Kama vipi awalete hao mashoga walotengenezwa waje watoe ushuhuda tuone ni kivipi hao watu hawakuwa mashoga wakawa trained hadi wakawa mashoga!! Maana Bongo wanasiasa wakiona kitu kinavuma sana na wao wanapitia humo humo!
Jengeni hoja na siyo kutukana..,mbona mnakuwa wakali na wenye lugha kali kama vile mmeguswa.., najuwa hata hapa jukwaani wapo waliolengwa na hilo jiwe lililorushwa gizani.Mwandishi uchwara kajichubua kiasi kwamba JUSO limekuwa jekundu kama TUZI YA PANYA.
Ukishajichubua tu unakuwa mentally retarded, na hata yote unayoyasema yanakuwa NULL AND VOID.
Uchunguzi uchwara wa BINTI MWENYE MKOROGO wakiongozana na KIRANJA WAKE ZEE LA USHOGA MWAKIEMBE.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtu "unatengenezwaje" kuwa shoga?
Tukianzia hapa JF, kuna mtu amewahi kukutana na mtu "aliyetengezwa" kuwa shoga?
Training ya ushoga [emoji23][emoji23]Kama vipi awalete hao mashoga walotengenezwa waje watoe ushuhuda tuone ni kivipi hao watu hawakuwa mashoga wakawa trained hadi wakawa mashoga!! Maana Bongo wanasiasa wakiona kitu kinavuma sana na wao wanapitia humo humo!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni kama kiwanda fulani cha mikate, unaingizwa kwenye BAKERY unatoka ukiwa BWABWA. [emoji1787]
Hahaha ngoja niitafute.Nyie jamani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nitumie link ya hiyo video full
Ila kama ulisikiliza vizuri ile clip unaweza juwa wanatengenezwaje., wanatumia vitu kama mswaki na dawa ya meno, nguo na perfume. The way unavyotumia unajikuta unakuwa na hisia za kike, yaani kuna mda unatamani kupapaswa, kushikwashikwa na wao nahis wanapozigawa hizo products wanakuwa na records za waliogawiwa ili baada ya mda flan wanafuatilia kujuwa wamewawin wangapi.Mtu "unatengenezwaje" kuwa shoga?
Tukianzia hapa JF, kuna mtu amewahi kukutana na mtu "aliyetengezwa" kuwa shoga? Kuna mtu amewahi kujaribiwa "kutengenezwa" kuwa shoga?
Kulikuwa na mashoga wangapi kabla ya hawa waliotengenezwa na hizi taasisi ili tupime ukubwa na ukuaji wa tatizo kama kweli hili ni tatizo.
Mkuu ulipaswa umuambie...Maswali ya kipumbavu kutoka kwa mpumbavu
Unaweza ukawa usifundishe kama tunavyofundishwa masomo ya kawaida dalasani au isiwe kwa Njia ya Moja kwa Moja.
lakini ukweli uliopo LGTQ wanaconvice watu wakubaliane na ushoga kwa ichi kama marekani agenda zao zimeshawekwa kwenye syllabus watoto wanasoma na wanaambiwa it's ok being gay.
Hata Tanzania miazi michache iliyopita vilikawatwa vitabu vyenye maudhui ya ushoga ambavyo vinasomwa na watoto wadogo ambao hawajui kutofautisha baya na zuri na wanakubaliana na chochote wanachokisoma ,
Kwanini tusiite huku ni kufundisha ushoga.
#Kataaushoga
Suala la kuiga kuhusu Uganda, nadhani serikali ndo inajua ifanye kwa kutumia namna ipi. Ila kwa mtazamo wangu sio sahihi kwa Uganda.inaonekana we si shoga bali ni msagaji unaounga mkono ushoga, je ni kweli au si kweli? Kama ni mfuatiliaji wa mambo yenu ya ushoga, unaonaje tanzania nayo ikaiga uganda katika mapambano dhidi ya ushoga?
MmetajwaNaombeni video nzima sijaona zaidi ya vipande tu
Hao ndio wale wanaodhani Mashoga ni Species fulani hivi kwa hiyo ukiiua itatoweka, wanajisahau kua wao ndio wanawazaa [emoji28] as long as watu wanazaa basi kila aina itazaliwa.Hahahaa
Hivi Shirika linatengenezaje mashoga? KIVIPI? HOW?
You need to be very foolish to comprehend the propaganda!
Anaetetea upumbavu....Maswali ya kipumbavu kutoka kwa mpumbavu
wanatumia vitu kama mswaki na dawa ya meno, nguo na perfume. The way unavyotumia unajikuta unakuwa na hisia za kike, yaani kuna mda unatamani kupapaswa,.
Kweli kabisa! La sivyo wanatuacha na taharuki pasipo kuelewa chochote. Maana hayo mashirika yapo na tunayaona hadi mahospitalini. Mfano **** wanahusika na mambo ya afya na ninahisi wanafanya kazi kwa kushirikiana na serikali, hapa inakuwaje sasa wanafundisha ushoga? Watuletee ushuhuda tujionee kama makonda alivyowapelekaga wahanga wa madawa ya kulevya wakakiri mbele ya kadamnasi. Mwakyembe nae afanye hivyo.Sahihi kabisa, hili lifanyike mbele ya tume huru ya wataalamu wa biology na afya.
Ndio hapa jf wapoMtu "unatengenezwaje" kuwa shoga?
Tukianzia hapa JF, kuna mtu amewahi kukutana na mtu "aliyetengezwa" kuwa shoga? Kuna mtu amewahi kujaribiwa "kutengenezwa" kuwa shoga?
Kulikuwa na mashoga wangapi kabla ya hawa waliotengenezwa na hizi taasisi ili tupime ukubwa na ukuaji wa tatizo kama kweli hili ni tatizo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni kama kiwanda fulani cha mikate, unaingizwa kwenye BAKERY unatoka ukiwa BWABWA. [emoji1787]