Dkt. Damas Ndumbaro: Wanaume tuliokuwa tunavizia Urais twende likizo, kazi anayoifanya Samia hakuna wanaume wanaoweza kuifanya

Dkt. Damas Ndumbaro: Wanaume tuliokuwa tunavizia Urais twende likizo, kazi anayoifanya Samia hakuna wanaume wanaoweza kuifanya

Huwa ninashangaa sana binadamu kumsujudia mwenzie
Hivi kwanini huwa wanawasifia maraisi kama huwa wanakuja na hela zao kutoka home?

Hawanaga kazi hawa
 
Majukumu ya Rais ni majukumu kama yalivyo majukumu ya mtu yoyote anae wajibika katika majukumu yake.
Kila alie na majukumu huhakikisha anafanya vizuri majukumu yake ili apate sifa njema.
Hata angekua nani kwenye nafasi ya urais ni lazima angefanya vizuri kwani nyuma yake wapo wazaidizi wengi wenye taaluma mbalimbali na uzoefu mkubwa kwenye nyanja husika.
Kusema rais fulani anafanya vizuri kuliko yoyote aliepo au asiyepo ni negative think.
 
Haya mambo yalikomaa enzi za Jiwe
Hivi kwa nini Rais anakubali kudhalilishwa namna hii? Kila mtu anajua kwamba huyo Waziri hamaanishi anachosema kwa nini Rais anakubali kufanyiwa hivi?

Hata mtoto mdogo akisikia hayo maneno atacheka na kujua ni danganya toto, sasa kwa nini?
Too low!
 
Waziri wa Sheria, Damas Ndumbaro akiwa kwenye maadhimisho ya miaka 25 ya WILDAF yaliyohudhuriwa na Rais Samia amewataka wanaume wanaotaka kuwania Urais wakapumzike kwani aliyepo shughuli anaiweza barabara.

Ndumbaro ametaka wanawake waongoze nchi hata miaka 20 na kama wanaume wanataka kwenda kombe la dunia lazima Rais awe mwanamke kama wanawake walivyoweza kufika robo fainali.

=======

Damas Ndumbaro: Tumepata Rais wa kwanza mwanamke, sidhani kama kuna mafanikio makubwa kama hayo, rai yangu kwa nyinyi wanawake wapigania haki za wanawake, hapa tuliposhika tusiache.

Sisi kule Songea, wangoni tunaimba kwamba ninapotaka mimi ni hapa tu, sisi tunasema tunapotaka sisi ni hapo tu, tumefika.

Kwahiyo sisi wanaume ambao tulikuwa tunavizia vizia hii nafasi ya Urais hebu twende likizo kwanza. Hii shughuli sio yetu, siku hizi ina wenyewe hii, ndio ukweli na mbaya zaidi huyo mwanamke ambae ndio Rais kazi anayofanya hakuna wanaume ambao wanaweza kuifanya.

Aachen upumbavu huyu, kazi gani anayofanya ambayo wanaume hawawezi? Labda kubeba mimba hiyo ndo kazi pekee wanaume hawawezi.
 
Waziri wa Sheria, Damas Ndumbaro akiwa kwenye maadhimisho ya miaka 25 ya WILDAF yaliyohudhuriwa na Rais Samia amewataka wanaume wanaotaka kuwania Urais wakapumzike kwani aliyepo shughuli anaiweza barabara.

Ndumbaro ametaka wanawake waongoze nchi hata miaka 20 na kama wanaume wanataka kwenda kombe la dunia lazima Rais awe mwanamke kama wanawake walivyoweza kufika robo fainali.

=======

Damas Ndumbaro: Tumepata Rais wa kwanza mwanamke, sidhani kama kuna mafanikio makubwa kama hayo, rai yangu kwa nyinyi wanawake wapigania haki za wanawake, hapa tuliposhika tusiache.

Sisi kule Songea, wangoni tunaimba kwamba ninapotaka mimi ni hapa tu, sisi tunasema tunapotaka sisi ni hapo tu, tumefika.

Kwahiyo sisi wanaume ambao tulikuwa tunavizia vizia hii nafasi ya Urais hebu twende likizo kwanza. Hii shughuli sio yetu, siku hizi ina wenyewe hii, ndio ukweli na mbaya zaidi huyo mwanamke ambae ndio Rais kazi anayofanya hakuna wanaume ambao wanaweza kuifanya.

Ni kweli Kwa sababu zaidi ya upigaji ,ufisadi na wizi hakuna cha maana wanaume Wamefanya hapa Tanzania kwenye maendeleo..

Ila kujisifia sasa.
 
