Dkt. Dorothy Gwajima: Kama unataka nitumbuliwe ili uchukue nafasi yangu, fanya kazi zaidi yangu sio ufitini

Dkt. Dorothy Gwajima: Kama unataka nitumbuliwe ili uchukue nafasi yangu, fanya kazi zaidi yangu sio ufitini

Huyu mama kiukweli anapiga kazi pia ni mfuatiliaji mzuri lakini apunguze sifa, majigambo na kujikweza. Hivi vitu vitatu ndivyo vinamharibia.....
Kupiga kazi ni kuonekana kwenye tv kila siku na mapichapicha au mimi sielewi, kupiga kazi nikuleta mabadiliko katika kitengo unachokisimamia
 
Katika mawaziri wa ovyo ovyo waliowahi kuongoza wizara ya Afya, huyu mama ndio ovyo kupita wote.
Amekaa kiswahili swahili sana, ana maneno mengi tena ya ovyo ovyo halafu hana mbinu zozote za kiutendaji. Ni kama hajiamini vile kuwa anastahili kuwa waziri hivyo anajaribu kujitutumua ili aonekane. Poor lady.

Kwa maoni yangu, huyu mama hafai hata kuwa mfagizi wa zahanati.
Ni waziri mtekelezaji another version of JPM ...
 
Kupiga kazi ni kuonekana kwenye tv kila siku na mapichapicha au mimi sielewi, kupiga kazi nikuleta mabadiliko katika kitengo unachokisimamia
mabadiliko yameanza kuonekana mfano MSD wataanza kutengeneza gloves badala ya kuimport sasa jiulize miaka yote walikuwa wapi?
 
Huyu mama inaonekana alikuwa na visasi sana na watu wa wizara aliyoitumikia kwa miaka mingi. Huko inawezekana alikutana na madaktari wakorofi, waongo, wezi, wanyanyasaji, wakabila, waopenda Tasnia ya afya, wavivu na wale waliokaribu na utawala na inawezekana walitumia ubabe kumnyanyasa ikiwemo kimgonga bila ridhaa yake Sasa amepenya na kuwa juu yao. Mimi ninamsifu kwa huo muhemko alio nao lkn namshauri awaone wale Kama wenzake iwapo anataka kudumu kwenye hiyo nafasi ya uwaziri..yaani aache visasi field mashall ni kiongozi mkubwa wa jeshi kule jeshini ndiko kwenye ushenzi wa kila aina lkn baada ya mafunzo mnamaliza tofauti na kuwa kitu kimoja. Sasa kama anatamani ufield mashall Basi aache visasi jeshini hakuna visasi.
Wewe ndiyo umeongea jambo lenye tija
 
Acha maza aendelee kutuburudisha kwa vichambo.

Nampenda huyu mama kwa staili yake ya kuongea.

Madaktari mtanyooka tu na mimi nasema awanyooshe tu cumamae zenu😂😂😂 maana hakuna namna nyingine.

Lugola alikua ananinyooshea polisi, huyu mama amekuja kuwanyoosha madaktari. Safi sana.
Unatukana madaktari?

Unajitambua kweli?
 
Madaktari wanatunyoosha kila siku,wengi wanadharau siku nilimpeleka Bi mkubwa pale Amana tena usiku ana hali mbaya ila Kale kadktari kanachat na smartphone yake huku anatuuliza maswali yani hata hatuangalii mara atukolomee. Sema ndio hivyo inabidi uwe mpole ila unaweza ukawatia makofi bure.

Yani polisi na madoctor huwa hawataki kuguswa wanajiona wao ndio kila kitu.
Hizo ni tabia za mmoja mmoja haziwezi kuwachafua wote, inategemea ulipata huduma wapi kazi yao ina stress sana sio rahisi kustahimili mambo mengi kichwani
 
Wewe na wenzako acheni wizi wa madawa.mama yuko sawa acheni majungu.
Mnataka waziri aje mumfungulie milango ya gari kisha mumdanganye aondoke?

Wizara ya afya ni moja ya wizara nyeti sana nchini ikihusu uhai wa WATANZANIA.

Pia wizara hii imejaa ufisadi wa kutisha kwa muda mrefu sana.

Mfano ni hivi majuzi pale MOI muhimbli na hapo UKEREWE.

Acheni mama asafishe uozo.
Mngekuwa wastaarabu msngeiba madawa na kuacha ndugu zetu wakifa mahospitalini

SHAME ON ALL OF YOU THIEFS
Upo sahihi, ila hapo ni “thieves” na siyo “thiefs”
 
Acha maza aendelee kutuburudisha kwa vichambo.

Nampenda huyu mama kwa staili yake ya kuongea.

Madaktari mtanyooka tu na mimi nasema awanyooshe tu cumamae zenu[emoji23][emoji23][emoji23] maana hakuna namna nyingine.

Lugola alikua ananinyooshea polisi, huyu mama amekuja kuwanyoosha madaktari. Safi sana.
Cumamaeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka Sana aiseee!
 
Wewe na wenzako acheni wizi wa madawa.mama yuko sawa acheni majungu.
Mnataka waziri aje mumfungulie milango ya gari kisha mumdanganye aondoke?

Wizara ya afya ni moja ya wizara nyeti sana nchini ikihusu uhai wa WATANZANIA.

Pia wizara hii imejaa ufisadi wa kutisha kwa muda mrefu sana.

Mfano ni hivi majuzi pale MOI muhimbli na hapo UKEREWE.

Acheni mama asafishe uozo.
Mngekuwa wastaarabu msngeiba madawa na kuacha ndugu zetu wakifa mahospitalini

SHAME ON ALL OF YOU THIEFS
Hata hujaelewa mada! kuna sehemu mleta mada kasema waizi waachwe?
 
Huyu mama hajui uongozi na ni mzalilishaji why maelezo ya watendaji wenzake aite makamera na kuwazalilisha. Hafu anatumia a lot of energy KWA vitu simple, vingine wizara isipofanyiwa overhaul yeye kupiga kelele ni wastage of time. I miss Ummy aisee. Huyu dorathy ni empty set Mimi hata taarifa zake nikiona zinanichefua. In short ana poor leadership skills
 
Hizo ni tabia za mmoja mmoja haziwezi kuwachafua wote, inategemea ulipata huduma wapi kazi yao ina stress sana sio rahisi kustahimili mambo mengi kichwani
Sijasema wote nimesema wengi,hivyo ndio walivyo hadi imefikia ukimkuta Daktari mpole na anakusikiliza unaona ni kitu cha tofauti na kawaida ilivyo. Inawezekana kweli wanakuwa na stress zao za kazi ila sio sababu ya kuhamishia hizo stress kwa wagonjwa na kutoa huduma mbovu lazima wakumbuke wana deal na afya za watu.
 
Acha maza aendelee kutuburudisha kwa vichambo.

Nampenda huyu mama kwa staili yake ya kuongea.

Madaktari mtanyooka tu na mimi nasema awanyooshe tu cumamae zenu[emoji23][emoji23][emoji23] maana hakuna namna nyingine.

Lugola alikua ananinyooshea polisi, huyu mama amekuja kuwanyoosha madaktari. Safi sana.
Mkuu unamsifia uongo ongea yake tu ni zero hata uwasilishaji wake ka konda za daladala, hafu anapenda macamera Sana, huyu
 
Yule mama kama mwajuma nchokonoe wa buza huko..... Hakuna kiongozi pale
 
Back
Top Bottom