Dkt. Gwajima: Tukatae utapeli, Binti aliyedai anaishi na nyoka akiri haikuwa kweli

M
Mkuu pesa za Majini zipo.
Zipo kabisa.
Na watu wanazipata na kuzitumia kama kawaida.
Dr. Sule haongopi, ni swala la kumwita tu aeleze zinapatikanaje ili zituletee maendeleo kwa jamii.
Zipo Mzazi
 
Kwa hiyo wamemlazimisha
 
Inshu ni kwamba serikali yetu haitaki kuamini kuhusu uchawi ila hayo mambo sio kwamba hayapo yapo sana tena sanaaa.

Mimi nadhani wewe kama waziri mwenye dhamana ya jinsia jikite sana kwenye maadili hususani mambo ya kukemea ushoga,usagaji tungeni sheria kali pia tazameni sana nyimbo za wasanii kama WASAFI

Zina matusi ya kutosha sana yule nasibu na wenzie ni ttzo.

Kwako daktari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Juzi kati walikuja wachungaji wamevaa vipensi wana tattoo na rasta kichwani kuna mwingine ana tattoo na vimini sketi ad church na ni mchungaji hii imeekaje daktari? Kama waziri mbona mlikuwa kimya sana...???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
M

Mkuu pesa za Majini zipo.
Zipo kabisa.
Na watu wanazipata na kuzitumia kama kawaida.
Dr. Sule haongopi, ni swala la kumwita tu aeleze zinapatikanaje ili zituletee maendeleo kwa jamii.
Zipo Mzazi
Ndiyo zipo ambazo ni za utapeli kama huu.
 
Naomba tushirikiane nipeni links hizo, mimi kazi yangu kutafuta sheria zetu zinasemaje Ili wakazijibu. Imetosha sasa. Watanzania tunapenda kuomba sheria iandaliwe lakini ikiandaliwa utekelezaji unakuwa chini Sana na wengi wanakuwa hawajui kabisa na matokeo yake ni mazoea ya makosa. Sasa wote kama jamii tuungane kuzitekeleza. Shukrani
 
KWA MANABII JE WANAOWAPA REHEASAL WAUMINI WAO ILI KULANGAI UMMA HAPO UNAFANYAJE MH., MAANA WANAPOTOSHA JAMII AMBAYO MH, NDIYO MWENYE DHAMANA.
-mtu ametapika nyoka
-mtu ametapika misumari wa nchi nne
-mtu ametapika viwembe,
Yaraabih!
Mimi narejea sheria tu... Na wewe nisaidie tusome. Kisha naenda kwa msajili wa huduma yao. Mambo yasiwe mengi, tujue tunaitekeleza au tunaifuta hiyo sheria. Maneno yawe machache vitendo viwe vingi,
 
Siku ujinga ukifutika vichwani mwa Waafrika, ndipo siku tutayouaga umasikini...

Yaani ujinga umekuwa ndio akili ya kwanza ya Waafrika
 
Kama utakuwa uliamini ile story ya nyoka,wewe ni mmoja wa Watanzania wanaochangia umasikini na unatakiwa ufe kwani hauna faida yoyote hapa duniani.
Ajabu ni kuwa wapi walioamini na wanakiri kabisa "mimi nilidhani ukweli". Tusipowalinda watu wetu Iko siku watabebwa na hawa matapeli wakamezwe na hayo machatu. Unakumbuka kisa cha ile nchi watu wakapelekwa msitu ule jina linaanza na Shakao....... Unadhani ni nini? Kuaminishwa....
 
Ukiona umeenda kupata huduma ya serikali hupewi ushirikiano na watoa huduma, hilo nalo ni kosa. Toa taarifa kwa wakubwa wake kwenye taasisi hiyo. Mfano, Jeshi la Polisi Kila kituo wametangaza namba zao hapo wamebandika kuanzia ya IGP 0699998899 na mimi namba za kituo cha simu wizarani kwangu nilishatangaza nikaongeza na zangu binafsi muandike ujumbe 0765345777 kopi 0734124191. Mwisho kabisa, unaruhusiwa kusoma sheria uchukue hatua.. lengo la Serikali wananchi wapate huduma, sasa makosa ya mtu mmoja mmoja siyo lengo la Serikali tafadhali. Shukrani kwa mchango wako kwenye mjadala.
 
Zikiripoti habari za Chadema za Ukweli zinapigwa vita ila ziki ripoti habari za uongo na uchochezi ndio kwanza wanakaribishwa White house.

Tuna shida mahara Ndugu Waziri Dr Gwajima.
Ndugu yangu, Ili kusafisha jamii tunahitaji ushirikiano wa Kila mtu bila kujali itikado yake. Naomba ushirikiano wako.
 
Ahsante Sana, naomba tu Kila anayeoona uongo uongo fulani kwenye Kila link basi tupeane ushirikiano. Maana naweza nikawa kuna link inaendelea mahali na mimi sijaiona na watu wanapotea.
 
Safi, werevu wachache, tunafahamu utapeli huo, lakini ni jukumu letu kuwalinda wale wengi dhidi ya mitego hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…