Dkt. Harrison Mwakyembe ajilipua suala la Ushoga; Kukabidhi jina la Mwenyekiti wao kitaifa na mikoa kwa Serikali

Dkt. Harrison Mwakyembe ajilipua suala la Ushoga; Kukabidhi jina la Mwenyekiti wao kitaifa na mikoa kwa Serikali

Wakija watu leo wakaanzisha harakati za kupinga kujichubua/matumizi ya mkorogo na kutaka ziwekwe sheria kali za kuwaadhibu vifungo gerezani wanaotumia kitaulo utawaunga mkono kama unavyounga kwenye suala la ushoga??
Ukija mjadala unaojadili watu wanaojichubua tutajadili wanaojichubua.
Sio mjadala iwe ni kuhusu wanao jichubua af mtu aje kuongelea biashara ya mkaa.
Huo ni upumbavu
 
Mimi nadhani hatukupaswa kumshambulia mleta hoja bali kumuuliza au kujiuliza kuhusu uhusika wa hilo shirika THPS analoongoza Prof Janabi wa Muhimbili kama sikosei.
Jee ni kweli Janabi huyu tunaye muamini anaweza fanya hayo?
Kama ni hivyo usalama wetu na ndugu zetu ukoje tuwapo mikononi mwake kama Daktari?
Si unaweza kwenda kwa maradhi ya moyo ukatoka umepona lakini umegeuka shoga?
 
Sisi mbona tulisoma hivyo vyuo na hayo mambo hatujayaona?
Nyie mnayaona wap?

Mimi nakumbuka pc za UDBS basi na kuchukuliwa mademu usiku kule mabibo na hall 6...lakin hayo ya wanafunzi wa kiume labda yamekuja sasa....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dunia imefunguliwaa sasa watu wanakua wanavyotakaa.
 
Ukija mjadala unaojadili watu wanaojichubua tutajadili wanaojichubua.
Sio mjadala iwe ni kuhusu wanao jichubua af mtu aje kuongelea biashara ya mkaa.
Huo ni upumbavu
Lazima tumsimange kwanza huyu Malaya wa buguruni aliyejifia na kujichokea kwa MIKOROGO anatuzuga ati yeye ni mwandishi!

Hapo alipo anasubiri kutwaliwa na israel akatoe hesabu za matendo yake ya kujikoboa JUSO kisha atupwe jehanamu.

Kumjadili maiti ni kupoteza wakati. Hana hoja ni mikorogo tupu ambayo imekatazwa na TFDA. Anapenyeza mikorogo nchini kwa njia za magendo. Amulikwe.
 
Zina kazi nyingi ila serikali haijaamua kudhibiti hii ndio ungekua kazi ya watu wasiojulikana full kuwapoteza mashoga mpka waishe wote
Na kuwa ktk maduka ya dawa muhimu mtaani?? Tena bei chee, hospital ni sawaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi nadhani hatukupaswa kumshambulia mleta hoja bali kumuuliza au kujiuliza kuhusu uhusika wa hilo shirika THPS analoongoza Prof Janabi wa Muhimbili kama sikosei.
Jee ni kweli Janabi huyu tunaye muamini anaweza fanya hayo?
Kama ni hivyo usalama wetu na ndugu zetu ukoje tuwapo mikononi mwake kama Daktari?
Si unaweza kwenda kwa maradhi ya moyo ukatoka umepona lakini umegeuka shoga?
Ni swali la kujiuliza pia una ushuhuda wa watu wangapi waliogeuzwa mashoga kwa njia hii au ya pafyumu/spray au kuvunjwa uume kama mwandishi mchunguzi alivyosema katika uchunguzi wake.
Tuanzie hapa Jukwaani tu kama kuna mtu anamfahamu mtu yeyote aliyekuwa shoga kwa njia hizi.
 
Of course bro mfadhili yupo na pesa ipo kabisa


Na wana government yao kabisa mpka kimtaa lkn ndo hivyo huwezi jua hivi hivi na mpaka humu jf wapo na wanajisema waziwazi kabis sanasana wanawake


Culture Me Dr. Mariposa hao ni mf kdg

Huyu mshenzi cocastic ndo anayeongoza kwa kuwarubuni watu wajiingize humo na anawafagilia kabisa japo yy ni ke ila anasagwa pia na madildo

xtaper huyu mbwa pia na yy ndo walewale nilikuwa napitia thread ya sexual famtasy yako naona wahuni washamchezea sana nyuma
Demi huyu naye anapenda kuona wanaume wakifanyana amekiri kabisa

DIVISHENI FOO aliwahi nisababisha nile ban kisa nilimtukana matusi ambayo hajawahi kuona alikuwa anatetea ushoga nikamlamba matusi ya ajabu

Shahidi Nuzulati sema yy hakupewa ban siku ile nilishirikiana nae kum didimiza huyu lofa DIVISHENI FOO kwa hoja za maana


Hivyo list ni ndefu sana mkuuuu nimechoka kutype [emoji481][emoji481][emoji481][emoji481][emoji481]

Lkn cocastic huyu ni mama lao kwenye haya mambo we fuatilia replies zake imefika mahalaa anaforce watu kabis alafu ukicheki ni mtoto mdogo wa miaka 23 yupo masters hapo udsm ila ni pumba zimemja akilini its so sad


Imetosha kwa leo [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee endelea kutesekaa tyuuh, sio shida zanguu, km yatazidi wahi matibabuuuu.

Uwiiiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Lazima tumsimange kwanza huyu Malaya wa buguruni aliyejifia na kujichokea kwa MIKOROGO anatuzuga ati yeye ni mwandishi!

Hapo alipo anasubiri kutwaliwa na israel akatoe hesabu za matendo yake ya kujikoboa JUSO kisha atupwe jehanamu.

Kumjadili maiti ni kupoteza wakati. Hana hoja ni mikorogo tupu ambayo imekatazwa na TFDA. Anapenyeza mikorogo nchini kwa njia za magendo. Amulikwe.
Mkuu tunza kijambio chako kwafaida yako na kizazi chako
Wacha blah blah
 
Huyo dogo sio mwamaume mkuuu ni mwanamke sema ndo hivyo anafir#a sana tu na anasagwa pia na akina Culture Me na anahusika kulazimisha watu kuingia kwenye huuu mtandao mchafu wa wahuni

Yupo udsm hapo anachukua masters ana 23 years A level alisoma mazinde juuuu inshort ni firauni mmoja masikni sana hata hela ya bando ni ya kuunga unga sasa sielewi anavyotetea ushoga anafaidika nn

Hapo sijui kwakweli we fuatilia replies zake anavyojibu utasema amegundua kitu cha maana sana kwa kujua hao mabasha wake ila ni pointless tu

Inshort achana nae tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bundle cna, ila nipo active JF mda wote. Au JF inatumia ugali sio bundle siku hizi??

Wee kakaaa mbna unatumia nguvu nyingii kupambana na mie?? Mie sio level yakoo. Poleeeeeeh
 
Bwana mdogo nenda taratibu,au hujui sheria za JF? Why una speed ya kureveal Identity za watu hapa? Unadhani wengine hawafahamiani? Una point za msingi sana lakini naona kama una mihemko katika uchangiaji wako.Ni hayo tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cha ajabuu sasa anapuyangaa na hana anachojua kunihusuuu, yaan analazimisha kunijua na akati haiwezekaniii.

Uwiiiiiii mie ananiachaa hoi hapo tyuuh.
 
we ni shoga kweli au magumashi tu? Kama ni shoga wa ukweli hebu tueleze jinsi ushoga ulivyoenea mpaka kwenye sehemu nyeti na wakubwa wenu ni akina nani? Taja kwa code tafadhali tujulishe
Muulize mwakyembeee anawajuaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aliyeleta ajenda amejipambanua kama mwanahabari wa habari za uchunguzi. Mimi wanahabari wa habari za uchunguzi huwa nawaona ni watu wenye akili sana na uelewa mpana wa mambo, sasa yeye kama anajinasibu hivyo halafu anashindwa kuelewa jambo dogo kama hili la kujichubua kwa kitaulo inanipa mashaka sana kuamini na kutilia maanani huu uchunguzi wake, simuoni kama mtu credible.
Ukija mjadala unaojadili watu wanaojichubua tutajadili wanaojichubua.
Sio mjadala iwe ni kuhusu wanao jichubua af mtu aje kuongelea biashara ya mkaa.
Huo ni upumbavu
 
Revolution never been televised. Hii sio revolution tena.
 
Usidhani watu hawafahamiani hapa ila tu tunaheshimu kanuni za Forum hii.Unaweza dhania unamfahmu sana huyo unaedhania una mu expose kumbe kuna wanaomfahamu vizuri na wakawa wanakushangaa unavyopuyanga na details za uwongo za muhusika.
Wewe pinga kwa nguvu zote hiyo tabia ya ushoga na upo sahihi kabisa lakini haya ya kuvunja sheria za JF hapana,punguza speed[emoji5]
Na anapuyangaa kwelii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni swali la kujiuliza pia una ushuhuda wa watu wangapi waliogeuzwa mashoga kwa njia hii au ya pafyumu/spray au kuvunjwa uume kama mwandishi mchunguzi alivyosema katika uchunguzi wake.
Tuanzie hapa Jukwaani tu kama kuna mtu anamfahamu mtu yeyote aliyekuwa shoga kwa njia hizi.
Wenzio wamefanya utafiti ndio wakayakuta hayo majibu
Wewe umefanya utafiti?
 
Ok ngoja nipuunguze ukali wa data kidogo naanza kufunga codes ila detail za muhusika ni za ukweli kabisa nina real proof shukran [emoji817][emoji817]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nachekaaa km chiziiiii.
Watu wamevurugwaaaa wallah.
 
Back
Top Bottom