Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi simpangii kwani ni kodi zetu anazotumia. Kama ni hivyo basi wasiwe wanalazimisha watu wengine kustaafu wakifika miaka 60. Kikwete ana miaka 71, sasa iwapo yeye ndiye ataendelea kufanya kazi zote za diplomasia je wanaochipukia katika nyanja hiyo watafanya nini. Ina maana atakapokuwa hayupo hakutakuwa na wanadiplomasia tena. Kila kitabu na enzi zake, akubali kuwa enzi zake zimepita. Anaweza akahoji au kushauri mambo lakini siyo yeye mwenyewe ndiye awe active ndani ya serikali.usimpangie cha kufanya. either way diplomasia na experience yake kazin inambeba.
ukiwa unajua unajua tu hata uzeeke vip
Mimi simpangii kwani ni kodi zetu anazotumia. Kama ni hivyo basi wasiwe wanalazimisha watu wengine kustaafu wakifika miaka 60. Kikwete ana miaka 71, sasa iwapo yeye ndiye ataendelea kufanya kazi zote za diplomasia je wanaochipukia katika nyanja hiyo watafanya nini. Ina maana atakapokuwa hayupo hakutakuwa na wanadiplomasia tena. Kila kitabu na enzi zake, akubali kuwa enzi zake zimepita. Anaweza akahoji au kushauri mambo lakini siyo yeye mwenyewe ndiye awe active ndani ya serikali.
Hajui huyu mkuuUsilolijua.......
This one is simply the best; polonium handler!
Wewe mwenyewe rudia kusoma sentensi yako vizuri,au ndiyo Nyani haoni..................Ulipoandika dhalau badala ya dharaura nikaona kama punguani vile japo una point fikirishi
Kwani JPM hakuwahi kuwakilishwa na Marais wastaafu?Jpm alikuwa amewabana sana
Huyu mwanamke anatukosea heshima watanzania
JPM alimbana Mwenyekiti wa Bodi ya Malaria ya UN hahaha mnaakili ndogoJpm alikuwa amewabana sana
Huyu mwanamke anatukosea heshima watanzania
Mkapa alikua diwani ao wamechanganyikiwaKwani JPM hakuwahi kuwakilishwa na Marais wastaafu?
Hahah mara kadhaa tu Kikwete, Mkapa na Mwinyi wamemuwakilisha JPM nje ya nchi, watu kimya. Lkn awamu hii imekuwa nongwa.Mkapa alikua diwani ao wamechanganyikiwa
Na wewe ulipoandika dharaura bila kuchunguza umeandika nini nikajua jamaa yangu anahangaika na taahira pia!Ulipoandika dhalau badala ya dharaura nikaona kama punguani vile japo una point fikirishi
Alimwakilisha wapi nje ya nchi.Nakumbuka Magu aliwahi kumtumia pia.
Halafu wakija huku wanaleta KAOLEPicha ya kwanza hakuna cha barakoa zero distance ya pili distance nzuri na barakoa ju 😂
Usanii.Picha ya kwanza hakuna cha barakoa zero distance ya pili distance nzuri na barakoa ju 😂