Umeongea vizuri sana ila kuwa mkweli basi na uwe na hofu ya Mungu wa ukweli, utueleze unachofahamu kuhusu hawa watu: Beny Saanane na Azory Gwanda.
Pia useme kuhusu sakata lililompata Tundu Lissu kwani haya madaraka japo yanalevya sana lkn yana mwisho hata akina Nkurunziza na Mutharika wameshayaacha na wewe uko njiani kuyaacha.
Jaribu kuwatendea watu wako haki na uache kuwanyanyasa kwa kisingizio cha wale ni wapinzani. Baada ya huo mnaouita uchaguzi kupita na mkishafanya figusu kamwe wazungu hawatawaacha, ona leo Mnangagwa anavyolia kama kandama kalikofiwa na mamaye. Shauri yako utaona mwenyewe.
Mtanzania mwenzangu hata ukilialia haitobadilisha tusifuate na kuzilinda imani kuu za CCM zilizoifinyanga nchi hii.
Kamwe hatuwezi kuziacha kisa machozi yako ya mamba.
Yaani tuzifute imani HIZI;
1.Binadamu wote ni sawa.
JPM analisimamia hili kwa kuhakikisha raslimali za taifa zinawanufaisha RAIA WOTE na si wale kupe wachache.
2.Kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake.
JPM analisimamia hili kuhakikisha YALE MAMBO YA "UNANIJUA MM" yamekwisha Zama hz.Yalikuwepo kipindi kile serikali ya mh.membe na WENZAKE.
3.Ujamaa na kujitegemea NDIYO njia sahihi ya kujenga jamii iliyo sawa na huru.
JPM kwake ni KAZI TU Mana HATUNA WAJOMBA wa kuwaomba....
Kujitegemea ni kule ambako MAZWAZWA WALIPOLOCK DOWN sisi tunaendelea kulima na kufanya BIASHARA ili tuendeleze kulipana MISHAHARA.Ili wanafunzi wa vyuo vikuu wapate bumu lao pale HESLB.
Wastaafu wetu waweze kujikimu kwa kulipwa mafao yao ya kila mwezi.
Nawashauri muwe mnakunywa maziwa badala ya kulamba Sana faru John ile hatimiliki ya mh.mwenyekiti.
Think thrice