- Thread starter
- #141
Ndio mkuu mi nimpiga debe hapa Kisambo cha Muhimu mkono unaenda kinywani.#Thanks #VunjoKimei #Tumechelewa.Kha! Eti Marangu Mamba Komakundi. Huyo alieandika hivyo atakuwa mpiga debe wa mabasi ya mwika
Urakoze chane.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio mkuu mi nimpiga debe hapa Kisambo cha Muhimu mkono unaenda kinywani.#Thanks #VunjoKimei #Tumechelewa.Kha! Eti Marangu Mamba Komakundi. Huyo alieandika hivyo atakuwa mpiga debe wa mabasi ya mwika
Yani bado unategemea Kimei awe vile vile akiingia kwenye siasa? Mkuu hujui politics nini atafanya ujinga nae tuYaani hawa ndio watu yaani jina lake ukiliona,huitaji hata kufikiria mara mbili kwani CV yake yenyewe ina mbeba.
Hawa wagombea waongea hovyo wengine wasela hawato tusaidia.
Kimei CV inajieleza jamaa yupo vizuri sina shaka nae,tunataka watu ambao vichwani wapo vizuri.Yani bado unategemea Kimei awe vile vile akiingia kwenye siasa? Mkuu hujui politics nini atafanya ujinga nae tu
Naunga mkono hoja yako.Hapo wakuangalia nafasi yake vizuri endapo akipata ubunge ni Bashungwa, sio Mpango.
Huyu atashinda asubuhi tu iwapo CCM itampitisha. Mbatia kakimbia na bilioni 7 za wananchi alizozichangisha kwa ajili ya barabara hadi leo kimya tu.
Huo uzuri wa kichwani ataacha getini mwa chama cha siasa na kuingia akiwa emptyKimei CV inajieleza jamaa yupo vizuri sina shaka nae,tunataka watu ambao vichwani wapo vizuri.
Waha wanasifa kuu tatu> Kufanya kazi kwa bidii, ubishi na ubahili. ... Mpango bado anatosha MOF. Kimei angetosha sana wizara ya biashara na viwanda. 🤔Magu hawezi kumpa mchaga eneo lolote lenye fedha.
Unafikiri kwanini Dr. Mpango kadumu hiyo wizara na Magu miaka 5? Mzee huyu wa Kiha ni Mbishi na baili kwenye pesa Magu haoni ndani.
Muulize Bashite alivyoleta makontena yake ya madili akajitutumua akidhani mzee Baba angeuruma Mpango aingie mstari.
Magu hawezi mtoa Mpango pale, hata akikosa ubunge huko Kigoma, Magu atampa tena ubunge wa kuchaguliwa.
For me na amini atalisaidia taifa.Huo uzuri wa kichwani ataacha getini mwa chama cha siasa na kuingia akiwa empty
Nililisema hili, Kimei apewe wizara ya Biashara na Viwanda.. Hii Wizara inahitaji mtu competent sana.. Bashungwa ni kama vile imemmeza..Waha wanasifa kuu tatu> Kufanya kazi kwa bidii, ubishi na ubahili. ... Mpango bado anatosha MOF. Kimei angetosha sana wizara ya biashara na viwanda. 🤔
[emoji87][emoji848][emoji23][emoji23]Mbatia amelinyea jimbo. Aende zake. Hata upinzani haeleweki. Akapewe ubunge wa viti maalumu vya kina mama. Ana uzoefu navyo, alishaingia mjengoni kwa upendeleo wa Rais. Dume zima!!!!!
Na iwe hivyo aisee!Hiyo ofisi hapewi mchaga hata wakimroga Magu.
Magu anakwambia, hapendwi mtu, inapendwa pesa kwake. Magu amefanya kazi kubwa sana kuwatoa wachaga Hazina na TRA hawezi fanya ujinga huo. Kimei amejaza wachaga kila tawi la CRDB, Magu hawezi ruhusu warudi sehemu nyeti za pesa ya nchi hii akiwa madarakani.
Sina la kuongeza!heri jimbo wapewe sisiem lakini sio Mbatia,shenzi sana arudi kwenye viti maalumu na kina mama wenzie
Ni kweli inasemekana Dkt Kimei ataomba ridhaa ndani ya CCM lakini hajaonekana popote akizungumza na wanaccm au wananchi kutafuta kuungwa mkono au kuelezea nia yake. Pamoja na kutoonekana kwake ndiye anayetajwa zaidi miongoni mwa wananchi walio wengi kama mtu sahihi atakayekipa chama cha mapinduzi ushindi wa kimbunga.
Habari za asubuhi wadau. Hapa Marangu Mamba Komakundi kibaridi ni kikali 12 centigrade.
Wapambe ni wengi nyumbani kwa Dokta Kimei hapa baada ya kujua Dokta atachukua fomu ya Ubunge Jimbo hili la Vunjo kupitia CCM.
Wapinzani wake wengi bado ni wachovu kama DC wa Zamani Chonjo.
Kila la heri Dokta Kimei.
Mwakeye
Naungana na wewe kabisa, Ubunge atapata ila kwenye uwaziri asahau. Magufuli ana alergy na wachaga, hawezi kumpa ofisi nyeti hivo ya wizara ya fedha.Kimei namkubali sana kama tu Former CEO wa CRDB, Pale alipiga kazi vizuri.
Ubunge; kupitia CCM na wasifu wake huko nyuma asilimia za kuupata ni kubwa sana.
Uwaziri; kwa kabila alilotokea na jinsi watu wanavyomsifia sanaa na nnavyojua Uncle JJ asivyowakubali watu wanaoweza kumficha kwa sifa uwaziri kuupata asilimia ni ndogo.
Hayo ni maoni sema lolote linaweza kutokea, kumtabiri uncle nayo ni kazii🙏
Huelewi utendaji serikalini uliza ueleweshwe.Katibu Mkuu ndiyo Accounting Officer, sisi waelewa tungeshangaa kama waziri angempelekesha KM. Hongera Dotto kwa kujua mipaka ya kazi.Magufuli ampe Kimei/Mchaga uwaziri wa fedha ?Unaota wewe. Ungejua jinsi Dotto anamvyomcontrol waziri wa fedha aliepo wala usingetamani Kimei kuwa waziri wa fedha. Kimei analenga uwaziri ila ni asilimia ndogo sana Kimei kupata uwaziri kwenye serikali ya Magufuli.
charles kimei ndo wapi tena uku anaenda mbona naona kama anapotea njia
Habari za asubuhi wadau. Hapa Marangu Mamba Komakundi kibaridi ni kikali 12 centigrade.
Wapambe ni wengi nyumbani kwa Dokta Kimei hapa baada ya kujua Dokta atachukua fomu ya Ubunge Jimbo hili la Vunjo kupitia CCM.
Wapinzani wake wengi bado ni wachovu kama DC wa Zamani Chonjo.
Kila la heri Dokta Kimei.
Mwakeye
heri jimbo wapewe sisiem lakini sio Mbatia,shenzi sana arudi kwenye viti maalumu na kina mama wenzie
Ni haki yake ya kikatiba kutia nia kugombea .Ni mtanzania aliyeipaisha sana CRDB ilikuwa inakufa kifo cha mende .Alifanya kazi kubwa kuifufua na kuifanya iwe juu mno hadi leo
Yuko vizuri mno kichwani
Kwahiyo yule kirusi wenu Mbatia humtaki tena?Duuh, Waziri wa fedha mtarajiwa, kila la kheir