Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YapNayeye kaamua kuisaka ili asiwe na msaada
Huyu ni Mhutu kama mwendazake,walijificha kwenye kivuli cha Usukuma kwa vile Wasukuma ni kabila lenye watu wengi ili kupata uungwaji mkono.Kwa nini Usukuma upo associated na ushamba?
Ndiyo hapo ujue huyu ni zero brainAnayasomea wapi na hayupo mitandaoni?
We taja Dr Msukuma sio " Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma". andika hivi: Mbunge wa Geita Vijijini, Dr Joseph Musukuma.#NUKUU "Bahati mbaya mimi siko mitandaoni na kuhusu wanaonibeza, mimi nitazungumza kuanzia Ijumaa, sasa hivi bado nasoma tu hayo mambo yao wanayoyaandika,"- Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma
Chanzo: @supabreakfast ya @earadiofm
View attachment 2036973
Akasome barua hii ya TCU#NUKUU "Bahati mbaya mimi siko mitandaoni na kuhusu wanaonibeza, mimi nitazungumza kuanzia Ijumaa, sasa hivi bado nasoma tu hayo mambo yao wanayoyaandika,"- Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma
Chanzo: @supabreakfast ya @earadiofm
View attachment 2036973
Wasema kweli ndiyo huwa wanaitwa washamba.....wezi ndiyo huwa ni ujanjaKwa nini Usukuma upo associated na ushamba?
Lile gauni la Msukuma limeshonwa na fundi Abdalah Magomeni.Afrika sijui kuna laana gani!
Musukuma hela yake aliyoitafuta kwa jasho inaliwa na wajanja wa India kwa kumhadaa kuwa watampa PhD! Si ajabu aliyemtengenezea Musukuma cheti cha PhD, yeye ana certificate tu IT.
Sasa Musukuma anaonekana hamnazo kwa kuvalishwa magauni yal8yoshonwa huko mtaani akihadaiwa kuwa kwa kuvaa hayo magauni amekuwa Dr.
Siku zote walikuwa wanawaambia Musukuma, Kibajaji na Japipo kuwa ni wajinga, wao hawakuamini. Sasa ndiyo inaonekana kwa dhahiri, Musukuma ni mjinga wa kiwango gani.
Wewe ni mse..nge una mamlaka gani ya kubagua watu pumbafu kbsHuyu ni Mhutu kama mwendazake,walijificha kwenye kivuli cha Usukuma kwa vile Wasukuma ni kabila lenye watu wengi ili kupata uungwaji mkono.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Dogo sio Degree. Ni PhD!Degree[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nchi hii ina Mambo mengi sana
Usitake ujibiwe kisawasawa ili tupigwe ban.Huyu ni Mhutu kama mwendazake,walijificha kwenye kivuli cha Usukuma kwa vile Wasukuma ni kabila lenye watu wengi ili kupata uungwaji mkono.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Baada ya kufanikiwa kikubwa kuiheshimisha kada ya wa “la saba” au LY jeuri, dhidi ya maprofesa wasiojithamini, atasema nini kwa jinsi alivyowaangusha wadau wenzake. Amesaliti sana kada.#NUKUU "Bahati mbaya mimi siko mitandaoni na kuhusu wanaonibeza, mimi nitazungumza kuanzia Ijumaa, sasa hivi bado nasoma tu hayo mambo yao wanayoyaandika,"- Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma
Chanzo: @supabreakfast ya @earadiofm
View attachment 2036973
Aa wapi. Sasa ndio asubiri aone jinsi maprofesa watakavyomshusha hadi kiwango chao na kumtandika na eksipriensi. Kama hatutamuona akirejea LY kwa spidi kali.Naamini maprofesa wa nchi hii watapumua sasa maana msukuma (Darasa la Saba) aliyekuwa kinara wa kuwananga wasomi wa nchi hii hoi kwa vijembe, Sasa ataungana na wasomi hao hao kuisaidia nchi ili ipate maendeleo.... Amen.