Dkt. Harrison Mwakyembe ajilipua suala la Ushoga; Kukabidhi jina la Mwenyekiti wao kitaifa na mikoa kwa Serikali

Dkt. Harrison Mwakyembe ajilipua suala la Ushoga; Kukabidhi jina la Mwenyekiti wao kitaifa na mikoa kwa Serikali

Mwakyembee ndo ana majibu yoteee hadi katoa press, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
cocastic unasema mwakiembe ndio ana majibu yote, hamuoni kuwa anawaharibia mambo yenu anaposema anaujua mtandao wenu kuanzia ngazi ya juu mpaka chini, je siku akiwataja hamtaona kwamba anawadhalilisha au mtafurahia jamii kuwafahamu ?
 
Hahahahahaha dah yaan unaenda kutibiwa Moyo unatoka umekua shoga [emoji1787]
Nyie watu hebu kuweni serious kidogo,
Hakuna shirika linawafundisha watu ushoga mngefatilia hayo mashirika yanafanya vipi kazi kabla hamjalishwa matango pori na nyie mkayatafuna
Acha ujinga basi wewe, kama waliweza kutengeneza chakula ambacho kinafanya Me aote matiti, wanashindwa vipi kupandikiza virusi vya homone imbalance ili Me awe shoga?
 
Huo utafiti wao umeleta tija gani kwa taifa?
Watu wanalia hawana Umeme, maji, huduma za Afya mbovu, rushwa imetamalaki, tozo ndio usiseme ila mtu anatumia nguvu kubwa kutafiti mashoga halafu iweje sasa, hebu wewe nambie ushajua fulan ni shoga je unaongeza nini na kupunguza nini kwa maisha yako
Yote hayo lazima yafanywe na huyu huyu mtafiti wa ushoga unavyopandikizwa kwa wingi na hao Mabeberu au watafiti wengine wamekufa?

Bado Mashoga mnatapa tapa tu kumshambulia mtafiti bila ya kupangua hoja zake kiushahidi.
 
Mwandishi uchwara kajichubua kiasi kwamba JUSO limekuwa jekundu kama TUZI YA PANYA.

Ukishajichubua tu unakuwa mentally retarded, na hata yote unayoyasema yanakuwa NULL AND VOID.

Uchunguzi uchwara wa BINTI MWENYE MKOROGO wakiongozana na KIRANJA WAKE ZEE LA USHOGA MWAKIEMBE.
Utawajua tu kwa rangi zao
 
Huyo mzungu kafaulu pakubwa sana, hadi jf watu wanaharisha uharo ambao hata fb jukwaa lililoonekana kuwa la watoto hawawezi kutoa ushuzi unaotolewa na watu wanaojiita eti ma great thinker [emoji848][emoji848][emoji848]

Sent from my 2107113SG using JamiiForums mobile app
 
Utakuwaje mtafiti umejikoboa juso lote limeiva kama TUZI YA PANYA?

Kwanza anaonekana ni MENTALLY RETARDED, kwa sababu huwezi kuwa na akili timamu ukajisindika makemikali kwenye juso lako. Hata huo utafiti wake umejengwa juu ya MENTAL INCAPACITY, hence NULL AND VOID.

Angeanza kwanza kutafiti mikorogo anayotumia kabla ya kujisindika na kujikoboa juso lote ndembendembe jekundu nduuu nduuu!!!

Huyu hana utafiti wowote ule, ni kahaba limeokotwa BUGURUNI MALAPA ili kutuzuga watanganyika kwa hadithi za kusadikika.

Anatikisa vikalio vyake viko kama NUKTA FAKTI anajizungurusha huku anawasha screen eti anaonyesha picha ya mzungu!
Kisu kwenye mfupa hicho [emoji847]
 
Mtu "unatengenezwaje" kuwa shoga?
Tukianzia hapa JF, kuna mtu amewahi kukutana na mtu "aliyetengezwa" kuwa shoga? Kuna mtu amewahi kujaribiwa "kutengenezwa" kuwa shoga?

Kulikuwa na mashoga wangapi kabla ya hawa waliotengenezwa na hizi taasisi ili tupime ukubwa na ukuaji wa tatizo kama kweli hili ni tatizo.
Kuu la Mashoga unaweweseka sana, unadhani Mashoga wa hapa wako huru kama huko kwenye nchi za kishetani wanapojitangaza dhahiri na kufunga ndoa?
 
Pamoja na hayo yote, mchunguzi gani kajikoboa kakoboka JUSO LIMEIVA ndembendembe kama TUZI YA PANYA?

Yeye mwenyewe kashajifia hapo alipo, kajimaliza kwa mikorogo — JUSO limehorojoka kama TUZI YA PANYA anasubiri kutwaliwa na ISRAEL akachomwe moto wa milele.

Nawaona watu wawili tu hapo, mmoja ni malaya wa buguruni aliyejichokea kwa mkorogo, na wa pili ni ZEE LILILOSTAAFU NA KUZEEKA KWA MARADHI SUGU likitiririsha udenda na kutuzuga linapambana na vinyesi.
Wewe ni shoga. Umekaza Misuli kumuongelea mtu badala ya kuogelea hoja alizo ongea. Pia ayo meneno yako ya mekaa KIMIPASHO MIPASHO Kitu ambacho kwa mwanaume ni ngumu kua na pigo izo
 
Hakuna cha mzungu hapo, stori za kusadikika hizi.

Mchunguzi kavimbisha vitako vyake kama NUKTA FAKTI anajizungurusha kwenye screen anatuonesha jinsi mashoga "wanavyotengenzwa" kwa kutumia PAFYUMU.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] perfume?? Khaaaah
 
Of course bro mfadhili yupo na pesa ipo kabisa


Na wana government yao kabisa mpka kimtaa lkn ndo hivyo huwezi jua hivi hivi na mpaka humu jf wapo na wanajisema waziwazi kabis sanasana wanawake


Culture Me Dr. Mariposa hao ni mf kdg

Huyu mshenzi cocastic ndo anayeongoza kwa kuwarubuni watu wajiingize humo na anawafagilia kabisa japo yy ni ke ila anasagwa pia na madildo

xtaper huyu mbwa pia na yy ndo walewale nilikuwa napitia thread ya sexual famtasy yako naona wahuni washamchezea sana nyuma
Demi huyu naye anapenda kuona wanaume wakifanyana amekiri kabisa

DIVISHENI FOO aliwahi nisababisha nile ban kisa nilimtukana matusi ambayo hajawahi kuona alikuwa anatetea ushoga nikamlamba matusi ya ajabu

Shahidi Nuzulati sema yy hakupewa ban siku ile nilishirikiana nae kum didimiza huyu lofa DIVISHENI FOO kwa hoja za maana


Hivyo list ni ndefu sana mkuuuu nimechoka kutype 🍺🍺🍺🍺🍺

Lkn cocastic huyu ni mama lao kwenye haya mambo we fuatilia replies zake imefika mahalaa anaforce watu kabis alafu ukicheki ni mtoto mdogo wa miaka 23 yupo masters hapo udsm ila ni pumba zimemja akilini its so sad


Imetosha kwa leo 😁😁😁😁
Sasa kama wanaume mmeamua kugeuzana mi nifanyeje mkuu? Mtajua wenyewe mi nafurahia tu show...ukisikia kuna ambao wanapenda kupigwa chabo nishtue nikawatizame.
 
Back
Top Bottom