Dkt. Joseph Kasheku Musukuma: Napitia post za wanaonibeza mitandaoni, kuanzia Ijumaa nitaanza kuwajibu

Dkt. Joseph Kasheku Musukuma: Napitia post za wanaonibeza mitandaoni, kuanzia Ijumaa nitaanza kuwajibu

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
#NUKUU "Bahati mbaya mimi siko mitandaoni na kuhusu wanaonibeza, mimi nitazungumza kuanzia Ijumaa, sasa hivi bado nasoma tu hayo mambo yao wanayoyaandika,"- Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma

Chanzo: @supabreakfast ya @earadiofm

IMG_20211205_182514.jpg
 
Afrika sijui kuna laana gani!

Musukuma hela yake aliyoitafuta kwa jasho inaliwa na wajanja wa India kwa kumhadaa kuwa watampa PhD! Si ajabu aliyemtengenezea Musukuma cheti cha PhD, yeye ana certificate tu IT.

Sasa Musukuma anaonekana hamnazo kwa kuvalishwa magauni yal8yoshonwa huko mtaani akihadaiwa kuwa kwa kuvaa hayo magauni amekuwa Dr.

Siku zote walikuwa wanawaambia Musukuma, Kibajaji na Japipo kuwa ni wajinga, wao hawakuamini. Sasa ndiyo inaonekana kwa dhahiri, Musukuma ni mjinga wa kiwango gani.
 
#NUKUU "Bahati mbaya mimi siko mitandaoni na kuhusu wanaonibeza, mimi nitazungumza kuanzia Ijumaa, sasa hivi bado nasoma tu hayo mambo yao wanayoyaandika,"- Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma

Chanzo: @supabreakfast ya @earadiofm

#NipasheMwangaWaJamii #NipasheHabari https://t.co/cy9yJVhsuVView attachment 2036973
PhD ya siasa kwa Tanzania it is good for nothing., bwana yule ni Proffesa kitaaluma na mchumi akiaminika duniani lakini alinunuliwa kwa shilingi mbili taaluma yake haikumsaidia chochote ata heshima aliyokuwanayo kwa watu haipo tena
 
Afrika sijui kuna laana gani!

Musukuma hela yake aliyoitafuta kwa jasho inaliwa na wajanja wa India kwa kumhadaa kuwa watampa PhD! Si ajabu aliyemtengenezea Musukuma cheti cha PhD, yeye ana certificate tu IT.

Sasa Musukuma anaonekana hamnazo kwa kuvalishwa magauni yal8yoshonwa huko mtaani akihadaiwa kuwa kwa kuvaa hayo magauni amekuwa Dr.

Siku zote walikuwa wanawaambia Musukuma, Kibajaji na Japipo kuwa ni wajinga, wao hawakuamini. Sasa ndiyo inaonekana kwa dhahiri, Musukuma ni mjinga wa kiwango gani.
Yeye Dkt.Msukuma ( PhD) ni wa darasa la saba.What do you expect? 😀
 
Yani hili jamaa ni limbukeni lililopata pesa. Amekaa kimajungu majungu saa zote. Huyu alikuwa kinara wa kutukana wasomi na kujinasibu kiufahari juu ya ulasaba wake. Leo hii kutunukiwa Phd ya kununua nae anajikuta msomi.
Huyu kiumbe nammithilisha na muendesha baiskeli alienunua leseni ya urubani wa ndege na ghafla kujiona na yeye ni rubani mbobezi. Ma profesa wasubiri kejeli na kebehi kutoka kwa Dr. wa kununua.
 
Yani hili jamaa ni limbukeni lililopata pesa. Amekaa kimajungu majungu saa zote. Huyu alikuwa kinara wa kutukana wasomi na kujinasibu kiufahari juu ya ulasaba wake. Leo hii kutunukiwa Phd ya kununua nae anajikuta msomi.
Hii nchi ina watu wa ovyo mno.
Hajui kabisa tabu ya kusoma hadi upate Phd. Lakini anawaponda sana wasomi leo naye amajivunia usomi
 
#NUKUU "Bahati mbaya mimi siko mitandaoni na kuhusu wanaonibeza, mimi nitazungumza kuanzia Ijumaa, sasa hivi bado nasoma tu hayo mambo yao wanayoyaandika,"- Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma

Chanzo: @supabreakfast ya @earadiofm

View attachment 2036973
Hayo mavazi yako kama mpika chai wa madiwani.
Aende akasome tu hakuna jinsi.
 
Back
Top Bottom