Dkt. Harrison Mwakyembe ajilipua suala la Ushoga; Kukabidhi jina la Mwenyekiti wao kitaifa na mikoa kwa Serikali

Dkt. Harrison Mwakyembe ajilipua suala la Ushoga; Kukabidhi jina la Mwenyekiti wao kitaifa na mikoa kwa Serikali

Ushuuda

2014- njaa kali imenichapa mtaani sina mishe, napendeza tu hasubuhi naangaika kutafuta kazi na kukosa kesho yake muendelezo huo huo mpaka mwaka unaisha naanza tena mizunguuko ya kutafuta kazi mwaka ujao-was so hard

2014- nipo masikani baada ya mizunguuko ya hapa na pale nimepoa- tulikuwa vijana wengi wengi kidogo mida ya saa tano inaenda sita za mchana- akaja uncle tu wa mtaani akatuambia kuna inshu tu ya mahojiano hapo muhimbili kuwa mnahojiwa tu mahojiano yakiisha mnapewa posho -degree nyingi kichwani nikahoji’ mahojiano hayo yanahusu nini! Yule uncle akapangua akasema kila kitu mtakijua huko huko- vijana tukaitana tukafika kama vijana 30 hivi? Yulee uncle akatoa nauli elf 5,5 Kwa kila mmoja na akatuambia mkimaliza mahojiano mtapewa posho na akatoa location- hakuna asiyeijua hospital ya muhimbili so akatuelekeza mpaka kwenye hizo ofisi

Sijui sasa kuwa hicho kitengo kipo hapo muhimbili siku zote au walikodi tu Office kwa ajili ya mahojiano ila yote hayo anayoyasema Mh- hapo yalikuwepo kwenye mahojiano na ilikuwa ukiwa mzembe lazima unase-WALLLAH nilikataa na posho yenyewe ile ile elf 5 niliyopewa kama nauli ilitosha kabsa kunirudisha nyumbani kama nauli-M/MUNGU atusimamie InshAAllah

Kwanza hapo reception kwao tulipofika ni mashoga tupu yaani wamejaa, tukaanza kutonyana jamaa katupa dili la kuja kuwabandua nini? Hawa mashoga- nomaa, hatimaye tukaulizia na kuambiwa ndio hapa kuna interview na tukaitiwa wahusika wakatupa utaratibu wakatuambia anaingia mmoja mmoja kwenye hicho kachumba Kwa ajili ya mahojiano- hatari

Nikatishe story ili nisiwachoshe

Maswali yalikuwa hivi kwenye hicho chumba

Unaulizwa jina lako?

Unaulizwa unasikia kuhusu mapenzi ya jinsia moja au unajua kabsa?

Unaulizwa ulishawahi shiriki mapenzi na mwanaume mwenzako ? Kama uliwahi unaulizwa tena ulijisikiaje?

Kama haujawahi unaulizwa unaonaje? Siku uje kujaribu?
Unaulizwa utapenda uje? Kujaribu na condom au bila condom!

Unaulizwa tena unapenda wewe uwe ndio unamfanya mwenzako au yeye? Ndio anakufanya au wote muwe mnafanyana kwa zamu?

Ukikubali unaambiwa upo? Tayari tukutafutie mtu ambaye atakuwa anakufanya au unamfanya bila tatzo lolote yaani yeye atakuwa anakubali tu umfanye au akufanye?

Na unaulizwa Kama ulishawahi kumuingilia msichana kinyume na maumbile na kama ukikubali wanakiringanisha hicho kitendo ni sawa tu na kumuingilia mwanaume mwenzako na wanakushawishi uwe tayari kumuingilia na mwanaume mwenzako

Wanakuuliza utajisikiaje? Siku ukiingiliwa bila wewe mwenyewe kujua uenda ulikuwa umelala au umelewa je? Utaendelea na hicho kitendo au utaacha baada ya kujua kama umefanyiwa

Wana maswali mengi sana ya mtego mtego- na hapo ukiwa unawaunga mkono kwenye maswali yao ndio posho inaongezeka na ndio wanakuwa wanakujali sana, utapewa chakula na n.k

Na wanakubembeleza ukubali kuingia kwenye mkumbo huo wanakwambia kama hautaki kuingiliwa sio tatzo wewe utakuwa unawaingilia tu wanaotaka kuingiliwa na ukihoji ntawapata wapi? Unaambiwa wapo usiwe na shaka juu ya ilo na kwa malipo kama utahitaji-mtihani sana

Wanomba namba yako ili siku kukiwa na semina utumiwe sms au upigiwe uambiwe uende kuudhuria vikao vyao wanatoa vipeperushi, wanagawa na condom na mafuta special ya kutumia wakati wa tendo - ni msiba kweli kweli

Hapo walikuwepo wariorudi mpaka na elf 50 Kama posho ya siku hiyo na vicheko vingi sana kwangu baada ya kutoka kwenye hicho kachumba na kutimua zangu maana walituambia tule na tusubiri pesa zetu Mimi nikasepa zangu na kuja kupata mrejesho kutoka kwa watu nilioongozana nao- vishawishi mia fill mia lazima uingie mtegoni kama ni kichwa cha panzi.

hii ilikuwa 2014, sasa hivi ni 2023.
 
