Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwamba tayari kushajaaaMasoud kakusaidia kujibu hoja yakoView attachment 1493796
Hili jitu limelala humo ndani ya goli likiju hakuna atakaye weza kufunga goli kumbe limeachia nafasi hapo nyuma.Masoud kakusaidia kujibu hoja yakoView attachment 1493796
Kwa tafsiri yangu, inawezekana angependa na wengine wajaze na kurudisha kama yeye! Na ndicho alichokisema:
My take;
Yawezekana hakupendezwa na Sheria iliyopitishwa na chama chetu cha CCM kuwa awe mwenyewe uchaguzi wa 2020.
kipenzi changuUzi tayari
Abeekipenzi changu
Labda Mange Kimambi. USA naye demokrasia imekaaje, tutume watu kufanya uangalizi kwenye uchaguziHivi kule US Trump amegombea na nani vile wa Republican party?
Lala salama😘Abee
Santee, you too sleep welllala salama😘
Umemaliza kila kituThe guilty are always afraid!
"Kwa maoni yangu tumefanya mipango mingi lakini bado mingine hatujaikamilisha na siamini kama atatokea mwingine wa kuikamilisha, hiki ndicho kilichonifanya nichukue fomu, sikutaka kuwa mbinafsi kwa sababu siyo mimi tu ninayestahili kuongoza" - @MagufuliJP
#JPMKurejeshaFomu https://t.co/onDAcse059
Ndivyo walio mzunguka huko CCM wanavyo muaminisha.Kwa hiyo na hiyo mitano anayo omba ikiisha tena hajakamilisha mambo yake aombe tena mingine si ndio hivyo?
Magufuli acha kujiona kwamba bila wewe hii nchi si kitu, hii nchi umeikuta na shida na raha zake na utaondoka utaiacha na shida na raha zake vilevile.
Acheni kufikiri hivyo, mwaka huu hakatizi kama mwenzake wa MalawiIkikaribia 2025 atasema hivi hivi ili aongezewe muda.
Si tu atasema ,pia watakuwepo wa kumsemeaIkikaribia 2025 atasema hivi hivi ili aongezewe muda.