Dkt. Joseph Kasheku Musukuma: Napitia post za wanaonibeza mitandaoni, kuanzia Ijumaa nitaanza kuwajibu

Dkt. Joseph Kasheku Musukuma: Napitia post za wanaonibeza mitandaoni, kuanzia Ijumaa nitaanza kuwajibu

Afrika sijui kuna laana gani!

Musukuma hela yake aliyoitafuta kwa jasho inaliwa na wajanja wa India kwa kumhadaa kuwa watampa PhD! Si ajabu aliyemtengenezea Musukuma cheti cha PhD, yeye ana certificate tu IT.

Sasa Musukuma anaonekana hamnazo kwa kuvalishwa magauni yal8yoshonwa huko mtaani akihadaiwa kuwa kwa kuvaa hayo magauni amekuwa Dr.

Siku zote walikuwa wanawaambia Musukuma, Kibajaji na Japipo kuwa ni wajinga, wao hawakuamini. Sasa ndiyo inaonekana kwa dhahiri, Musukuma ni mjinga wa kiwango gani.
Musukuma ni janga la Taifa na ni kielelezo cha ubovu wa Bunge letu. Isitoshe haya mapopoma ndiyo Magufuli aliyajaza na alikuwa anayataka ili wapitishe miswaada na mipango yake ya hovyo.

Hapo anasema "sipo kwenye mitanfao" halafu anasema "nasoma wanavyoniandika". Utasomaje wakati haupo kwenye mitandao?
 
Msukuma jaribu kufungua domo lako humu JF uone yatakayokukuta, utatamani urudishe ulikovitoa hivyo viguo yako vya kudekia ulivyovyaa
 
Afrika sijui kuna laana gani!

Musukuma hela yake aliyoitafuta kwa jasho inaliwa na wajanja wa India kwa kumhadaa kuwa watampa PhD! Si ajabu aliyemtengenezea Musukuma cheti cha PhD, yeye ana certificate tu IT.

Sasa Musukuma anaonekana hamnazo kwa kuvalishwa magauni yal8yoshonwa huko mtaani akihadaiwa kuwa kwa kuvaa hayo magauni amekuwa Dr.

Siku zote walikuwa wanawaambia Musukuma, Kibajaji na Japipo kuwa ni wajinga, wao hawakuamini. Sasa ndiyo inaonekana kwa dhahiri, Musukuma ni mjinga wa kiwango gani.
Ww jamaa hujielewi,unakuwa limbukeni sana.
Hizo Elimu za kupewa za heshima ,wewe ndo umeanza kuzionea kwa musukuma?
Uliza viongozi wengine kama akina kikwete,Magu,Mseven na wengine wewe hukuwaona au ulikuwa bado mjinga ndo umeijua dunia leo?
Unaweza kumponda mtu na kumwita limbukeni kumbe nawe ndo limbukeni namba 1

Au unachuki na jamaa
Si ukanunue na ww kama zinanunuliwa
 
Anatakiwa awe mwangalifu, tuzo nyingine zinaweza kukufanyia Permernent Head Damage (PHD)
 
Musukuma ni janga la Taifa na ni kielelezo cha ubovu wa Bunge letu. Isitoshe haya mapopoma ndiyo Magufuli aliyajaza na alikuwa anayataka ili wapitishe miswaada na mipango yake ya hovyo.

Hapo anasema "sipo kwenye mitanfao" halafu anasema "nasoma wanavyoniandika". Utasomaje wakati haupo kwenye mitandao?
Chuki ni kitu kibaya sana na siku zote humuumiza anayeihifadhi
Unachuki na Magu
Unachuki pia na kabila lake,
Watu dhaifu bhana [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Afrika sijui kuna laana gani!

Musukuma hela yake aliyoitafuta kwa jasho inaliwa na wajanja wa India kwa kumhadaa kuwa watampa PhD! Si ajabu aliyemtengenezea Musukuma cheti cha PhD, yeye ana certificate tu IT.

Sasa Musukuma anaonekana hamnazo kwa kuvalishwa magauni yal8yoshonwa huko mtaani akihadaiwa kuwa kwa kuvaa hayo magauni amekuwa Dr.

Siku zote walikuwa wanawaambia Musukuma, Kibajaji na Japipo kuwa ni wajinga, wao hawakuamini. Sasa ndiyo inaonekana kwa dhahiri, Musukuma ni mjinga wa kiwango gani.
Sasa hiyo PHD ameilipia pesa? Au hela ya msukuma inaliwaje na India?. Toa ufafanuzi
 
Yani hili jamaa ni limbukeni lililopata pesa. Amekaa kimajungu majungu saa zote. Huyu alikuwa kinara wa kutukana wasomi na kujinasibu kiufahari juu ya ulasaba wake. Leo hii kutunukiwa Phd ya kununua nae anajikuta msomi.
Huyu kiumbe nammithilisha na muendesha baiskeli alienunua leseni ya urubani wa ndege na ghafla kujiona na yeye ni rubani mbobezi. Ma profesa wasubiri kejeli na kebehi kutoka kwa Dr. wa kununua.
Alisikika msomi mmoja akitoa mapovu,hasa baada ya mawe kutoka kwa msukuma kuhusu wasomi maprofesa wa nchi hii kutokuwa na chochote cha maana kwa nchi
 
Chuki ni kitu kibaya sana na siku zote humuumiza anayeihifadhi
Unachuki na Magu
Unachuki pia na kabila lake,
Watu dhaifu bhana [emoji23][emoji23][emoji23]
Ni kweli Magufuli nilimchukia sana hata baada ya kufa namchukia tu. Hata akifufuka nikawa wa kwanza kumuona nitamtamtandika afe mara ya pili
 
Back
Top Bottom