Sina ushahidi, unless hujanielewa. Ninachomaanisha ni kuwa rais ndio kikatiba ana jukumu la kusimamia ulinzi wa raia wote na mali zao.
Na inapotokea raia yeyote hajulikani alipo lazima afuatilie na ashee majibu kwa taifa, je katika swala la hao akina Saanane na Azory, hilo limefanyika??? Kama wewe sio mnafiki nafikiri jibu utakuwa nalo.
Haiwezekani uchaguzi ukiwadia ndio anaanza kuzunguka kwa hao hao ambao wengine wao hawajulikani walipo eti kuwaomba wampe kura, wampeje kura wakati hawezi kuwahakikishia usalama wao....????? This is not only hypocritical but a flagrant criminal unaccountability deserving indictment.