Mama anaishi kwa kutegemea misaada, huwezi kusikia anasema neno. Hata makamu wa rais anaishia kulialia makanisani tu huko kama muumini mwingine
Unataka mama afanye nn wakati aliyeingia hiyo mikataba yakuwageuza raia wa nchi hii kuwa machoko bado ni mkubwa wake?
Hapa ni sisi raia kupambana nalo tu iwe kimyakimya au kwa maandamano.
 
Ukweli ni lazima uanikwe ili kulinusuru taifa letu. Naona Marekani na Ulaya wameamua kwa nguvu zote kupenyeza ajenda ya ushoga kwa nchi za Afrika. Haishangazi tunapoona nchi baadhi ya nchi za Kiafrika pia zikibadili misimamo na kuanza kutambua haki zao kupitia mihimuli ya mahakama.

Cha kushangaza ni kuwa pale Putin alipoweka wazi msimamo wake kuhusu kupinga matendo ya kishoga, Ulaya na Marekani wanafanya kila na kwa nguvu zote kutetea uchafu huu kwa kigezo cha haki za binadamu. Dr. Mwakwembe amefanya vyema ili kutoa tahadhari ya ukubwa wa tatizo kwa hivi sasa hapa nchini.

Ni jambo la kuogofya sana kuchukulia matokeo ya tatizo kubwa sugu kwa mtizamo hafifu wa kuwa kama dalili za tatizo hilo. Kama mtandao mkubwa upo hapa nchini tena unaendeshwa kwa mfumo unaoeleweka wa kiutawala na kimenejimenti, basi serikali itambue kuwa imechelewa sana kuchukua hatua stahiki.

Si ajabu katika madai ya Katiba Mpya yakatokea madai ya kutambua haki za LGBTIQA eti kwa kigezo kuwa nchi yetu iliridhia haki zao msingi ikiwa kama mojawapo ya nchi wanachama wa UN. Ni lazima tujiulize ni kwa nini Rais Museveni ameamua kukubali sheria kali ziwekwe dhidi ya ushoga na mashoga katika kipindi hiki? Huenda amepata taarifa ya "whistle brower" kama Dr. Mwakwembe na hatimaye kujiridhisha kuwa tatizo ni kubwa kuliko watu wengi wanavyolichukulia nchini mwake.

Makamu wa Rais wa Marekani anakuja hivi karibuni hapa nchini. Amini nawaambia pamoja na mambo mengine ni lazima ataligusia jambo hio. Na tunavyopenda misaada na wawekezaji wa kigeni nina hofu juu ya msimamo wa wazi wa viongozi dhidi ya ushetani huu.
Marekani ulaya wapi hata uarabuni
Si kuna wabongo wanakwendaga madurai huko kuwafata mabwana zao

Ova
 
Waziri wa zamani wa wizara mbalimbali amesema kuna chama la mashoga hapa Tanzania na wana uongozi wao wa kitaifa na kimataifa, kimkoa na kiwilaya atawataja na kukabidhi majina yao kwa mamlaka husika ili wachukue hatua.

Amesema anayo majina yao wote namba zao za simu na washirika wao wote

USSR

----
Mashoga wana mkurugenzi mkuu wao kabisa wa kuendeleza masuala ya ushoga Tanzania, jina lake ninalo na hata namba yake pia, nitawasilisha serikalini. Pia kuna wenyeviti wa mikoa na mtandao wa ufuatiliaji hadi vijijini

Kuna wahamasishaji wa masuala ya ushoga ngazi ya kanda, ninayo orodha ya majina yao pamoja na namba zao za simu. Na wahamasishaji hawa wapo kwa miaka mingi tu, naomba mtambue ndugu zangu hali ni mbaya sana

Kuna dodoso maalum la masuala ya ushoga ambalo ukilijaza linapelekwa Marekani, na pia kuna mwongozo maalum wa mafunzo ya mabadiliko ya tabia na mawasiliano ya wanaume wanaofanya ngono na wanaume wenzao, mwongozo huo upo

