LGE2024 Dkt. Charles Kitima: Wameandikisha Watoto wa Shule ya Msingi na Sekondari kupiga Kura, mnawaharibu Watoto

LGE2024 Dkt. Charles Kitima: Wameandikisha Watoto wa Shule ya Msingi na Sekondari kupiga Kura, mnawaharibu Watoto

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
RC ni wadini sn wamezoea mbeleko Rais akiwa mwenzao
Lakini Waislamu walikuwa wanasema kuna baba wa Taifa tuambiwe mama ni nani?Lakini kumbe sasa kuna mama ssh hatusikii wakiuliza baba ni yupi?Wala BAKWATA huwasikii wakikataa mwanamke hawezi kuwa kiongozi,kwahiyo wapo kimya na mwanamke anatawala kiharamu kwa sababu ni mwislamu,huu ni ukhafiri ambao Waislamu wamehalalisha.
 
Huyo father ana uhakika? Alete ushahidi vinginevyo itabaki kuwa ile chuki ya wakatoliki kwa waislam ya siku zote.
Kutaka ushahidi ni hoja nzuri lakini hiyo hoja ya udini sijui umeitoa wapi.
 
Kanisa Katokili Nchini kupitia Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Nchini Dkt. Charles Kitima limelaani kitendo cha watoto wadogo kuandikishwa kwa ajili ya kupiga kura kitendo ambacho ni kibaya kufundisha watoto matendo maovu


Kanisa Katokili Nchini kupitia Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Nchini Dkt. Charles Kitima limelaani kitendo cha watoto wadogo kuandikishwa kwa ajili ya kupiga kura kitendo ambacho ni kibaya kufundisha watoto matendo maovu

Padri wa mchongo au?
Anongea kama yu klabu cha pombe ya wanzuki!
 
Unaandikisha watoto uliowanyima madawati, wanakaa chini hadi suruali zinatoboka halafu unategemea wakuchague! hakika CCM imepofushwa
 
Mchungaji alihamasisha watu wajiandikishe na kuchukua form za uongozi nikakataa na kusema tunahitaji tupambanie uadilifu wa uchaguzi nikapata mashambulizi ya ovyo sana!
Ukiingia kwenye mfumo mwovu wewe ni muovu!
Kwa nini usinge chukua fursa hiyo na kuungana na huyo "mchungaji" kuhimiza watu wakajiandikishe kwa wingi na kupiga kura kwa wingi zaidi kuikataa CCM?

Nami ninge kuwepo hapo ninge k "kukatalia" wewe, kwa sababu hayo unayo yaeleza ya uadilifu hayawezi kamwe kuwaondoa madarakani CCM kwa sasa hivi.
 
Sasa,CCM inapopayuka na kusema kinapendwa sana na kina wanachama wengi mnoo Tanzania huwa maana yake nini?
-wizi wa kura,wao.
-kuleta mamluki,wao.
-kuandikisha majina ya waliokosa sifa za kupiga kura k.m marehemu,watoto under 18 na majina bandia,wao.
Hii maana yake ni kukosa mvuto na ushawishi kwa wananchi.
Naaaaaam chama kimechokwa.
 
😅😅😅 basi achana na majuto, kikubwa ulipata elimu na ndicho kilichokupeleka.
Mengine endelea kupambana tu mkuu.
Uliishawahi kuona humu mimi nalialia? Namshangaa Padre Kitima ambaye analialia wakati isingelikuwa Serikali kutoa mikopo SAUT ingelikuwa na wanafunzi hawzidi mia mbili. Halafu muilize kama una contact naye kwamba fedha ya "Mizelia" kwanini ilikuwa hawapewi wahusika baada ya yeye kuwa Vice Chancellor?
 
Sasa wewe nani kakuambia uchangie!!! Yakizungumzwa masuala ya muhimu, ninyi hamtakiwi kushiriki kwenye mjadala. Acheni wenye akili timamu wachangie.
Ahahahahaha! Kwahiyo ninyi mnapenda kukosoa tu. Mkikosolewa mnalialia.
 
Kanisa Katokili Nchini kupitia Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Nchini Dkt. Charles Kitima limelaani kitendo cha watoto wadogo kuandikishwa kwa ajili ya kupiga kura kitendo ambacho ni kibaya kufundisha watoto matendo maovu

Hii inahitaji kusema ukweli kuliko katiba mpya kila mtu akiwa mkweli kama hivi itapendeza
 
Kanisa Katokili Nchini kupitia Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Nchini Dkt. Charles Kitima limelaani kitendo cha watoto wadogo kuandikishwa kwa ajili ya kupiga kura kitendo ambacho ni kibaya kufundisha watoto matendo maovu

يَٰٓأَيُّهَا ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ لَا تَتَّخِذُواْ بِطَانَةٗ مِّن دُونِكُمۡ لَا يَأۡلُونَكُمۡ خَبَالٗا وَدُّواْ مَا عَنِتُّمۡ قَدۡ بَدَتِ ٱلۡبَغۡضَآءُ مِنۡ أَفۡوَٰهِهِمۡ وَمَا تُخۡفِي صُدُورُهُمۡ أَكۡبَرُۚ قَدۡ بَيَّنَّا لَكُمُ ٱلۡأٓيَٰتِۖ إِن كُنتُمۡ تَعۡقِلُونَ
 
Huyu Padre ni mjinga sana na najuta kusoma SAUT akiwa Vice Chancellor.
Huwezi kumuelewa huyo Padre kama Akili yako ilisha zima,sasa kama ww unamshangaa mwalimu wako kwa kusema ukweli basi ww ni janga ktk Taifa letu.Na kwa mwandishi yako ww ulisha kufa maana kuzimiki Akili kwa kiwango ulichoonesha ni kufa.
 
Ningerudisha bahati mbaya hicho chuo sio Cha Padre Kitima Wala sio cha babaake.
Sasa unasikitika nini hadi kutuambia habari za chuo kama unaamini chuo sio cha babaake.Akili yako imepimwa hapo vzr kabisa wenye Akili wamekufahamu vzr.
 
Huyu mama Abdul na mkwe wake ni wajinga sana.wameona hawapendeki Kwa watu wakiamua wawaandikishe wa toto Kwa kuwadanganyia pipi.wanaiharibu sana Nchi yetu
 
Back
Top Bottom