Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je, unaushahidi ili kuthibitisha unachokisema?Umeongea vizuri sana ila kuwa mkweli basi na uwe na hofu ya Mungu wa ukweli, utueleze unachofahamu kuhusu hawa watu: Beny Saanane na Azory Gwanda.
Pia useme kuhusu sakata lililompata Tundu Lissu kwani haya madaraka japo yanalevya sana lkn yana mwisho hata akina Nkurunziza na Mutharika wameshayaacha na wewe uko njiani kuyaacha...
5 zikiisha tumpe tena au unasemaje bwashehNi kweli kabisa tunampa 5 tena!
Kinachoshangaza tu ni kwa yeye kuendelea kuamini kwamba wanaomsikiliza wanayaelewa na kuyakubali hayo anayoyazungumza.Contradiction of the century. Tumefanya mipango mingi. Bado mingine hatujaikamilisha. Ni mipango tu na si utekelezaji. Na ni ya watu wengi katika kuibua hiyo mipango. Balaa likaanza licha ya Kiswahili kibovu. Siamini kama atatokea mwingine wa kuikamilisha. Walioibuni ni wengi lakini wa kuikamilisha ni yeye tu. Sikutaka kuwa mbinafsi. Siyo mimi tu nastahili kuongoza. Kwa kuchukua fomu anakuwa mbinafsi na kuonyesha kuwa ni yeye tu anastahili kuongoza( soma kutawala). Hapa ni paranoid au schizophrenia! Tunalo, I cry my beloved Tanzania. What has befallen you?
Sijaelewa mbinafsi"Kwa maoni yangu tumefanya mipango mingi lakini bado mingine hatujaikamilisha na siamini kama atatokea mwingine wa kuikamilisha, hiki ndicho kilichonifanya nichukue fomu, sikutaka kuwa mbinafsi kwa sababu siyo mimi tu ninayestahili kuongoza" - @MagufuliJP
#JPMKurejeshaFomu https://t.co/onDAcse059
Yaani huyu jamaa ni mbinafsi wa kupitiliza!Kwahiyo Allah akimchukua nchi itasimama?akili za kishamba bana[emoji3]
"Kwa maoni yangu tumefanya mipango mingi lakini bado mingine hatujaikamilisha na siamini kama atatokea mwingine wa kuikamilisha, hiki ndicho kilichonifanya nichukue fomu, sikutaka kuwa mbinafsi kwa sababu siyo mimi tu ninayestahili kuongoza" - @MagufuliJP
#JPMKurejeshaFomu https://t.co/onDAcse059
Kama Mbowe tu pale chadema yani, hakuna mtu wa kuwa mwenyekiti pale ila yeye tu,! Wengine wote watauza chama na siku akifa chadema ndio bai bai,Nchi nzima hakuna wa kufanya kazi
Kwahiyo Allah akimchukua nchi itasimama?akili za kishamba bana[emoji3]
CHANGAMOTO yenu ni kuwa hamjakuzwa kusikia UKWELI......Yaani huyu jamaa ni mbinafsi wa kupitiliza!
Toeni tu povu,sisi wanaCCM tunasubiri TU KUMCHAGUA.....Sijui anajionaje sio mbinafsi huku akiwa ni yeye pekee aliyechukua fomu!! Anajiona tayari ni yeye TU ndio anaweza kukamilisha yaliyoanza. Na huenda haamini atakuja mtu atokee zaidi ya yeye, in a coded language - atakaa madarakani as long as anaishi!!
Maneno haya husemwa na viongozi wa nchi zisizo na mipango na maendeleo endelevu (sustainable planning n development).
Good pointAngefanya hata robo ya aliyofanya JK mayowe yangekuwa hayatoshi.
Mzee mbona wenzio walifanya makubwa sana lakini hawakuwa na kelele?, wewe hata stahiki za wafanyakazi zilizoko kimikataba ya kazi na kisheria zimekushinda hayo makubwa makubwa gani?