CHAPALAKATA
Member
- Sep 9, 2024
- 78
- 120
Inafikirisha, ngumu kumeza ,Sarungi hahusiani na Maria ,kosa la mtoto baba hahusiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga MkonoLwaitama ni mpuuzi. Hata kama mimi ningekuwa Rais siwezi kwenda msiba wa mtu anayenitukana mitandaoni. Huo msiba unamhusu Maria kwa 100%. Kila mtu abebe msalaba wake. Pia msiba ni jambo la kifamilia zaidi.
As a comfort - in - chief!!!??Sio lazima ahudhurie.
huyu mzee mmjinga kweli yaaani rais lazima aende kwenye misiba yote? kikwete kawakilisha tatizo nini ? mzee mzima kama huyu kuwa mjinga ni kitu cha ajabusana kutokea hapa duniani inaonyesha jinsi chadema wasivyo na wazee wakuwashauri wana vizee vyenye matatizo ya akiliSamia kukataa Kwenda kwenye Msiba wa Sarungi inaleta picha mbaya! Ni visasi ndani ya nafsi, Taasisi ya Ikulu haina ushauri mzuri juu ya mwenendo wa Rais, tunajua kisa ni @MariaSTsehai, kifupi Rais wa Nchi kaharibu,,,
Kutoka X
yule ni kiongozi pia tatizo liko wapi?Siyo lazima Mhe. Rais kufika msibani ILA angemtuma aidha Makamu wa Rais au Waziri Mkuu kumwakilisha kuliko yule aliyemwakilisha.
Misiba mingine huwa siyo ya kifamilia?Lwaitama ni mpuuzi. Hata kama mimi ningekuwa Rais siwezi kwenda msiba wa mtu anayenitukana mitandaoni. Huo msiba unamhusu Maria kwa 100%. Kila mtu abebe msalaba wake. Pia msiba ni jambo la kifamilia zaidi.
Wewe ni profesa nani vile?huyu mzee mmjinga kweli yaaani rais lazima aende kwenye misiba yote? kikwete kawakilisha tatizo nini ? mzee mzima kama huyu kuwa mjinga ni kitu cha ajabusana kutokea hapa duniani inaonyesha jinsi chadema wasivyo na wazee wakuwashauri wana vizee vyenye matatizo ya akili
Ukiwa kiongozi,usipende kusifiwa tuu,wakati mwingi wanaokusifia wanakuingiza chaka la nyoka mwenye sumu Kali!Samia kukataa Kwenda kwenye Msiba wa Sarungi inaleta picha mbaya! Ni visasi ndani ya nafsi, Taasisi ya Ikulu haina ushauri mzuri juu ya mwenendo wa Rais, tunajua kisa ni @MariaSTsehai, kifupi Rais wa Nchi kaharibu,,,
Kutoka X
Ugonjwa wa Akili nao kutukautazame!Lwaitama ni mpuuzi. Hata kama mimi ningekuwa Rais siwezi kwenda msiba wa mtu anayenitukana mitandaoni. Huo msiba unamhusu Maria kwa 100%. Kila mtu abebe msalaba wake. Pia msiba ni jambo la kifamilia zaidi.
Mkuu una akili kama za trumpUnajuaje familia ya Sarungi inataka hayo mambo?
Kwa hiyo mwanao akikamatwa kuwa mwizi na wewe waje wakuunganishe wakuchome.Lwaitama ni mpuuzi. Hata kama mimi ningekuwa Rais siwezi kwenda msiba wa mtu anayenitukana mitandaoni. Huo msiba unamhusu Maria kwa 100%. Kila mtu abebe msalaba wake. Pia msiba ni jambo la kifamilia zaidi.
Acha mawazo ya visasi,hii sio busara unachoshauri!Aache kikao cha kamati kuu ya CCM aende msibani?
Anadhabi kikao cha kamati kuu ya CCM ni sawa na cha Chadema?
Pili msiba wenyewe ulikuwa vurugu tupu
Ndugu wa Profesa Sarungi walikuwa hawataki azikwe Dar wanataka akazikwe kwao na wamesema wanaenda mahakamani ili mwiili ufukuliwe ukazikwe kwao Utegi ,Mara.
Misiba ya hovyo kama hoyo huyu babu anataka Raisi aende?
Kuna siku chache hapa zilizopita, waziri wa elimu Dr. Mkenda, alikuwa anataka kuonana na rais nasikia kuna kikundi cha wafitini hapo ikulu kilimzuia.Samia kukataa Kwenda kwenye Msiba wa Sarungi inaleta picha mbaya! Ni visasi ndani ya nafsi, Taasisi ya Ikulu haina ushauri mzuri juu ya mwenendo wa Rais, tunajua kisa ni @MariaSTsehai, kifupi Rais wa Nchi kaharibu,,,
Kutoka X
Huyu nae hajielewi mkuu,mwanaume mzima anajiita mama Samia,huu ni ugonjwa hata uchawa una afadhali!Kwa hiyo mwanao akikamatwa kuwa mwizi na wewe waje wakuunganishe wakuchome.
Umetumia akili za makalio kufikiri sijui kama una mtoto hata wa kusingiziwa
Ndio maana ccm hawana akiliHuyu nae hajielewi mkuu,mwanaume mzima anajiita mama Samia,huu ni ugonjwa hata uchawa una afadhali!
Tumia akili kidogo. Yule mzee ni mtumishi wa serikali mstaafu aliyeshika nyadhifa kubwa sana hapa inchini.Lwaitama ni mpuuzi. Hata kama mimi ningekuwa Rais siwezi kwenda msiba wa mtu anayenitukana mitandaoni. Huo msiba unamhusu Maria kwa 100%. Kila mtu abebe msalaba wake. Pia msiba ni jambo la kifamilia zaidi.
Halafu huyu ni Me,anajiita mama Samia2025!Na wewe ni hovyo! Ma ccm yana visasi kama Lucifer!
Prof. Sarungi alipaswa kuzikwa Utegi Rorya.Aache kikao cha kamati kuu ya CCM aende msibani?
Anadhabi kikao cha kamati kuu ya CCM ni sawa na cha Chadema?
Pili msiba wenyewe ulikuwa vurugu tupu
Ndugu wa Profesa Sarungi walikuwa hawataki azikwe Dar wanataka akazikwe kwao na wamesema wanaenda mahakamani ili mwiili ufukuliwe ukazikwe kwao Utegi ,Mara.
Misiba ya hovyo kama hoyo huyu babu anataka Raisi aende?