Dkt. Dorothy Gwajima: Kama unataka nitumbuliwe ili uchukue nafasi yangu, fanya kazi zaidi yangu sio ufitini

Dkt. Dorothy Gwajima: Kama unataka nitumbuliwe ili uchukue nafasi yangu, fanya kazi zaidi yangu sio ufitini

Wakuu habari za mchana.
Naomba walio karibu na huyu mama waziri wa Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na watoto, wampe semina ya ku-behave kama top government official. Naona hilo linamshinda. Mama atulize ubongo aje na solutions. Aache majungu na malalamiko kila kukicha.

Hizi clip tunazoziona hazimpi heshima kabisa. Anajiita Field Marshall wa wizara lkn mimi namuona bado sana.
Kama ana vinyongo na maumivu ya huko nyuma, asahau. Ajulishwe majukumu yake kama waziri. Aache kuleta viswahili kama vya vijiwe vya kina mama wakiwa peke yao.
Anamuiga tu Bosi wake Mkuu kwani hata Yeye pia alipoapa pale Uhuru Stadium November 2015 alianza Kwanza kwa Kulipizia Maadui zake Visasi.
 
Huyu maza ana mawenge mabaya Mimi nikiona habari yake nai skip anawazalilisha mno hao madaktari na uzalilishaji huo ushusha morali
 
Katika mawaziri wa ovyo ovyo waliowahi kuongoza wizara ya Afya, huyu mama ndio ovyo kupita wote.
Amekaa kiswahili swahili sana, ana maneno mengi tena ya ovyo ovyo halafu hana mbinu zozote za kiutendaji. Ni kama hajiamini vile kuwa anastahili kuwa waziri hivyo anajaribu kujitutumua ili aonekane. Poor lady.

Kwa maoni yangu, huyu mama hafai hata kuwa mfagizi wa zahanati.
Alikuwa yupo hivyo kabla hata ya kuwa Waziri...Alikuwa Naibu Katibu Mkuu Tamisemi
 
Huyu mh anaweza kuwa ana nia nzuri lakini approach yake amefeli hata kabla hajaanza kazi vizuri. Kuna sehemu hazihitaji siasa na macamera camera. Zinahitaji ushirikiano baina ya wadau ili matatizo yatatuliwe.

Mwisho wa siku anayeumia ni mwananchi na sio Dr wala waziri.

Mfano hospital kalibia zote hakuna dawa lakini kwakua ni tatizo la serikali hutamsikia analiongelea atajikita na mambo yanayompa kiki tu.. watoto na wazee HAWATIBIWI BURE. Hilo k
Hutamkuta akiliongelea. Anaongelea mambo yanayompa kiki ili ashangiliwe na wananchi.
Mkuu barikiiwa kwa comment yako nzuri kwa Kuwa na jicho la Tatu. Hamna hata sehem mmoja utasikia wakikiri wao Kuwa hawajaleta pesa ya dawa si kwa basket au ruzuku ya serikalini ila utasikia Kwa nini hospitali haina dawa . Mara watu wameiba dawa. Uki uderfinance sector ya afya natokeo yao ndo hayo watumishi kusukumiwa jumba bovu
 
Wakuu habari za mchana.
Naomba walio karibu na huyu mama waziri wa Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na watoto, wampe semina ya ku-behave kama top government official. Naona hilo linamshinda. Mama atulize ubongo aje na solutions. Aache majungu na malalamiko kila kukicha.

Hizi clip tunazoziona hazimpi heshima kabisa. Anajiita Field Marshall wa wizara lkn mimi namuona bado sana.
Kama ana vinyongo na maumivu ya huko nyuma, asahau. Ajulishwe majukumu yake kama waziri. Aache kuleta viswahili kama vya vijiwe vya kina mama wakiwa peke yao.
Acheni wizi wa dawa mtamuelewa tu, Mh ni mtendaji sio mwanasiasa,
Kuna Mh Aweso anawanyoosha wahandisi feki, miradi mikubwa ya maji mbona hamuongelei!
Serikali inanunua madawa lakini mahospitalini hayapo..NI WIZI WIZI WIZI TU..!
 
Katika nafasi ya uwaziri naungana nanyi kwamba amepanic na anajikuta hajui msaidizi yupi anaweza kumfaa na yupi ampatie majukumu gani, pia ana tatizo la kuamini vile anavyojua yeye ndio sahihi.

Kuhusu kuleta mabadiliko, aliweza alipokua TAMISEMI kwasababu baadhi ya mbinu zake zilihusisha kuimarisha mfumo mzima wa utendaji kazi vituoni, tofauti na sasa ambapo anatoa matamko yasiyokua na mbinu mbadala za utatuaji.

Kikubwa kinachomtesa ni ahadi ya chama chake kuhusu Bima ya Afya kwa wote iliyotolewa kwenye ilani, ukizingatia Bima hiyo anaifahamu vizuri utekelezaji wake katika kundi kubwa ni mgumu, maana ni yeye alieianzisha akiwa Iramba, ikaja kumsumbua akiwa RMO Singida baada ya kuhamisha makusanyo kutoka wilayani kuja mkoani. Kwahiyo anajaribu kuhamasisha wananchi wajiunge lakini anajua kabisa ile bima ni tatizo.

