Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
M
Zipo kabisa.
Na watu wanazipata na kuzitumia kama kawaida.
Dr. Sule haongopi, ni swala la kumwita tu aeleze zinapatikanaje ili zituletee maendeleo kwa jamii.
Zipo Mzazi
Mkuu pesa za Majini zipo.Yule mganga njaa kama mimi tu ila mie dalali ye mwenzangu tapeli kwa kivuli cha uislam,,, hana tofauti na manyaunyau, kamchape, lambalamba etc. Ikiwa huyu Veronica kakili utapeli wake basi ni zamu ya yule anaejiita dokta sule nae atuthibitishie hayo majini yanaletaje ela,, mpumbavu tu yule njaa zake zinafanya auchafue uislam..
Zipo kabisa.
Na watu wanazipata na kuzitumia kama kawaida.
Dr. Sule haongopi, ni swala la kumwita tu aeleze zinapatikanaje ili zituletee maendeleo kwa jamii.
Zipo Mzazi