Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Rais Mstaafu Jakaya Kikwete yupo nchini Comoro na leo amekutana na Rais wa nchi hiyo Azali Assoumani na kumpatia Ujumbe Maalumu kutoka kwa Rais Samia Suluhu Hassani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usilolijua.Kikwete ni mwanadiplomasia mama amuweke karibu zaidi.
Kikwete ni mwanajeshi, na rais mstaafu. Anatakiwa awe mstaafu wa kuwa anaombwa ushauri, siyo yeye ndiye awe active waziri wa mambo ya nje kivuli wa kuchonga trip. Miaka 20 ya trip za nje alizofanya akiwa serikalini kuanzia mwaka 1995 hadi 2015 zinatakiwa zimtoshe aanze kufanya kazi za wazee wa busara nje ya serikali, siyo kuendelea kuwa active serikalini.Kikwete ni mwanadiplomasia mama amuweke karibu zaidi.
JPM alikuwa anawatuma Samia na Majaliwa kumwakilisha mambo mbalimbali, leo Samia anatuma JK ( mstaafu) prime minister na vice president wapo, hiyo ni dharau sana, Kuna jambo ambalo haliko sawa kabisa, ndo maana hawa jamaa wako kimya sana kama hawapo including lukuvi, kabudi, cdf, IGP, you name it.Rais Mstaafu Jakaya Kikwete yupo nchini Comoro na leo amekutana na Rais wa nchi hiyo Azali Assoumani na kumpatia Ujumbe Maalumu kutoka kwa Rais Samia Suluhu Hassani
View attachment 1904926
View attachment 1904927
Ulipoandika dhalau badala ya dharaura nikaona kama punguani vile japo una point fikirishiJPM alikuwa anawatuma Samia na Majaliwa kumwakilisha mambo mbalimbali, leo Samia anatuma JK ( mstaafu) prime minister na vice president wapo, hiyo ni dhalau sana, Kuna jambo ambalo haliko sawa kabisa, ndo maana hawa jamaa wako kimya sana kama hawapo including lukuvi, kabudi, cdf, IGP, you name it.
Dharaura Mkuu..?Ulipoandika dhalau badala ya dharaura nikaona kama punguani vile japo una point fikirishi
"Dhalau" badala ya "dharaura"?Ulipoandika dhalau badala ya dharaura nikaona kama punguani vile japo una point fikirishi
Msitupangie....Huo ujumbe maalumu hauwezi kumfikia Rais wa Comoro kwa njia ya simu, kupitia ubalozi n.k?
usimpangie cha kufanya. either way diplomasia na experience yake kazin inambeba.Kikwete ni mwanajeshi, na rais mstaafu. Anatakiwa awe mstaafu wa kuwa anaombwa ushauri, siyo yeye ndiye awe active waziri wa mambo ya nje kivuli wa kuchonga trip. Miaka 20 ya trip za nje alizofanya akiwa serikalini kuanzia mwaka 2005 had 2015 zinatakiwa zimtoshe aanze kufanya kazi za wazee wa busara nje ya serikali, siyo kuendelea kuwa active serikalini.
Nakumbuka Magu aliwahi kumtumia pia.Kikwete ni mwanajeshi, na rais mstaafu. Anatakiwa awe mstaafu wa kuwa anaombwa ushauri, siyo yeye ndiye awe active waziri wa mambo ya nje kivuli wa kuchonga trip. Miaka 20 ya trip za nje alizofanya akiwa serikalini kuanzia mwaka 2005 had 2015 zinatakiwa zimtoshe aanze kufanya kazi za wazee wa busara nje ya serikali, siyo kuendelea kuwa active serikalini.
Picha ya kwanza korona iliomba samahaniPicha ya kwanza hakuna cha barakoa zero distance ya pili distance nzuri na barakoa ju [emoji23]