Kuna utapeli unaoweza kuzidi uli wa kuazima mgombea wa urais ambae nyie mliqminisha dunia kuwa alikuwa ni FISADI?CCM inafundisha utapeli watoto wadogo asee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna utapeli unaoweza kuzidi uli wa kuazima mgombea wa urais ambae nyie mliqminisha dunia kuwa alikuwa ni FISADI?CCM inafundisha utapeli watoto wadogo asee
Huo ndio msimamo wa maaskofu sio yeyeHuyo father ana uhakika? Alete ushahidi vinginevyo itabaki kuwa ile chuki ya wakatoliki kwa waislam ya siku zote.
Rudisha cheti chao. Mambo mengine ni rahisi tu. Omba chuo kingine ukasome. 😂😂Huyu Padre ni mjinga sana na najuta kusoma SAUT akiwa Vice Chancellor.
Ningerudisha bahati mbaya hicho chuo sio Cha Padre Kitima Wala sio cha babaake.Rudisha cheti chao. Mambo mengine ni rahisi tu. Omba chuo kingine ukasome. 😂😂
Una uhakika na maneno yako? Kama wewe hukusikia tamko haina maana kama tamko halikutolewa. Ni ujinga wako tu.Mwendazake alilipopora chaguzi za 2019 na ule mkuu 2020 mbona Mapadri na Maaskofu hawakutoa tamko. Kwa sasa hivi wamwache mama ajenge nchi na 2025 anaingia awamu ya pili Mungu akipenda.
Kwani kihezi ni shulenanayosoma au umriKanisa Katokili Nchini kupitia Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Nchini Dkt. Charles Kitima limelaani kitendo cha watoto wadogo kuandikishwa kwa ajili ya kupiga kura kitendo ambacho ni kibaya kufundisha watoto matendo maovu
😅😅😅 basi achana na majuto, kikubwa ulipata elimu na ndicho kilichokupeleka.Ningerudisha bahati mbaya hicho chuo sio Cha Padre Kitima Wala sio cha babaake.
Hizi ndiyo pesa walizo print juzi sasa wanazitumia hadi 2025Mama na mkwe maokoto hayadumu, maokoto hayafai. Watoto walikuwa wanapewa shilingi elfu sita na walimu itakuwa labda elfu sitini.
Anayo charismaSijawahi ona padri akihubiri kwa makelele hivyo mpaka nasikia ngoma ya masikio inataka kutoboka
Mtu kama huyu huwezi sikia kapewa land rover na MAMA yenu.Kanisa Katokili Nchini kupitia Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Nchini Dkt. Charles Kitima limelaani kitendo cha watoto wadogo kuandikishwa kwa ajili ya kupiga kura kitendo ambacho ni kibaya kufundisha watoto matendo maovu
Sasa wewe nani kakuambia uchangie!!! Yakizungumzwa masuala ya muhimu, ninyi hamtakiwi kushiriki kwenye mjadala. Acheni wenye akili timamu wachangie.Huyu Padre ni mjinga sana na najuta kusoma SAUT akiwa Vice Chancellor.
Kanisa Katokili Nchini kupitia Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Nchini Dkt. Charles Kitima limelaani kitendo cha watoto wadogo kuandikishwa kwa ajili ya kupiga kura kitendo ambacho ni kibaya kufundisha watoto matendo maovu
Kumbe anafahamika. Kigezo ni umri siyo Shule anayosoma Mtanzania.Ndio maana kanisa lilimtimua kuwa mkuu wa chuo.
"Huenda" lakini hakuna uthibitisho.Huenda hao watoto wana zaidi ya 18.
Hawa Sasa ndio maaskofu.Kanisa Katokili Nchini kupitia Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Nchini Dkt. Charles Kitima limelaani kitendo cha watoto wadogo kuandikishwa kwa ajili ya kupiga kura kitendo ambacho ni kibaya kufundisha watoto matendo maovu
🤣🤣 Sentensi fupi . Ielezee vizuri Dr shika, nijue nilivyoielewa ndiyo hivo hivo ulivyomaanisha.ccm ilishajifia chadema wanapambana na serekale
Kanisa katoliki halijanyamaza,kamuulize mwendazake.Mwendazake alilipopora chaguzi za 2019 na ule mkuu 2020 mbona Mapadri na Maaskofu hawakutoa tamko. Kwa sasa hivi wamwache mama ajenge nchi na 2025 anaingia awamu ya pili Mungu akipenda.
Hayo siyo mahubiri bali hotuba.Sijawahi ona padri akihubiri kwa makelele hivyo mpaka nasikia ngoma ya masikio inataka kutoboka