Kuhusu watu anaowatuhumu kuwa wezi na waongo (amemuambikiza na naibu wake), ni ngumu sana kuwa sahihi kwenye utunzaji wa rekodi za matumizi ya dawa, hasa kutokana na changamoto ya upungufu wa watumishi iliyopo nchini. Bahati mbaya sana Mama haamini kwenye uhaba wa watumishi, yeye anadai watumishi wapo wa kutosha lakini hawawajibiki.

Kujiita Field Marshal nadhani yupo sahihi kwenye sekta yake (tuzingatie kwamba hajasema yeye ni Field Marshal wa sekta ya afya, amesema yeye ni Field Marshal kwenye masuala ya uongozi wa sekta ya Afya).

Ni sahihi kabisa kwasababu ni mtu alietoka chini kabisa, japo kwenye CV yake haijaonesha lakini inasemekana alianza kuhudumu kama RMA ndipo akapanda hadi kufikia MO, kaongoza kuanzia Zahanati, Wodi, Kituo cha Afya, Kitengo cha hospitali, hospitali, Idara ya afya wilaya, Idara ya Afya mkoa, kurugenzi ya huduma za afya katika wizara ya afya, bodi mbalimbali za hospitali na huduma za afya, Ofisi ya raisi - Afya na sasa Waziri wa Afya. Hauwezi kukuta yeyote mwenye experience zinazokaribiana nae.
Bima ya afya Ichif ni tatizo bold this .na ukiona mtu au kiongozi anaishadadia huu mfuko Kuwa unaweza kuja kumsaidia mwananchi lazima ufikirie mara mbili mbili hata elimo yake
 
Ukimfuatilia vizuri wala hata hakuna anayemnyoosha hadi sasa. Yeye ni full kubwabwaja tu. Yaani hata haeleweki kama kweli yupo serious au labda anafanyia mzaha hiyo kazi. Huyu waziri utendaji wake haueleweki kabisa.
CCM oyeee
Mitano tena au sio dada jeni
 
Wakuu habari za mchana.
Naomba walio karibu na huyu mama waziri wa Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na watoto, wampe semina ya ku-behave kama top government official. Naona hilo linamshinda. Mama atulize ubongo aje na solutions. Aache majungu na malalamiko kila kukicha.

Hizi clip tunazoziona hazimpi heshima kabisa. Anajiita Field Marshall wa wizara lkn mimi namuona bado sana.
Kama ana vinyongo na maumivu ya huko nyuma, asahau. Ajulishwe majukumu yake kama waziri. Aache kuleta viswahili kama vya vijiwe vya kina mama wakiwa peke yao.
Unacheza na Field Marshal wewe?
 
Wakuu habari za mchana.
Naomba walio karibu na huyu mama waziri wa Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na watoto, wampe semina ya ku-behave kama top government official. Naona hilo linamshinda. Mama atulize ubongo aje na solutions. Aache majungu na malalamiko kila kukicha.

Hizi clip tunazoziona hazimpi heshima kabisa. Anajiita Field Marshall wa wizara lkn mimi namuona bado sana.
Kama ana vinyongo na maumivu ya huko nyuma, asahau. Ajulishwe majukumu yake kama waziri. Aache kuleta viswahili kama vya vijiwe vya kina mama wakiwa peke yao.
utakuwa ndio wewe ulisain mkataba mafundi wapo mje ya nchi.acha mama awanyooshe nyie
 
Ni ngumu kuielewa sekta ya Afya. Ni kweli kuna matatizo ya watumishi, lakini kuna matatizo makubwa zaidi ya kimfumo na kiutawala hususani kwenye miundombinu ya vifaa tiba na dawa.
Tuliza akili,halafu jaribu kung’amua hayo kwenye pande zote mbili. Trust me,akiongea kiongozi utaona 100% watumishi wana matatizo lakini pia hao watumishi wakipewa nafasi ya kuzungumza utagundua pia upande wa pili una matatizo makubwa sana.
Na hata siku moja mwananchi Hawez rizika na huduma .mwananchu anaweza Susa tu Kuwa huduma ni mbovu kwa sababu alipokuja Lengo lake nilikuwa atibiwe bure aondoke sasa anapoambiwa akalipia huduma aliyopewa ndo chanzo cha malumbano na kuponda huduma
 
Mimi ndiyo namshangaa zaidi ya mtoa mada. Tangu nizaliwe sijaona Mama mwenye tabia kama yule Waziri. Unapofika mahali kwanza yeye ni Mhe. Waziri lile jukumu la kuwauliza Watalaam ni majukumu ya watalaam wake. Mimi nadhani ana tatizo. Nahisi ana ugonjwa fulani tusioifahamu. Napenda kuuliza, hivi yule mama ana Digrii ngapi kumfanya atambe vile?.
RMA maana karuka form iv na form six ndo akakatokea huko mpaka mph na sasa waziri
 
Back
Top Bottom