert za 2010 za kikwete wanazitinga🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…