Dkt. Harrison Mwakyembe ajilipua suala la Ushoga; Kukabidhi jina la Mwenyekiti wao kitaifa na mikoa kwa Serikali

Hukusikia idadi ya mashoga na wasagaji waliotengenezwa kwa kuhudumiwa na hizo taasisi?
Mbona kaweka wazi?
 
Agenda ya ushoga sio ndogo wewe. Fungua macho kabla hujastukia una mtoto au mdogo wako shoga. Halafu mwakyembe na yule dada pale walikua kwenye platform ya kidini/ kanisa. Utafoti wao umewasilishwa kwenye semina ya kidini.
 
Huyu mwandishi anazungumza kwa bashasha sana hizi pseudoscience zake katika hili suala kuibua hisia za raia. Sijajua lengo lake ni nini, ila watu wa aina hii wakiachwa kutamba katika jamii tutakuwa jamii ya hovyo sana inayoamini mambo ya ajabu ajabu yaliyo nje ya uhalisia kabisa.
Duuh,
Yaan Mtu kabisa anaenda kuvunjwa uume kwanza ushoga na kuvunjwa uume vinahusiana na nini jamani, mtu akivunjwa uume si anakua hanithi yaan hasimamishi, aliowaambia mashoga ni mahanithi ni akina nani,

Elimu kubwa inahitajika aiseee
 
Muulize mwakyembeee anawajuaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
inaonekana we si shoga bali ni msagaji unaounga mkono ushoga, je ni kweli au si kweli? Kama ni mfuatiliaji wa mambo yenu ya ushoga, unaonaje tanzania nayo ikaiga uganda katika mapambano dhidi ya ushoga?
 
Naona Mwakyembe kawatoa machoko shimoni
Ikibidi ingieni barabarani na mabango kuonesha Mwakyembe kaingilia haki zenu za msingi na mmekasirishwa sanaa
 
Futa hii uzi ulinde kaheshima kadogo ulikonako JF
 
Acha ujinga wewe na huyo Mwakyembe wako, hakuna taasisi inayofundisha watu ushoga, ushoga haufundishwi,
Mnakuaje majinga kiasi hiki aiseee
Unaweza ukawa usifundishe kama tunavyofundishwa masomo ya kawaida dalasani au isiwe kwa Njia ya Moja kwa Moja.

lakini ukweli uliopo LGTQ wanaconvice watu wakubaliane na ushoga kwa ichi kama marekani agenda zao zimeshawekwa kwenye syllabus watoto wanasoma na wanaambiwa it's ok being gay.

Hata Tanzania miazi michache iliyopita vilikawatwa vitabu vyenye maudhui ya ushoga ambavyo vinasomwa na watoto wadogo ambao hawajui kutofautisha baya na zuri na wanakubaliana na chochote wanachokisoma ,

Kwanini tusiite huku ni kufundisha ushoga.

#Kataaushoga
 
Ndugu zangu,hivi uume unaweza kuvunjwa na ukavunjika maana nijuavyo mm.Uume ni masponji tu.Mssada wa kitatbibu tafadhqli
 
je mtu aliyejichubua hawezi kuwa mtafiti na akatoa hoja?

Utakuwaje mtafiti umejikoboa juso lote limeiva kama TUZI YA PANYA?

Kwanza anaonekana ni MENTALLY RETARDED, kwa sababu huwezi kuwa na akili timamu ukajisindika makemikali kwenye juso lako. Hata huo utafiti wake umejengwa juu ya MENTAL INCAPACITY, hence NULL AND VOID.

Angeanza kwanza kutafiti mikorogo anayotumia kabla ya kujisindika na kujikoboa juso lote ndembendembe jekundu nduuu nduuu!!!

Huyu hana utafiti wowote ule, ni kahaba limeokotwa BUGURUNI MALAPA ili kutuzuga watanganyika kwa hadithi za kusadikika.

Anatikisa vikalio vyake viko kama NUKTA FAKTI anajizungurusha huku anawasha screen eti anaonyesha picha ya mzungu!
 
Wewe utakuwa ki8ngozi wa mashoga.Umelipwq kuja kufanya retaliation
 
Hili ni swali lingine nililolisahau? Maswali ni mengi sana.
Kwanza ni homoni gani hizo zinazowafanya watu kuwa mashoga?!
Hebu tuambie ni sumu gani hiyo inayopandisha homoni za mtu kua shoga [emoji101]
 
Inatisha sana,
Watu wa hivi wanapaswa kukemewa kwa nguvu kwa kupotosha jamii
 
Mtu "unatengenezwaje" kuwa shoga?
Tukianzia hapa JF, kuna mtu amewahi kukutana na mtu "aliyetengezwa" kuwa shoga? Kuna mtu amewahi kujaribiwa "kutengenezwa" kuwa shoga?

Kulikuwa na mashoga wangapi kabla ya hawa waliotengenezwa na hizi taasisi ili tupime ukubwa na ukuaji wa tatizo kama kweli hili ni tatizo.
Hukusikia idadi ya mashoga na wasagaji waliotengenezwa kwa kuhudumiwa na hizo taasisi?
Mbona kaweka wazi?
 
Hukusikia idadi ya mashoga na wasagaji waliotengenezwa kwa kuhudumiwa na hizo taasisi?
Mbona kaweka wazi?
Kama vipi awalete hao mashoga walotengenezwa waje watoe ushuhuda tuone ni kivipi hao watu hawakuwa mashoga wakawa trained hadi wakawa mashoga!! Maana Bongo wanasiasa wakiona kitu kinavuma sana na wao wanapitia humo humo!
 
Naona Mwakyembe kawatoa machoko shimoni
Ikibidi ingieni barabarani na mabango kuonesha Mwakyembe kaingilia haki zenu za msingi na mmekasirishwa sanaa
Jibu hoja acha kujibinua binua,
Ushoga unakukosesha umeme na Maji?, unakukosesha huduma bora za Afya? Unakukosesha Ajira na kujiajiri? Maisha yako magumu yanasababishwa na Ushoga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…