Dkt. Jakaya Kikwete Awasilisha Ujumbe Maalumu wa Rais Samia Kwenda Kwa Rais Wa Comoro

Dkt. Jakaya Kikwete Awasilisha Ujumbe Maalumu wa Rais Samia Kwenda Kwa Rais Wa Comoro

Huyo mzee wa msoga ndio anampangia - Aibu!
 
Mimi simpangii kwani ni kodi zetu anazotumia. Kama ni hivyo basi wasiwe wanalazimisha watu wengine kustaafu wakifika miaka 60. Kikwete ana miaka 71, sasa iwapo yeye ndiye ataendelea kufanya kazi zote za diplomasia je wanaochipukia katika nyanja hiyo watafanya nini. Ina maana atakapokuwa hayupo hakutakuwa na wanadiplomasia tena. Kila kitabu na enzi zake, akubali kuwa enzi zake zimepita. Anaweza akahoji au kushauri mambo lakini siyo yeye mwenyewe ndiye awe active ndani ya serikali.
tulia wewe ukatwe tozo
 
Alimwakilisha wapi nje ya nchi.

Ninajua kuwa aliwahi kuandamana naye kwenye sherehe ya uapishwaji wa Rais wa Afrika ya Kusini, lakini siyo kuwa alimtuma Kikwete kuwa mwakilishi wake; JPM alikuwa akiwakilishwa na Mama Samia au Prof Kabudi.
kuapishwa kwa Rais wa Zimbabwe Ndg. Mnangagwa, Kikwete alimwakilisha JPM. Vipi tuendelee zingine au tuishie hapo?
 
Siyo kweli; JPM aliwakilishwa na Samia!
Usibishe vitu kama hujui au hukumbuki.

Kikwete alienda kuapishwa kwa Mnangagwa
Samia akaenda mazishi ya Mugabe.
tumia hata google itakusaidia kuliko kubishana vitu vilivyo wazi.
 
Usibishe vitu kama hujui au hukumbuki.

Kikwete alienda kuapishwa kwa Mnangagwa
Samia akaenda mazishi ya Mugabe.
tumia hata google itakusaidia kuliko kubishana vitu vilivyo wazi.
Ni kweli; nimeangalia tena na kuona kuwa hiyo ilipotokea, Kikwete aliambatana na Mangula pamoja na Cheyo kwenye sherehe hiyo ambayo haikuwa na majadiliano yoyote ya kidplomasia. Na ilipotokea ni wakati ambapo serikali ya magufuli ilikuwa na kikao cha baraza la mawaziri kuhusu tatizo la umeme na kesi ya TANESCO; ni kikao hiki kilichosababisha kuanza kwa mchakato wa mradi wa Stiglers Gorge. wote waliokwenda Zimbabwe wakati huo hawakuwa watu wa serikalini.
 
usimpangie cha kufanya. either way diplomasia na experience yake kazin inambeba.
ukiwa unajua unajua tu hata uzeeke vip

IMG-20210823-WA0098.jpg
 
Samia tatzo jinsia 2:watu wa bara huwa hawana imani na watu wa pwani yan huwa wanaamini kiongoz Bora anatoka bara!!!!
 
Kuna watakaosema mavasco da gama wanatumana kwa ghalama ya tozo za wadanganyika
 
Huyu baba anaacha kusaidia nchi yake, anazurura tu na yeye kukicha! Nchi iko kwenye mess ya hatari, ila watu wanapishana tu angani huko.
 
Mimi simpangii kwani ni kodi zetu anazotumia. Kama ni hivyo basi wasiwe wanalazimisha watu wengine kustaafu wakifika miaka 60. Kikwete ana miaka 71, sasa iwapo yeye ndiye ataendelea kufanya kazi zote za diplomasia je wanaochipukia katika nyanja hiyo watafanya nini. Ina maana atakapokuwa hayupo hakutakuwa na wanadiplomasia tena. Kila kitabu na enzi zake, akubali kuwa enzi zake zimepita. Anaweza akahoji au kushauri mambo lakini siyo yeye mwenyewe ndiye awe active ndani ya serikali.
ndio maana kuna kitu kinaitwa experience.. no offence kwa wanao chipukia.. lakin je wana uhawishi ?
 
Back
Top Bottom