Uchaguzi 2020 Dkt. Charles Kimei Mbunge mtarajiwa Vunjo

Uchaguzi 2020 Dkt. Charles Kimei Mbunge mtarajiwa Vunjo

Kha! Eti Marangu Mamba Komakundi. Huyo alieandika hivyo atakuwa mpiga debe wa mabasi ya mwika
Ndio mkuu mi nimpiga debe hapa Kisambo cha Muhimu mkono unaenda kinywani.#Thanks #VunjoKimei #Tumechelewa.
Urakoze chane.
 
Yaani hawa ndio watu yaani jina lake ukiliona,huitaji hata kufikiria mara mbili kwani CV yake yenyewe ina mbeba.

Hawa wagombea waongea hovyo wengine wasela hawato tusaidia.
 
Yaani hawa ndio watu yaani jina lake ukiliona,huitaji hata kufikiria mara mbili kwani CV yake yenyewe ina mbeba.

Hawa wagombea waongea hovyo wengine wasela hawato tusaidia.
Yani bado unategemea Kimei awe vile vile akiingia kwenye siasa? Mkuu hujui politics nini atafanya ujinga nae tu
 
Hapo wakuangalia nafasi yake vizuri endapo akipata ubunge ni Bashungwa, sio Mpango.

Huyu atashinda asubuhi tu iwapo CCM itampitisha. Mbatia kakimbia na bilioni 7 za wananchi alizozichangisha kwa ajili ya barabara hadi leo kimya tu.
Naunga mkono hoja yako.
 
Magu hawezi kumpa mchaga eneo lolote lenye fedha.

Unafikiri kwanini Dr. Mpango kadumu hiyo wizara na Magu miaka 5? Mzee huyu wa Kiha ni Mbishi na baili kwenye pesa Magu haoni ndani.
Muulize Bashite alivyoleta makontena yake ya madili akajitutumua akidhani mzee Baba angeuruma Mpango aingie mstari.
Magu hawezi mtoa Mpango pale, hata akikosa ubunge huko Kigoma, Magu atampa tena ubunge wa kuchaguliwa.
Waha wanasifa kuu tatu> Kufanya kazi kwa bidii, ubishi na ubahili. ... Mpango bado anatosha MOF. Kimei angetosha sana wizara ya biashara na viwanda. 🤔
 
Waha wanasifa kuu tatu> Kufanya kazi kwa bidii, ubishi na ubahili. ... Mpango bado anatosha MOF. Kimei angetosha sana wizara ya biashara na viwanda. 🤔
Nililisema hili, Kimei apewe wizara ya Biashara na Viwanda.. Hii Wizara inahitaji mtu competent sana.. Bashungwa ni kama vile imemmeza..
 
Hiyo ofisi hapewi mchaga hata wakimroga Magu.

Magu anakwambia, hapendwi mtu, inapendwa pesa kwake. Magu amefanya kazi kubwa sana kuwatoa wachaga Hazina na TRA hawezi fanya ujinga huo. Kimei amejaza wachaga kila tawi la CRDB, Magu hawezi ruhusu warudi sehemu nyeti za pesa ya nchi hii akiwa madarakani.
Na iwe hivyo aisee!
Ilikuwa too much!

JESUS IS LORD[emoji120]
 

Habari za asubuhi wadau. Hapa Marangu Mamba Komakundi kibaridi ni kikali 12 centigrade.

Wapambe ni wengi nyumbani kwa Dokta Kimei hapa baada ya kujua Dokta atachukua fomu ya Ubunge Jimbo hili la Vunjo kupitia CCM.

Wapinzani wake wengi bado ni wachovu kama DC wa Zamani Chonjo.
Kila la heri Dokta Kimei.

Mwakeye
Ni kweli inasemekana Dkt Kimei ataomba ridhaa ndani ya CCM lakini hajaonekana popote akizungumza na wanaccm au wananchi kutafuta kuungwa mkono au kuelezea nia yake. Pamoja na kutoonekana kwake ndiye anayetajwa zaidi miongoni mwa wananchi walio wengi kama mtu sahihi atakayekipa chama cha mapinduzi ushindi wa kimbunga.
 
Kimei namkubali sana kama tu Former CEO wa CRDB, Pale alipiga kazi vizuri.

Ubunge; kupitia CCM na wasifu wake huko nyuma asilimia za kuupata ni kubwa sana.

Uwaziri; kwa kabila alilotokea na jinsi watu wanavyomsifia sanaa na nnavyojua Uncle JJ asivyowakubali watu wanaoweza kumficha kwa sifa uwaziri kuupata asilimia ni ndogo.

Hayo ni maoni sema lolote linaweza kutokea, kumtabiri uncle nayo ni kazii🙏
Naungana na wewe kabisa, Ubunge atapata ila kwenye uwaziri asahau. Magufuli ana alergy na wachaga, hawezi kumpa ofisi nyeti hivo ya wizara ya fedha.

Hapo labda ampe wizara ya viwanda na biashara ila sio fedha
 
Magufuli ampe Kimei/Mchaga uwaziri wa fedha ?Unaota wewe. Ungejua jinsi Dotto anamvyomcontrol waziri wa fedha aliepo wala usingetamani Kimei kuwa waziri wa fedha. Kimei analenga uwaziri ila ni asilimia ndogo sana Kimei kupata uwaziri kwenye serikali ya Magufuli.
Huelewi utendaji serikalini uliza ueleweshwe.Katibu Mkuu ndiyo Accounting Officer, sisi waelewa tungeshangaa kama waziri angempelekesha KM. Hongera Dotto kwa kujua mipaka ya kazi.
 

Habari za asubuhi wadau. Hapa Marangu Mamba Komakundi kibaridi ni kikali 12 centigrade.

Wapambe ni wengi nyumbani kwa Dokta Kimei hapa baada ya kujua Dokta atachukua fomu ya Ubunge Jimbo hili la Vunjo kupitia CCM.

Wapinzani wake wengi bado ni wachovu kama DC wa Zamani Chonjo.
Kila la heri Dokta Kimei.

Mwakeye
charles kimei ndo wapi tena uku anaenda mbona naona kama anapotea njia
kwa cv yake ubunge naona kama anaenda kujishushia heshima au tenda ya aggregates kule sgr imeisha
 
Kama yupo vizuri kichwani basi naona kapotea njia maana huko kwenu ccm ukiingia na akili basi ukishaingia unakuwa zuzu kama wewe
Ni haki yake ya kikatiba kutia nia kugombea .Ni mtanzania aliyeipaisha sana CRDB ilikuwa inakufa kifo cha mende .Alifanya kazi kubwa kuifufua na kuifanya iwe juu mno hadi leo
Yuko vizuri mno kichwani
 
Back
Top Bottom