Dkt. Harrison Mwakyembe ajilipua suala la Ushoga; Kukabidhi jina la Mwenyekiti wao kitaifa na mikoa kwa Serikali

Dkt. Harrison Mwakyembe ajilipua suala la Ushoga; Kukabidhi jina la Mwenyekiti wao kitaifa na mikoa kwa Serikali

Ushoga ni tatizo kama matatizo mengine uliyoyataja hapo.

Huwezi kuacha kupambana na Ushoga kwasbabu eu umeme na maji shida.

It's not ok being gay

,#Kataaushoga
Hebu soma kwa sauti hicho ulichoandika halafu jipige kifua mara 3 na kutamka maneno haya "MIMI ZACHT NI MJINGA"
 
kupitia kwa press conferance kwenye kongamano la kidini aliyoifanya mheshimimwa H mwakyembe ni dhahiri swala la ushoga ni tishio kwa taifa letu la leo na la baadaye.

Ushoga una madhara makubwa sana katika swala zima la kuendeleza kizazi kwa sababu mtoto wa kiume anpoamua kuwa shoga hawezi kuzaa kwa sababu atakuwa anaingiliwa kinyume na maumbile na kujiona yeye ni mwanamke hivyo hawezi kuoa.lakini pia shoga hawezi kuzaa kwa sababu ameamua kumuoa mwanaume mwenzake.

ndugu zangu,ushoga ni mpango wa ibilisi kuiangamiza dunia kwa sababu tutajikuta dunia nzima imejaa wanawake halisia kibiologia na wanawake bandia ( wanaume mashoga).
haiji akilini kuna mtu anagawa nguo na perfume zinazowabadirisha wanaume kuwa mashoga then wizara ya afya imekaa kimya.haiji akilini mtu anafundisha ushoga then wizara ya mambo ya ndani imekaa kimya juu ya mtu kama huyo.

heri maskini jeuri kuliko kuwa na taifa lilomwasi Mungu na kuwa mashoga.Hili hapana kwa kweli.TMDA kuweni kazini .why nguo na mafuta ya kupakaa na perfume zinawabadiri watoto wenu wa kiume kuwa mashoga yanaingizwa nchini taasisi nzima haijui.

watu wameenda mpaka semina wamelipwa zaidi ya milioni mbili halafu serikali haijui .hii siyo sawa

 
Umeshawekewa dawa za kulevya na kupandikiziwa homone za ushoga, pia wamekupelekea moto bila ya kujijua ila ukishtuka tu tayari ushakuwa senge.

Nini usichoelewa hapo?

Au unakataa kwamba madawa ya kulevya hayajaathiri Watu wengi tu na kujikuta wakifanyiwa wasivyopenda ikiwemo kuf**wa?
Mtu akishawekewa madawa na kuingiliwa kinyume na maumbile tayari anakua shoga [emoji15]

Kua serious bhana,

Amekuuliza swali zuri sana, Mbwa/Ng'ombe akihasiwa anakua Shoga???
 
Isije ikawa anafanya siasa, maana ana uzoefu wa kung'oa viongozi wazito hata serikalini, afanye hivyo haraka tuwajue hao viongozi wa ushoga tutoe maoni namna ya kudhibiti ushoga usienee zaidi na pia tuishauri serikali isiingie kichwakichwa kupambana na ushoga isije ikaangukia pua na kuanza kuzodolewa na nchi wafadhili na wahisani wa maendeleo ya nchi wanaounga mkono ushoga
 
Yote hayo lazima yafanywe na huyu huyu mtafiti wa ushoga unavyopandikizwa kwa wingi na hao Mabeberu au watafiti wengine wamekufa?

Bado Mashoga mnatapa tapa tu kumshambulia mtafiti bila ya kupangua hoja zake kiushahidi.
Ushahidi gani?
Wa kusema kuna chuo kinatengeneza mashoga au wa kusema kuna sumu inawekwa kwenye perfumes na Dawa za Meno ambazo zinaboost homons na kumfanya mtu awe shoga!?

Ni mjinga pekee anaweza akaamini huo ujinga na kama wewe umeamini huo ujinga nakupa pole sana maana ushajijua upo nafasi gani.
 
