Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tulia wewe ukatwe tozoMimi simpangii kwani ni kodi zetu anazotumia. Kama ni hivyo basi wasiwe wanalazimisha watu wengine kustaafu wakifika miaka 60. Kikwete ana miaka 71, sasa iwapo yeye ndiye ataendelea kufanya kazi zote za diplomasia je wanaochipukia katika nyanja hiyo watafanya nini. Ina maana atakapokuwa hayupo hakutakuwa na wanadiplomasia tena. Kila kitabu na enzi zake, akubali kuwa enzi zake zimepita. Anaweza akahoji au kushauri mambo lakini siyo yeye mwenyewe ndiye awe active ndani ya serikali.
kuapishwa kwa Rais wa Zimbabwe Ndg. Mnangagwa, Kikwete alimwakilisha JPM. Vipi tuendelee zingine au tuishie hapo?Alimwakilisha wapi nje ya nchi.
Ninajua kuwa aliwahi kuandamana naye kwenye sherehe ya uapishwaji wa Rais wa Afrika ya Kusini, lakini siyo kuwa alimtuma Kikwete kuwa mwakilishi wake; JPM alikuwa akiwakilishwa na Mama Samia au Prof Kabudi.
Kwenda kwenye sherehe ni jambo dogo sana kuliko kwenda kufanya mazungumzo ya kidiplomasia.kuapishwa kwa Rais wa Zimbabwe Ndg. Mnangagwa, Kikwete alimwakilisha JPM. Vipi tuendelee zingine au tuishie hapo?
Usibishe vitu kama hujui au hukumbuki.Siyo kweli; JPM aliwakilishwa na Samia!
Ni kweli; nimeangalia tena na kuona kuwa hiyo ilipotokea, Kikwete aliambatana na Mangula pamoja na Cheyo kwenye sherehe hiyo ambayo haikuwa na majadiliano yoyote ya kidplomasia. Na ilipotokea ni wakati ambapo serikali ya magufuli ilikuwa na kikao cha baraza la mawaziri kuhusu tatizo la umeme na kesi ya TANESCO; ni kikao hiki kilichosababisha kuanza kwa mchakato wa mradi wa Stiglers Gorge. wote waliokwenda Zimbabwe wakati huo hawakuwa watu wa serikalini.Usibishe vitu kama hujui au hukumbuki.
Kikwete alienda kuapishwa kwa Mnangagwa
Samia akaenda mazishi ya Mugabe.
tumia hata google itakusaidia kuliko kubishana vitu vilivyo wazi.
Ulipoandika dhalau badala ya dharaura nikaona kama punguani vile japo una point fikirishi
Sasa na wewe umeandika nini?Ulipoandika dhalau badala ya dharaura nikaona kama punguani vile japo una point fikirishi
usimpangie cha kufanya. either way diplomasia na experience yake kazin inambeba.
ukiwa unajua unajua tu hata uzeeke vip
Ulipoandika "dharaura" badala ya "dharau" kisha ukatukana mtu wewe ndiyo unaonekana punguani zaidi ya uliyemnukuu.Ulipoandika dhalau badala ya dharaura nikaona kama punguani vile japo una point fikirishi
ndio maana kuna kitu kinaitwa experience.. no offence kwa wanao chipukia.. lakin je wana uhawishi ?Mimi simpangii kwani ni kodi zetu anazotumia. Kama ni hivyo basi wasiwe wanalazimisha watu wengine kustaafu wakifika miaka 60. Kikwete ana miaka 71, sasa iwapo yeye ndiye ataendelea kufanya kazi zote za diplomasia je wanaochipukia katika nyanja hiyo watafanya nini. Ina maana atakapokuwa hayupo hakutakuwa na wanadiplomasia tena. Kila kitabu na enzi zake, akubali kuwa enzi zake zimepita. Anaweza akahoji au kushauri mambo lakini siyo yeye mwenyewe ndiye awe active ndani ya serikali.