Na tumekaa na vijana ambao ni mashoga, niwaambie tu wanatamani kabisa kurudi katika hali ya zamani, ukimuuliza aliingiaje, mwingine anakwambia nilianza kidogo kidogo darasa la tatu hata sijui niliingiaje, na natamani kurudi. Ukimsikiliza machozi yanataka kutoka

"Sheria yetu ya kudhibiti ushoga inahitaji marekebisho, inapaswa kuwa na meno ya kutosha na kung'ata. Mfano kwa msagaji adhabu yake ni kati ya mwaka mmoja na miaka mitano jela au faini kati ya shilingi laki moja na laki tatu, na sheria hii inaangalia zaidi kufanyika kwa tendo, kuna umuhimu ikaangalia na mazingira ya kupelekea jinai hiyo kufanyika, na mara nyingi anakamatwa shoga lakini baasha hakamatwi

Kwa kufuru,upuuzi, uchafu na uasi na ushetani unaoufanywa na wanadamu hapa duniani, unafanya yaliyofanywa na Sodoma na Gomora kuwa 'cha mtoto

Kule Marekani, watoto wa miaka 5-7 wanafundishwa kwamba, umezaliwa na sehemu za siri za kiume lakini ukijisikia na ukipenda, unaweza ukaamua kuendelea kuwa mwanaume au la, na unaweza ukaoa mwanaume au mwanamke


Mwaka 2016 Serikali yetu ilimfukuza mwakilishi wa Mfuko wa Ukimwi wa Rais wa Marekani alituharibia watoto wetu sana, lakini sasa kuna mwanaume mwingine kutoka Marekani yupo hapa Dar es Salaam anatuharibia watoto wa kiume, na taarifa zake tumeshaziwasilisha polisi

Chanzo: Jambo TV
sijamuelewa mwakyembe,nini hasa anatafuta?
 
Waziri wa zamani wa wizara mbalimbali amesema kuna chama la mashoga hapa Tanzania na wana uongozi wao wa kitaifa na kimataifa, kimkoa na kiwilaya atawataja na kukabidhi majina yao kwa mamlaka husika ili wachukue hatua.

Amesema anayo majina yao wote namba zao za simu na washirika wao wote

USSR

----
Mashoga wana mkurugenzi mkuu wao kabisa wa kuendeleza masuala ya ushoga Tanzania, jina lake ninalo na hata namba yake pia, nitawasilisha serikalini. Pia kuna wenyeviti wa mikoa na mtandao wa ufuatiliaji hadi vijijini

Kuna wahamasishaji wa masuala ya ushoga ngazi ya kanda, ninayo orodha ya majina yao pamoja na namba zao za simu. Na wahamasishaji hawa wapo kwa miaka mingi tu, naomba mtambue ndugu zangu hali ni mbaya sana

Kuna dodoso maalum la masuala ya ushoga ambalo ukilijaza linapelekwa Marekani, na pia kuna mwongozo maalum wa mafunzo ya mabadiliko ya tabia na mawasiliano ya wanaume wanaofanya ngono na wanaume wenzao, mwongozo huo upo

Na tumekaa na vijana ambao ni mashoga, niwaambie tu wanatamani kabisa kurudi katika hali ya zamani, ukimuuliza aliingiaje, mwingine anakwambia nilianza kidogo kidogo darasa la tatu hata sijui niliingiaje, na natamani kurudi. Ukimsikiliza machozi yanataka kutoka

"Sheria yetu ya kudhibiti ushoga inahitaji marekebisho, inapaswa kuwa na meno ya kutosha na kung'ata. Mfano kwa msagaji adhabu yake ni kati ya mwaka mmoja na miaka mitano jela au faini kati ya shilingi laki moja na laki tatu, na sheria hii inaangalia zaidi kufanyika kwa tendo, kuna umuhimu ikaangalia na mazingira ya kupelekea jinai hiyo kufanyika, na mara nyingi anakamatwa shoga lakini baasha hakamatwi

Kwa kufuru,upuuzi, uchafu na uasi na ushetani unaoufanywa na wanadamu hapa duniani, unafanya yaliyofanywa na Sodoma na Gomora kuwa 'cha mtoto

Kule Marekani, watoto wa miaka 5-7 wanafundishwa kwamba, umezaliwa na sehemu za siri za kiume lakini ukijisikia na ukipenda, unaweza ukaamua kuendelea kuwa mwanaume au la, na unaweza ukaoa mwanaume au mwanamke


Mwaka 2016 Serikali yetu ilimfukuza mwakilishi wa Mfuko wa Ukimwi wa Rais wa Marekani alituharibia watoto wetu sana, lakini sasa kuna mwanaume mwingine kutoka Marekani yupo hapa Dar es Salaam anatuharibia watoto wa kiume, na taarifa zake tumeshaziwasilisha polisi

Chanzo: Jambo TV
Mzee alipataje namba zao mpaka hao viongozi wa huo mtandao?
Maana nasikiaga kwamba hivi vyama vya siri kama "furiimathoni" huwezi kujua siri zao mpaka uwe mwanachama[emoji848]
 
Kuna vitu huwa vinanishangaza sana.

