Dkt. John Pima aliyekuwa DED Arusha na wenzake wahukumiwa kifungo cha miaka 20 jela

Watakata rufaa watakuwa free
 
Jambazi SABAYA pamoja na kukiri Makosa kwa DPP yupo huru
 
Huyu jamaa alikuwa ana jiamini sana wakati wa mwenda zake. Kuwatishia watumishi wenzake kwamba ni mtu wa system na hakuna wa kumgusa. Hata Rc hakuwa na mamlaka juu yake. Akimwambia yeye ana ripoti Ikulu direct.
Wakati wa uchaguzi akampora Lema ushindi wake.
Huyu Mungu kweli halali wala hasinzii. Upandacho ndicho utakacho vuna.
 


Kada wa CCM Dkt. John Sima akutwa na hatia na kuhukumiwa kwenda jela kwa ufisadi.

Elimu :
Dr. John Marco Pima

Coventry University

Doctor of Philosophy (Ph.D.)Computer Science​

2013 - 2017

Coventry University

MScSOFTWARE DEVELOPMENT​

2009 - 2010
Activities and Societies: Member of Bad Designs and Systems Test Member of PTN UK Member of Source Market Team Member of Tanzania Students Association-UK

Graduate at IAA 2006 in Information Technology.

Registered Technical Teacher by NACTE Tanzania
Founder Secretary General and Director of Positive Thinkers Network of Tanzania


Kutoka maktaba :
 
Duh

Basi walimuamulia

Pole yake

Ova
Mzee wa Kino ni kwamba huyo jamaa alikuwa kwenye inner circle ya JPM. Kiburi chake sio poa. Kwa Afrika lazima utawala mpya unapoingia madarakani ishughulikie baadhi ya watu. Hata Gambo bungeni harudi. Yule Gambo alishawahi waweka ndani watu waliokuwa wamejichanga kwenda kupeleka rambirambi kwenye msiba wa watoto wa Lucky Vicent. Aliweka utaratibu kuwa rambirambi zote zipitie kwake. Na katika aliowatia ndani kwa sasa baadhi ni vigogo wa awamu ya 6.
 
Hukumu hizi pia zingekuwa zinatoka kwa mawaziri wezi, makatibu wakuu wezi, MaRC wezi nk na hata MaRais wezi bila shaka Taifa lingekuwa mbali sana kiuchumi.

Mahakama zenyewe zingebaki tupu bila watendaji na wananchi mtaani tungeisha maana waTz udokozi upo kwenye damu!
 
Mwendazake crews, internal Auditors walitishiwa sana na huyu jamaa
Kwamba mwendazake ndio alikuwa anawalinda waibe hizo pesa..? Umejiuliza bizo hela zimepigwa enzi za huyu dhaifu au dikteta wa maendeleo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…