Ukilitazama hili suala kisiasa unaweza kumuita Chawa Mheshimiwa Ndumbaro lakini ukienda mbali zaidi ni ukweli mtupu.

Marais wote watano wanaume waliomtangulia SSH hawakuwahi kuwa na mafanikio ya kuifikisha timu yoyote ya Taifa ikacheza kombe la dunia mpaka kufikia hatua ya robo fainali kama Serengeti Girls wanavyofanya kule India.

Tunazoea mno lawama na kuwa na negative thinking mpaka tunashindwa kuutazama uhalisia wa mambo kwamba kwa mara ya kwanza timu ya Tanzania inacheza kombe la dunia, wimbo wetu wa taifa kwa mara ya kwanza unaimbwa kabla ya mechi ya mwakilishi wetu katika michuano ya kombe la dunia.

SSH anaweza kuwa na udhaifu wa hapa na pale lakini ni kiongozi mwenye Baraka kwa Tanzania, kwa wasichana wetu kuweza kufika hatua ya kucheza mechi ya robo fainali ya kombe la dunia ni ishara ya uongozi wa Samia kuwa na baraka kwa Taifa.
Huu ni ukweli mchungu Sana maana hao kina Ndumbaro wamekuwepo Serikalini mda mrefu na wameona utofauti..

Anaebisha aje hapa kwa facts
 
Huwa ninashangaa sana binadamu kumsujudia mwenzie
Hivi kwanini huwa wanawasifia maraisi kama huwa wanakuja na hela zao kutoka home?

Hawanaga kazi hawa
Wapi amesujudia? Uzuri ni kwamba Binadamu wametofautiana kwa uwezo na vipawa na ndio uhalisia..

Hakuna siku wewe utakuwa kama Samia au kama Ronaldo au kama Diamond..
 
Ukilitazama hili suala kisiasa unaweza kumuita Chawa Mheshimiwa Ndumbaro lakini ukienda mbali zaidi ni ukweli mtupu.

Marais wote watano wanaume waliomtangulia SSH hawakuwahi kuwa na mafanikio ya kuifikisha timu yoyote ya Taifa ikacheza kombe la dunia mpaka kufikia hatua ya robo fainali kama Serengeti Girls wanavyofanya kule India.

Tunazoea mno lawama na kuwa na negative thinking mpaka tunashindwa kuutazama uhalisia wa mambo kwamba kwa mara ya kwanza timu ya Tanzania inacheza kombe la dunia, wimbo wetu wa taifa kwa mara ya kwanza unaimbwa kabla ya mechi ya mwakilishi wetu katika michuano ya kombe la dunia.

SSH anaweza kuwa na udhaifu wa hapa na pale lakini ni kiongozi mwenye Baraka kwa Tanzania, kwa wasichana wetu kuweza kufika hatua ya kucheza mechi ya robo fainali ya kombe la dunia ni ishara ya uongozi wa Samia kuwa na baraka kwa Taifa.
Huku amna mvua anzia mwezi wa nne Nchi kama nimepigwa kibriti ni ukame kila mahali sijui hizo baraka ni zipi
 
Wapi amesujudia? Uzuri ni kwamba Binadamu wametofautiana kwa uwezo na vipawa na ndio uhalisia..

Hakuna siku wewe utakuwa kama Samia au kama Ronaldo au kama Diamond..
Lakini alichaguliwa ili atimize na kufanya kazi zote zilizoahidiwa na Chama

Haina haja ya kumsifia kupita kiasi kwani ni wajibu wake kuwatumikia wananchi hilo linajulikana ila kusifia kwingi hakuleti maana yoyote

Kweli anafanya kazi kwa mujibu wa sheria na kanuni za nchi na utaratibu uliowekwa

Wao wafanye kazi ili sisi wananchi tuwasifie na sio wao wapambiane maneno
Ndio mtazamo wangu ulikuwa hivyo
 
Ni mmoja wa waliookotwa jalalani msimshangae Sana! Ona aliyekuwa boss wao ambaye anaongoza tume ya katiba, na wale wa makinikia na Kisha huyo na ndalichako wote Wana shida mioyoni mwao! Hawapendi Tena kufanya tafiti zenye kuumiza kichwa Bali kula Kwa kusifia kunatosha!
Huyu mtu mpumbafu na mjinga. Mwanazuoni gani mjinga hv?
 
Waziri wa Sheria, Damas Ndumbaro akiwa kwenye maadhimisho ya miaka 25 ya WILDAF yaliyohudhuriwa na Rais Samia amewataka wanaume wanaotaka kuwania Urais wakapumzike kwani aliyepo shughuli anaiweza barabara.

