JPM alikuwa anawatuma Samia na Majaliwa kumwakilisha mambo mbalimbali, leo Samia anatuma JK ( mstaafu) prime minister na vice president wapo, hiyo ni dharau sana, Kuna jambo ambalo haliko sawa kabisa, ndo maana hawa jamaa wako kimya sana kama hawapo including lukuvi, kabudi, cdf, IGP, you name it.