Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Tusitoke kwenye nada tuongelee Phd-(public hired driver)Acheni matusi, tuongelee PhD(Pubic hair Dresser) ya Msukuma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tusitoke kwenye nada tuongelee Phd-(public hired driver)Acheni matusi, tuongelee PhD(Pubic hair Dresser) ya Msukuma
Msukuma jaribu kufungua domo lako humu JF uone yatakayokukuta, utatamani urudishe ulikovitoa hivyo viguo yako vya kudekia ulivyovyaa
Mbona nawewe unawashutumu wenzio kwa wanachokifanya hujamaliza na wewe unafanya unachowalamu wenzako🤔.Hii Dunia ngumu sanaMembers wa JF baadhi mmegeuka bullies and demigods!!
Kwamba wewe ndio unakadiria nani ana haki ya kutoa hoja zake JF na nani hana?!? Acha kutisha watu, kamtishe mkeo na wanao!
Hongera sana King Dr. J.K Msukuma (Mb)
#NUKUU "Bahati mbaya mimi siko mitandaoni na kuhusu wanaonibeza, mimi nitazungumza kuanzia Ijumaa, sasa hivi bado nasoma tu hayo mambo yao wanayoyaandika,"- Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma
Chanzo: @supabreakfast ya @earadiofm
View attachment 2036973
Kwn Dr Magu alikufanyia nn huko nyuma mpk una makasiriko hivyo?Ni kweli Magufuli nilimchukia sana hata baada ya kufa namchukia tu. Hata akifufuka nikawa wa kwanza kumuona nitamtamtandika afe mara ya pili
Hela ninazo za kutosha, naweza kukulisha wewe na mumeoKwn Dr Magu alikufanyia nn huko nyuma mpk una makasiriko hivyo?
Ebu tafuta hela bhana upunguze makasiriko.
Unatuchukia kabila zima kisa Magu kwa kweli huna akili hata kidogo.[emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa Dr Msukuma Kasheku ataelewa hiyo lugha ya malkia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Akasoma barua hii ya TCUView attachment 2037233
Acha kuwafananisha viongozi wenye akili na Jiwe, pumbavuWw jamaa hujielewi,unakuwa limbukeni sana.
Hizo Elimu za kupewa za heshima ,wewe ndo umeanza kuzionea kwa musukuma?
Uliza viongozi wengine kama akina kikwete,Magu,Mseven na wengine wewe hukuwaona au ulikuwa bado mjinga ndo umeijua dunia leo?
Unaweza kumponda mtu na kumwita limbukeni kumbe nawe ndo limbukeni namba 1
Au unachuki na jamaa
Si ukanunue na ww kama zinanunuliwa
Mbona jiwe anachukiwa na kila mtu mwenye akili timamu na siyo masikini, ndiyo mana kila siku kuna nyuzi za kumnanga sana humu. Ila ukiwa kichaa/chizi kama yeye huwezi elewa hiliChuki ni kitu kibaya sana na siku zote humuumiza anayeihifadhi
Unachuki na Magu
Unachuki pia na kabila lake,
Watu dhaifu bhana [emoji23][emoji23][emoji23]
Magu anachukiwa na watu mafisadi,wala rushwa wenye vyeti feki,wezi wa mali za umma na viongozi majipu ,watu wachafu wa aina hizoMbona jiwe anachukiwa na kila mtu mwenye akili timamu na siyo masikini, ndiyo mana kila siku kuna nyuzi za kumnanga sana humu. Ila ukiwa kichaa/chizi kama yeye huwezi elewa hili
Kifupi wewe ni miongoni mwa watu mnao jisifia kuwa masikini. Jiheshimu na jipe thamani mkuu, acha kujiona kama takataka, japo najua ni kazi kuelewa hili lakini omba msaada hata kwa mtu anaye jielewa akupe ufafanuzi, usiombe msaada kwa masikini mwenzio maana utaishia kunitukana tu. Take it seriouslyMagu anachukiwa na watu mafisadi,wala rushwa wenye vyeti feki,wezi wa mali za umma na viongozi majipu ,watu wachafu wa aina hizo
Sijui ww upo kundi gani kati ya niliyotaja hapo juu
Wananchi walimpenda kwasababu alikuwa kiongozi mchapakazi,Muwazi,mwenye maamuzi ya haraka,aliwapigania wanyonge machinga mamantilie,bodaboda,walifanya biashara kwa uhuru,miundombinu ilijengwa,huduma za jamii zilikuwa bora maji na umeme
Sasa ww unaemchukia Magu na kabila lake una akili kweli?
Kwa nini Usukuma upo associated na ushamba?
Wasaidizi wake watamsaidia!Sasa Dr Msukuma Kasheku ataelewa hiyo lugha ya malkia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hakuna kitu hapo KASOME#NUKUU "Bahati mbaya mimi siko mitandaoni na kuhusu wanaonibeza, mimi nitazungumza kuanzia Ijumaa, sasa hivi bado nasoma tu hayo mambo yao wanayoyaandika,"- Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma
Chanzo: @supabreakfast ya @earadiofm
View attachment 2036973
Musukuma hakupewa Ph.D. (Yaani Doctor of Philosophy) , ila amepewa udaktari wa heshima (honorary doctorate). Namshangaa na yeye kusema amepewa Ph.D ya heshima, hamna kitu kinachoitwa Ph.D. ya heshima duniani; Ph.D zote huendana na thesis pamoja na viva voce (thesis defense). Doctorate za heshima huwa zinataja ni heshima gani, kwa mfano Doctor of Humanities Honoris Causa, Doctor of Letters Honoris Causa, Doctor of Science Honoris Causa, na vitu kama hivyo; halafu hutolewa siku ya graduation, ambapo mtunukiwa ndiye huwa msemaji mkuu wa darasa linalokuwa linagruate wakati huo ( kwa mfano class of 2021) na hupewa nafasi ya kutoa hotuba fupi kwa niaba ya darasa lake.Yani hili jamaa ni limbukeni lililopata pesa. Amekaa kimajungu majungu saa zote. Huyu alikuwa kinara wa kutukana wasomi na kujinasibu kiufahari juu ya ulasaba wake. Leo hii kutunukiwa Phd ya kununua nae anajikuta msomi.
Huyu kiumbe nammithilisha na muendesha baiskeli alienunua leseni ya urubani wa ndege na ghafla kujiona na yeye ni rubani mbobezi. Ma profesa wasubiri kejeli na kebehi kutoka kwa Dr. wa kununua.
#NUKUU "Bahati mbaya mimi siko mitandaoni na kuhusu wanaonibeza, mimi nitazungumza kuanzia Ijumaa, sasa hivi bado nasoma tu hayo mambo yao wanayoyaandika,"- Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma
Chanzo: @supabreakfast ya @earadiofm
View attachment 2036973