Ndumbaro ametaka wanawake waongoze nchi hata miaka 20 na kama wanaume wanataka kwenda kombe la dunia lazima Rais awe mwanamke kama wanawake walivyoweza kufika robo fainali.

=======

Damas Ndumbaro: Tumepata Rais wa kwanza mwanamke, sidhani kama kuna mafanikio makubwa kama hayo, rai yangu kwa nyinyi wanawake wapigania haki za wanawake, hapa tuliposhika tusiache.

Sisi kule Songea, wangoni tunaimba kwamba ninapotaka mimi ni hapa tu, sisi tunasema tunapotaka sisi ni hapo tu, tumefika.

Kwahiyo sisi wanaume ambao tulikuwa tunavizia vizia hii nafasi ya Urais hebu twende likizo kwanza. Hii shughuli sio yetu, siku hizi ina wenyewe hii, ndio ukweli na mbaya zaidi huyo mwanamke ambae ndio Rais kazi anayofanya hakuna wanaume ambao wanaweza kuifanya.

Astagafiruallah
 
Poor mental health is very danger(in Bashe voice)
 
Waziri wa Sheria, Damas Ndumbaro akiwa kwenye maadhimisho ya miaka 25 ya WILDAF yaliyohudhuriwa na Rais Samia amewataka wanaume wanaotaka kuwania Urais wakapumzike kwani aliyepo shughuli anaiweza barabara.

Ndumbaro ametaka wanawake waongoze nchi hata miaka 20 na kama wanaume wanataka kwenda kombe la dunia lazima Rais awe mwanamke kama wanawake walivyoweza kufika robo fainali.

=======

Damas Ndumbaro: Tumepata Rais wa kwanza mwanamke, sidhani kama kuna mafanikio makubwa kama hayo, rai yangu kwa nyinyi wanawake wapigania haki za wanawake, hapa tuliposhika tusiache.

Sisi kule Songea, wangoni tunaimba kwamba ninapotaka mimi ni hapa tu, sisi tunasema tunapotaka sisi ni hapo tu, tumefika.

Kwahiyo sisi wanaume ambao tulikuwa tunavizia vizia hii nafasi ya Urais hebu twende likizo kwanza. Hii shughuli sio yetu, siku hizi ina wenyewe hii, ndio ukweli na mbaya zaidi huyo mwanamke ambae ndio Rais kazi anayofanya hakuna wanaume ambao wanaweza kuifanya.

Nina Wasiwasi na huo U DR. Wako kinyume ya hapo umetumwa. Kwa hiyo na wewe mwenyewe umekubali kuvalishwa sketi si ndio.!
 
Waziri wa Sheria, Damas Ndumbaro akiwa kwenye maadhimisho ya miaka 25 ya WILDAF yaliyohudhuriwa na Rais Samia amewataka wanaume wanaotaka kuwania Urais wakapumzike kwani aliyepo shughuli anaiweza barabara.

Ndumbaro ametaka wanawake waongoze nchi hata miaka 20 na kama wanaume wanataka kwenda kombe la dunia lazima Rais awe mwanamke kama wanawake walivyoweza kufika robo fainali.

=======

Damas Ndumbaro: Tumepata Rais wa kwanza mwanamke, sidhani kama kuna mafanikio makubwa kama hayo, rai yangu kwa nyinyi wanawake wapigania haki za wanawake, hapa tuliposhika tusiache.

Sisi kule Songea, wangoni tunaimba kwamba ninapotaka mimi ni hapa tu, sisi tunasema tunapotaka sisi ni hapo tu, tumefika.

Kwahiyo sisi wanaume ambao tulikuwa tunavizia vizia hii nafasi ya Urais hebu twende likizo kwanza. Hii shughuli sio yetu, siku hizi ina wenyewe hii, ndio ukweli na mbaya zaidi huyo mwanamke ambae ndio Rais kazi anayofanya hakuna wanaume ambao wanaweza kuifanya.



Akili za MaCCM hizi. Zikichuchumaa zinachuchumaa kweli. Eti huyu ni Dr!
 
Huwa ninashangaa sana binadamu kumsujudia mwenzie
Hivi kwanini huwa wanawasifia maraisi kama huwa wanakuja na hela zao kutoka home?

Hawanaga kazi hawa
Asikuambie Mtu, mtaani ni kugumu sana, kwa hiyo Mtu akikupa shavu Kama una Imani ndogo mbona utamuona huyo Mtu aliekupa mchongo Kama ndiyo Mungu wako anaekupa riziki!!
 
Back
Top Bottom