Dkt. Harrison Mwakyembe ajilipua suala la Ushoga; Kukabidhi jina la Mwenyekiti wao kitaifa na mikoa kwa Serikali

Wakija watu leo wakaanzisha harakati za kupinga kujichubua/matumizi ya mkorogo na kutaka ziwekwe sheria kali za kuwaadhibu vifungo gerezani wanaotumia kitaulo utawaunga mkono kama unavyounga kwenye suala la ushoga??
Ukija mjadala unaojadili watu wanaojichubua tutajadili wanaojichubua.
Sio mjadala iwe ni kuhusu wanao jichubua af mtu aje kuongelea biashara ya mkaa.
Huo ni upumbavu
 
Mimi nadhani hatukupaswa kumshambulia mleta hoja bali kumuuliza au kujiuliza kuhusu uhusika wa hilo shirika THPS analoongoza Prof Janabi wa Muhimbili kama sikosei.
Jee ni kweli Janabi huyu tunaye muamini anaweza fanya hayo?
Kama ni hivyo usalama wetu na ndugu zetu ukoje tuwapo mikononi mwake kama Daktari?
Si unaweza kwenda kwa maradhi ya moyo ukatoka umepona lakini umegeuka shoga?
 
Sisi mbona tulisoma hivyo vyuo na hayo mambo hatujayaona?
Nyie mnayaona wap?

Mimi nakumbuka pc za UDBS basi na kuchukuliwa mademu usiku kule mabibo na hall 6...lakin hayo ya wanafunzi wa kiume labda yamekuja sasa....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dunia imefunguliwaa sasa watu wanakua wanavyotakaa.
 
Ukija mjadala unaojadili watu wanaojichubua tutajadili wanaojichubua.
Sio mjadala iwe ni kuhusu wanao jichubua af mtu aje kuongelea biashara ya mkaa.
Huo ni upumbavu
Lazima tumsimange kwanza huyu Malaya wa buguruni aliyejifia na kujichokea kwa MIKOROGO anatuzuga ati yeye ni mwandishi!

Hapo alipo anasubiri kutwaliwa na israel akatoe hesabu za matendo yake ya kujikoboa JUSO kisha atupwe jehanamu.

Kumjadili maiti ni kupoteza wakati. Hana hoja ni mikorogo tupu ambayo imekatazwa na TFDA. Anapenyeza mikorogo nchini kwa njia za magendo. Amulikwe.
 
Zina kazi nyingi ila serikali haijaamua kudhibiti hii ndio ungekua kazi ya watu wasiojulikana full kuwapoteza mashoga mpka waishe wote
Na kuwa ktk maduka ya dawa muhimu mtaani?? Tena bei chee, hospital ni sawaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni swali la kujiuliza pia una ushuhuda wa watu wangapi waliogeuzwa mashoga kwa njia hii au ya pafyumu/spray au kuvunjwa uume kama mwandishi mchunguzi alivyosema katika uchunguzi wake.
Tuanzie hapa Jukwaani tu kama kuna mtu anamfahamu mtu yeyote aliyekuwa shoga kwa njia hizi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee endelea kutesekaa tyuuh, sio shida zanguu, km yatazidi wahi matibabuuuu.

Uwiiiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu tunza kijambio chako kwafaida yako na kizazi chako
Wacha blah blah
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bundle cna, ila nipo active JF mda wote. Au JF inatumia ugali sio bundle siku hizi??

Wee kakaaa mbna unatumia nguvu nyingii kupambana na mie?? Mie sio level yakoo. Poleeeeeeh
 
Bwana mdogo nenda taratibu,au hujui sheria za JF? Why una speed ya kureveal Identity za watu hapa? Unadhani wengine hawafahamiani? Una point za msingi sana lakini naona kama una mihemko katika uchangiaji wako.Ni hayo tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cha ajabuu sasa anapuyangaa na hana anachojua kunihusuuu, yaan analazimisha kunijua na akati haiwezekaniii.

Uwiiiiiii mie ananiachaa hoi hapo tyuuh.
 
we ni shoga kweli au magumashi tu? Kama ni shoga wa ukweli hebu tueleze jinsi ushoga ulivyoenea mpaka kwenye sehemu nyeti na wakubwa wenu ni akina nani? Taja kwa code tafadhali tujulishe
Muulize mwakyembeee anawajuaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aliyeleta ajenda amejipambanua kama mwanahabari wa habari za uchunguzi. Mimi wanahabari wa habari za uchunguzi huwa nawaona ni watu wenye akili sana na uelewa mpana wa mambo, sasa yeye kama anajinasibu hivyo halafu anashindwa kuelewa jambo dogo kama hili la kujichubua kwa kitaulo inanipa mashaka sana kuamini na kutilia maanani huu uchunguzi wake, simuoni kama mtu credible.
Ukija mjadala unaojadili watu wanaojichubua tutajadili wanaojichubua.
Sio mjadala iwe ni kuhusu wanao jichubua af mtu aje kuongelea biashara ya mkaa.
Huo ni upumbavu
 
Revolution never been televised. Hii sio revolution tena.
 
Na anapuyangaa kwelii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wenzio wamefanya utafiti ndio wakayakuta hayo majibu
Wewe umefanya utafiti?
 
Ok ngoja nipuunguze ukali wa data kidogo naanza kufunga codes ila detail za muhusika ni za ukweli kabisa nina real proof shukran [emoji817][emoji817]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nachekaaa km chiziiiii.
Watu wamevurugwaaaa wallah.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…