Kwa jinsi Dr. Harrison Mwakyembe na Mwandishi wake walivyoshambuliwa nimegundua kuwa huu mtandao wa ushoga na usagaji una washirika lukuki na tayari umeshaota mizizi.
Haiwezekani Mtu kama Mwakyembe anapotosha na kudanganya umma kisha anyamaziwe hilo haliwezekani, kalishwa matango pori kajaa upepo kaja kuharibu
 
Wewe sihitaji hata kuandika chochote kukueleza, maana wewe ni certified homosexuality. Labda nikupe pole tu.
Ni kweli upo sahihi ndio maana nikiona wajinga wanapotosha kuhusu kitu ninachokijua lazima niseme ukweli,

Na wewe kwa akili zako unaamini Ushoga unatengenezwa kupitia dawa za meno na perfumes? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wazungu hawatupendi sana wa-africa ,lengo lao tuishe wote ili waje kukaa bara hili liliobarikiwa kila aina ya resources.

Kwahiyo wanainduce ushoga barani ,wazungu wana plan za muda mrefu sana wanaweza hata kuwa na plan ya miaka hata 50 huko mbele ,kwa mujibu wa hiyo report ya huyo dada ,hadi sasa ninavyoandika ilitakiwa huyo mzungu na wakeze kina noel wapo lupango.
 
Sasa kama wanaume mmeamua kugeuzana mi nifanyeje mkuu? Mtajua wenyewe mi nafurahia tu show...ukisikia kuna ambao wanapenda kupigwa chabo nishtue nikawatizame.
Mfuata huyo fala wako xtaper mtajijua lakini hapa ntawaweka wazi tu sina jinsi
 
Nimeshindwa kusoma. Maandishi kwa rangi ya blue iliyopooza yanashindwa kuonekana vizuri. Mods tunaomba msaada ili wote tuweze kusoma..


Ahsaante.
📌📌📌
Mie nimelazimika ku highlight ndo ikasomeka..
Mleta mada rekebisha bhana!
USSR
 
Uniweke wazi kwamba mimi ni msagaji? Ha haaa ndugu unafurahisha.
Njoo nikugee ndo utajua kama mimi ni msagaji au la.
Sijasema ww msagaji ila unafagilia haya mambo ya madume kugeuzana wasagaji wanajulikana laiv


Na wanaopenda kutizama wanajulikana hivyo kuna tofauti ya shoga na anayependa kutizama hao mashogz


Nadhani umeelewa sikusema ww ni msagaji ila nimesema unapenda kushuhudia watu wakigeuzana. Huko nyuma
 
Dah!
Na wewe ni Baba wa Familia na Watoto wako wanajivunia kua na Baba anayeamini ujinga kama huo[emoji28]

Na wale wa hekaya za Sodoma na Gomora mnaowa refer kila siku waliwekewa kwenye mkate au maji ya kunywa? Hadi wakaanza kupapasana

Dr sorry ulimsikiliza yule muandishi vizuri? Alisema ili kuthibitisha alienda kwa Mkemia mkuu kwa ajili ya kuvipima vile vitu walivyokuwa wanagawa ,na mkemia mkuu alithibitisha vinachochea sana mwanamme kuongezeka hormones za kike.

Nikupe mfano ,kuna hormone inaitwa adrenaline hiyo inaongezeka/kuzalishwa zaidi kukiwa na hatari ,napenda kukwambia pia binadamu yeyote ana hormones za kike na za kiume ila mwanammke anakuwa na hormones za kiwango kikubwa za kike na kidogo sana za kiume ,hivyo hivyo kwa mwanamme naye anakuwa na hormones za kiume nyingi kuliko za kike ,kwahiyo hao wafadhili wa ushoga wanatengeneza perfumes/dawa za meno/mafuta ambazo zinachochea uzalishwaji wa hormoes nyingi za kike kwa mwanamme ,hii ni bioloji tu ya form One C.
 
Wazungu hawatupendi sana wa-africa ,lengo lao tuishe wote ili waje kukaa bara hili liliobarikiwa kila aina ya resources.

Kwahiyo wanainduce ushoga barani ,wazungu wana plan za muda mrefu sana wanaweza hata kuwa na plan ya miaka hata 50 huko mbele ,kwa mujibu wa hiyo report ya huyo dada ,hadi sasa ninavyoandika ilitakiwa huyo mzungu na wakeze kina noel wapo lupango.
Muone na huyu maskini,
Ndio mnadanganyana mkiwa mnabet kua Mzungu anataka Waafrika waishe ili yeye aje akae huku, una kipi cha ziada ambacho huyo Mzungu nchini kwake hana? Kati yenu nyie weusi na wazungu ni yupi anayeenda kwa mwenzie kila siku? Ulishawahi kuona wahamiaji wa Kizungu Nchi za Afrika?

Muda mwingine kuweni serious
 
Back
Top Bottom