SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Msenge Baba yako mzazi na ndiye kakurithisha. Maalun mkubwa weweWewe ni mse..nge una mamlaka gani ya kubagua watu pumbafu kbs
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Tuondolee ushoga wako hapaUsitake ujibiwe kisawasawa ili tupigwe ban.
Musukuma ni janga la Taifa na ni kielelezo cha ubovu wa Bunge letu. Isitoshe haya mapopoma ndiyo Magufuli aliyajaza na alikuwa anayataka ili wapitishe miswaada na mipango yake ya hovyo.Afrika sijui kuna laana gani!
Musukuma hela yake aliyoitafuta kwa jasho inaliwa na wajanja wa India kwa kumhadaa kuwa watampa PhD! Si ajabu aliyemtengenezea Musukuma cheti cha PhD, yeye ana certificate tu IT.
Sasa Musukuma anaonekana hamnazo kwa kuvalishwa magauni yal8yoshonwa huko mtaani akihadaiwa kuwa kwa kuvaa hayo magauni amekuwa Dr.
Siku zote walikuwa wanawaambia Musukuma, Kibajaji na Japipo kuwa ni wajinga, wao hawakuamini. Sasa ndiyo inaonekana kwa dhahiri, Musukuma ni mjinga wa kiwango gani.
#NUKUU "Bahati mbaya mimi siko mitandaoni na kuhusu wanaonibeza, mimi nitazungumza kuanzia Ijumaa, sasa hivi bado nasoma tu hayo mambo yao wanayoyaandika,"- Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma
Chanzo: @supabreakfast ya @earadiofm
View attachment 2036973
Degree? Anaitambua kama PhD kaka!Degree[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nchi hii ina Mambo mengi sana
Dogokula kulala, pesa anayotumia babaako kuwanunulia chakula unafikiri anaitoa wapi kama sio kwenye ushoga?
Acheni matusi, tuongelee PhD(Pubic hair Dresser) ya Msukuma
Dunia simama nishuke Msukuma ana PhD [emoji3480] [emoji23][emoji23][emoji23]Degree? Anaitambua kama PhD kaka!
DuuDogo sio Degree. Ni PhD!
Aseeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee jamaaa kavimba!#NUKUU "Bahati mbaya mimi siko mitandaoni na kuhusu wanaonibeza, mimi nitazungumza kuanzia Ijumaa, sasa hivi bado nasoma tu hayo mambo yao wanayoyaandika,"- Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma
Chanzo: @supabreakfast ya @earadiofm
View attachment 2036973
[emoji102]Hayo mavazi yako kama mpika chai wa madiwani.
Aende akasome tu hakuna jinsi.
Hata anaelewa basi kilichoandikwa humo huyo Dr Msukuma.Akasoma barua hii ya TCUView attachment 2037233
Ww jamaa hujielewi,unakuwa limbukeni sana.Afrika sijui kuna laana gani!
Musukuma hela yake aliyoitafuta kwa jasho inaliwa na wajanja wa India kwa kumhadaa kuwa watampa PhD! Si ajabu aliyemtengenezea Musukuma cheti cha PhD, yeye ana certificate tu IT.
Sasa Musukuma anaonekana hamnazo kwa kuvalishwa magauni yal8yoshonwa huko mtaani akihadaiwa kuwa kwa kuvaa hayo magauni amekuwa Dr.
Siku zote walikuwa wanawaambia Musukuma, Kibajaji na Japipo kuwa ni wajinga, wao hawakuamini. Sasa ndiyo inaonekana kwa dhahiri, Musukuma ni mjinga wa kiwango gani.
Chuki ni kitu kibaya sana na siku zote humuumiza anayeihifadhiMusukuma ni janga la Taifa na ni kielelezo cha ubovu wa Bunge letu. Isitoshe haya mapopoma ndiyo Magufuli aliyajaza na alikuwa anayataka ili wapitishe miswaada na mipango yake ya hovyo.
Hapo anasema "sipo kwenye mitanfao" halafu anasema "nasoma wanavyoniandika". Utasomaje wakati haupo kwenye mitandao?
Nitafurahi kama nikipata nafasi kujibiwa wa kwanza🤔 .#NUKUU "Bahati mbaya mimi siko mitandaoni na kuhusu wanaonibeza, mimi nitazungumza kuanzia Ijumaa, sasa hivi bado nasoma tu hayo mambo yao wanayoyaandika,"- Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma
Chanzo: @supabreakfast ya @earadiofm
View attachment 2036973
Sasa hiyo PHD ameilipia pesa? Au hela ya msukuma inaliwaje na India?. Toa ufafanuziAfrika sijui kuna laana gani!
Musukuma hela yake aliyoitafuta kwa jasho inaliwa na wajanja wa India kwa kumhadaa kuwa watampa PhD! Si ajabu aliyemtengenezea Musukuma cheti cha PhD, yeye ana certificate tu IT.
Sasa Musukuma anaonekana hamnazo kwa kuvalishwa magauni yal8yoshonwa huko mtaani akihadaiwa kuwa kwa kuvaa hayo magauni amekuwa Dr.
Siku zote walikuwa wanawaambia Musukuma, Kibajaji na Japipo kuwa ni wajinga, wao hawakuamini. Sasa ndiyo inaonekana kwa dhahiri, Musukuma ni mjinga wa kiwango gani.
Alisikika msomi mmoja akitoa mapovu,hasa baada ya mawe kutoka kwa msukuma kuhusu wasomi maprofesa wa nchi hii kutokuwa na chochote cha maana kwa nchiYani hili jamaa ni limbukeni lililopata pesa. Amekaa kimajungu majungu saa zote. Huyu alikuwa kinara wa kutukana wasomi na kujinasibu kiufahari juu ya ulasaba wake. Leo hii kutunukiwa Phd ya kununua nae anajikuta msomi.
Huyu kiumbe nammithilisha na muendesha baiskeli alienunua leseni ya urubani wa ndege na ghafla kujiona na yeye ni rubani mbobezi. Ma profesa wasubiri kejeli na kebehi kutoka kwa Dr. wa kununua.
Ni kweli Magufuli nilimchukia sana hata baada ya kufa namchukia tu. Hata akifufuka nikawa wa kwanza kumuona nitamtamtandika afe mara ya piliChuki ni kitu kibaya sana na siku zote humuumiza anayeihifadhi
Unachuki na Magu
Unachuki pia na kabila lake,
Watu dhaifu bhana [emoji23][emoji23][emoji23]