Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
SaaaaaaaaaafiiiiiiMagufuli safiiiiiiiii
Ulisha msikia Mbowe akilalamika kuwa kazi ya uenyekiti ni ngumu? Halafu unajibu out of context sijui kwanini au huwa hamuelewi mada?Kazi ya uenyekiti mbowe ni ngumu lakini bado TUNAMUAMINI kwa ule uwezo wake akae tu miaka 30 ijayo!!
Okchadema kuna nini? 2015 walifanya nn?hata sasa wataenda kufanya yale yale ya 2015
OkChadema pia kuna Mbowe mwenyekiti wa milele.
Sijakuelewa ndo maana nimekuuliza swali ambalo umekwepa kulijibu BAVICHAAsante kwa kunielewa. Mchana mwema kwako
Usijali, tukutane wakati mwingine Mkuu.Sijakuelewa ndo maana nimekuuliza swali ambalo umekwepa kulijibu BAVICHA
Wewe utakuwa team Mwenyekiti si bure!!Magufuli huyoooo magufuli weee mwenyekiti weee mwenyekiti huyoooooo....