Dkt. Joseph Kasheku Musukuma: Napitia post za wanaonibeza mitandaoni, kuanzia Ijumaa nitaanza kuwajibu

Dkt. Joseph Kasheku Musukuma: Napitia post za wanaonibeza mitandaoni, kuanzia Ijumaa nitaanza kuwajibu

MaCCM akili zao hazina akili.. mchawi mchawi tu. Nini hiki sasa..

8CBD51E3-411A-4378-95AE-4AE59C661254.jpeg
 
Naamini maprofesa wa nchi hii watapumua sasa maana msukuma (Darasa la Saba) aliyekuwa kinara wa kuwananga wasomi wa nchi hii hoi kwa vijembe, Sasa ataungana na wasomi hao hao kuisaidia nchi ili ipate maendeleo.... Amen.
 
#NUKUU "Bahati mbaya mimi siko mitandaoni na kuhusu wanaonibeza, mimi nitazungumza kuanzia Ijumaa, sasa hivi bado nasoma tu hayo mambo yao wanayoyaandika,"- Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma

Chanzo: @supabreakfast ya @earadiofm

View attachment 2036973
We taja Dr Msukuma sio " Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma". andika hivi: Mbunge wa Geita Vijijini, Dr Joseph Musukuma.

heshima heshima heshima.
 
Afrika sijui kuna laana gani!

Musukuma hela yake aliyoitafuta kwa jasho inaliwa na wajanja wa India kwa kumhadaa kuwa watampa PhD! Si ajabu aliyemtengenezea Musukuma cheti cha PhD, yeye ana certificate tu IT.

Sasa Musukuma anaonekana hamnazo kwa kuvalishwa magauni yal8yoshonwa huko mtaani akihadaiwa kuwa kwa kuvaa hayo magauni amekuwa Dr.

Siku zote walikuwa wanawaambia Musukuma, Kibajaji na Japipo kuwa ni wajinga, wao hawakuamini. Sasa ndiyo inaonekana kwa dhahiri, Musukuma ni mjinga wa kiwango gani.
Lile gauni la Msukuma limeshonwa na fundi Abdalah Magomeni.
 
#NUKUU "Bahati mbaya mimi siko mitandaoni na kuhusu wanaonibeza, mimi nitazungumza kuanzia Ijumaa, sasa hivi bado nasoma tu hayo mambo yao wanayoyaandika,"- Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma

Chanzo: @supabreakfast ya @earadiofm

View attachment 2036973
Baada ya kufanikiwa kikubwa kuiheshimisha kada ya wa “la saba” au LY jeuri, dhidi ya maprofesa wasiojithamini, atasema nini kwa jinsi alivyowaangusha wadau wenzake. Amesaliti sana kada.
 
Naamini maprofesa wa nchi hii watapumua sasa maana msukuma (Darasa la Saba) aliyekuwa kinara wa kuwananga wasomi wa nchi hii hoi kwa vijembe, Sasa ataungana na wasomi hao hao kuisaidia nchi ili ipate maendeleo.... Amen.
Aa wapi. Sasa ndio asubiri aone jinsi maprofesa watakavyomshusha hadi kiwango chao na kumtandika na eksipriensi. Kama hatutamuona akirejea LY kwa spidi kali.
 
Back
Top Bottom