Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
PhD ya siasa kwa Tanzania it is good for nothing., bwana yule ni Proffesa kitaaluma na mchumi akiaminika duniani lakini alinunuliwa kwa shilingi mbili taaluma yake haikumsaidia chochote ata heshima aliyokuwanayo kwa watu haipo tena#NUKUU "Bahati mbaya mimi siko mitandaoni na kuhusu wanaonibeza, mimi nitazungumza kuanzia Ijumaa, sasa hivi bado nasoma tu hayo mambo yao wanayoyaandika,"- Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma
Chanzo: @supabreakfast ya @earadiofm
#NipasheMwangaWaJamii #NipasheHabari https://t.co/cy9yJVhsuVView attachment 2036973
Kwa nini Usukuma upo associated na ushamba?#NUKUU "Bahati mbaya mimi siko mitandaoni na kuhusu wanaonibeza, mimi nitazungumza kuanzia Ijumaa, sasa hivi bado nasoma tu hayo mambo yao wanayoyaandika,"- Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma
Chanzo: @supabreakfast ya @earadiofm
#NipasheMwangaWaJamii #NipasheHabari https://t.co/cy9yJVhsuVView attachment 2036973
Yeye Dkt.Msukuma ( PhD) ni wa darasa la saba.What do you expect? 😀Afrika sijui kuna laana gani!
Musukuma hela yake aliyoitafuta kwa jasho inaliwa na wajanja wa India kwa kumhadaa kuwa watampa PhD! Si ajabu aliyemtengenezea Musukuma cheti cha PhD, yeye ana certificate tu IT.
Sasa Musukuma anaonekana hamnazo kwa kuvalishwa magauni yal8yoshonwa huko mtaani akihadaiwa kuwa kwa kuvaa hayo magauni amekuwa Dr.
Siku zote walikuwa wanawaambia Musukuma, Kibajaji na Japipo kuwa ni wajinga, wao hawakuamini. Sasa ndiyo inaonekana kwa dhahiri, Musukuma ni mjinga wa kiwango gani.
Mwambieni asitutishe!#NUKUU "Bahati mbaya mimi siko mitandaoni na kuhusu wanaonibeza, mimi nitazungumza kuanzia Ijumaa, sasa hivi bado nasoma tu hayo mambo yao wanayoyaandika,"- Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma
Chanzo: @supabreakfast ya @earadiofm
View attachment 2036973
Hajui kabisa tabu ya kusoma hadi upate Phd. Lakini anawaponda sana wasomi leo naye amajivunia usomiYani hili jamaa ni limbukeni lililopata pesa. Amekaa kimajungu majungu saa zote. Huyu alikuwa kinara wa kutukana wasomi na kujinasibu kiufahari juu ya ulasaba wake. Leo hii kutunukiwa Phd ya kununua nae anajikuta msomi.
Hii nchi ina watu wa ovyo mno.
tena usomi wa kununua.Hajui kabisa tabu ya kusoma hadi upate Phd. Lakini anawaponda sana wasomi leo naye amajivunia usomi
Hayo mavazi yako kama mpika chai wa madiwani.#NUKUU "Bahati mbaya mimi siko mitandaoni na kuhusu wanaonibeza, mimi nitazungumza kuanzia Ijumaa, sasa hivi bado nasoma tu hayo mambo yao wanayoyaandika,"- Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma
Chanzo: @supabreakfast ya @earadiofm
View attachment 2036973
Ni Dr Msukuma PhD(Pubic hair Dresser)Yeye Dkt.Msukuma ( PhD) ni wa darasa la saba.What do you expect? 😀
Nayeye kaamua kuisaka ili asiwe na msaadaWaache kumponda jamaa namuunga mkono baada ya kuona wenye PhD hawana msaada kwa taifa letu
Nyieeeee….!#NUKUU "Bahati mbaya mimi siko mitandaoni na kuhusu wanaonibeza, mimi nitazungumza kuanzia Ijumaa, sasa hivi bado nasoma tu hayo mambo yao wanayoyaandika,"- Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma
Chanzo: @supabreakfast ya @earadiofm
View attachment 2036973