Mbona zipo media na wasanii kibao ambao ukiwasikiliza na kuwaona ni wazi wanapromote hizi issue kabisa na hao hao ndio wapiga kampeni wa chama kubwa na programes kibao za kussuport wanasiasa.

Leo hii kijana wa kiume anajiita chawa, vijana wengi leo hii wamegeuka wapambe wa watu hii nini maana yake?...

Moja ya vitu vitakavyoiangamiza Africa ni umasikini na watu kutoambiwa ukweli kwamba maisha yanakuja baada ya kufanya kazo kwa bidii.
Viongozi legelege nao wataiingiza Africa kwenye shida kwa tamaa ya kupata sifa, tamaa ya kuongoza kwa kutegemea misaada ya hao weupe bila kuwa na tone la akili ya kujitegemea.
 
Kipindi hicho magazeti ya udaku yameshika Kasi. Kill mtu anataka kusoma. Shigongo aliteka Sana soko na hadithi zake za kusisimua. Front page humkosi sinta,
Umenikumbusha Sinta "J lo wa Bongo"
Halafu kuna ile simulizi ilikuwa inaitwa Mkimbizi na nyingine Utata wa 9/10
 
Vijana wetu wamekuwa chawa aka wapambe wa vijana wa kiarabu na wahindi, ili maisha yao yaende lazima wawe karibu na hao wahindi na waarabu, wawasifie, wawatajetaje, wawaimbe nk..... Vijana ukiwa tajiri na viherahera basi wanakuganda na kujiita machawa lazima wabanduliwe sasa.

USA ameshajua udhaifu ulipo, "UMASIKINI NA UVIVU" hapo ndio anapenyea kwa kumwaga hela (mnofu), kijana anakaa tu maskani mwisho wa mwezi analipwa basi yeye ni kula bata tu weekend na mtoa hela ndio huyo basha..

Hii ni vita ya secret agency yetu, inapaswa kuipigana hii vita kwa siri kwa kucrackdown all underground operations na kuset mfumo wa malezi kwenye jamii kupitia pale Afya na ustawi wa jamii..
 
Makonda alisema hivyo hivyo anawajua lakini mmarekani alipompa onyo na kumpa ban, hakuna aliyemtetea au kunyanyua mdomo wake, na aliishia kupoteza vyeo vyote vya kisiasa, nasubiri kitakacho mpata Museveni maana tayari kuna video kibao mitandaoni waganda wakiwachapa mashoga, Ruto naye alinyanyua mdomo against mashoga leo maandamano nchi nzima yalipotokea nobody knows
Hoja yako ni nini hapo?
 
Mienendo ya vijana maarufu wanaoitwa celebrity iangaliwe sana maana wengi ukiwaangalia pigo zao zinatia shaka kidogo.

Biashara nyingi za hawa celebrity vs uhalisia wa maisha yao niwakuangalia sana maana mwisho wa siku wanajamii wanataka kuwa kuishi kama wao matokeo yake no kunasa ndoano hasa wale vijana masikini waliokosa uelekeo.

Ukiangalia hawa wasanii siku nyingi kumekuwa na tuhuma za ushoga miongoni mwao zikisemwa na hakuna hatua zinazochukuliwa na wapo huru kufanya matamasha huku na kule.
 
Dar es Salaam unamkuta mshikaji yupo na mdada ukiamini pengine ni mpenzi wake kumbe wote wawili wanatafuta wanaume.

Nilikuwa maeneo siku moja nimeelewana demu fulani nikaanza kumnunulia pombe, ananiambia eti niko na rafiki yangu naye mnunulie pombe, kucheki ni mwanaume anaswaga sizielewi, nilimjibu straight sinunulii pombe wanaume kama vipi nawewe kaa mbali na mimi.
 
Acha upumbavu wewe! Mwakyembe ni mtu wa mchezo mchezo wa kumfananisha na hao walala njaa wasio na lolote ?! Hana shida ya Kiki huyo, maisha anayo na yenye mafanikio yaliyotukuka! Anasema ukweli kama mzalendo na mzazi mwenye uchungu!
Usitumie nguvu humu kuna mashoga sasa ulitaka wacomment vipi? Hii ni vita bra kila mtu anavutia kwake ukiona comment negative kuhusu huu uzi usisumbuke
 
Back
Top Bottom