Dkt. Kahyoza: Magufuli alifanya makosa makubwa kuhamishia Serikali Dodoma, gharama zimekuwa mara mbili

πŸ™‹β€β™‚οΈπŸ“βœοΈπŸ‘πŸ‘ŒπŸ‘πŸ‘ŠπŸ€πŸ™πŸ’πŸ›‘οΈ
 
Mkuu mtu asipompenda Mwendazake hapaswi kufundisha???

Kwamba kwa sababu alikuwa mfuasi wa Lowasa ndio maana hakuwa wa maana???

Common Mkuu, unautweza ukufunzi wako!!! Naona wewe ndiye mwenye shida ya kufikiri sio Dr.
 
Aisee hao viongozi kwanini waende Dar ?!!!!

Hivi anadhani Dodoma ilichaguliwa sababu ya jina lake au walirusha Sanda Kalawe au ni sababu ni katikati ya nchi hivyo ni rahisi kwa watu wote kwenda pale kuliko Dar ?
 
Tutajie ,Kwa mfano ni Wizara.ngapi zilikuwa zinapanga ?
 
Aisee hao viongozi kwanini waende Dar ?!!!!

Hivi anadhani Dodoma ilichaguliwa sababu ya jina lake au walirusha Sanda Kalawe au ni sababu ni katikati ya nchi hivyo ni rahisi kwa watu wote kwenda pale kuliko Dar ?
Kwa miaka hiyo ya 1970 inawezekana wazo hilo lilikuwa sahihi kabisa ukizingatia location ya Dodoma, uduni wa miundombinu na uduni wa teknolojia.
 
Magufuli aliona mbali sana, siku mkija kutafakari kwa kina mtaelewa ni kwanini Dodoma, maana wengine fikra zenu ni majengo tu na miundombinu tu

Lakini mkizingatia issue tu kama usalama basi mtajua ya kuwa Dodoma ni mara elfu
Mkuu Dunia ya sasa hivi umbali sio ishu, uwekezaji wa teknolojia ya kisasa na kiu salama na ulinzi inatosha.

Nchi nyingi duniani miji mikuu yao ipo ufukweni na zina usalama hiyo sio sababu hata kidogo.
 
Aisee hao viongozi kwanini waende Dar ?!!!!

Hivi anadhani Dodoma ilichaguliwa sababu ya jina lake au walirusha Sanda Kalawe au ni sababu ni katikati ya nchi hivyo ni rahisi kwa watu wote kwenda pale kuliko Dar ?
Anajua hasara tuliyokuwa tunapata kama taifa kwa misururu ya foleni inayosababishwa na misafara hapa Dar?

Anajua gharama walizotumia wananchi wa mikoa ya mbali kuja Dar kufuata huduma ila kwa sasa wanapata huduma karibu?
Kwa hizo hasΓ ra zinazidi ,hasΓ ra za kuhamia Dodoma,na bado Kuna ofisi zinafanya.kazi za Dar ikiwemo naniliii
 
Ukiwa na fikra nzuri huwezi kuyasema ulio ya sema, huwezi kukaa kusubiri sababu kwenye kitu unachojua ni mpango wa lazima unao paswa kutekelezwa. Basi namimi nikuulize, kwanini ilibidi kusubiri sababu ili kuhanisha mako makuu Dodoma? Kwani bunge kua dodoma na office za mawaziri kua dar uliliona ilo ni sawa? Swala la kutokua na mji wa kiserikali unaliona ni sawa?
 
Binafsi huwa siwaelewi wanaomponda JPM ambae ndiye rais pekee aliyeonyesha uthubutu mkubwa sana katika kuonesha nchi yetu inabidi iendaje .
Hivi asingetumia nguvu,tungeendelea na mwendo uleule wa kuita Dodoma makao makuu ya nchi ingekuwa na hali gani leo?tatizo mnafikiriaga njia nyepesi halafu hakuna linalotimia.Magufuli kwa hili na mengineyo bado ni shujaa...
 
Kwa miaka hiyo ya 1970 inawezekana wazo hilo lilikuwa sahihi kabisa ukizingatia location ya Dodoma, uduni wa miundombinu na uduni wa teknolojia.
Kwahio sasa hivi teknolojia imefanya Dar iwe karibu kuliko Dodoma ? Unamuongelea Mtanzania gani huyo na bei zipi za Miuondo Mbinu; Kwahio sababu hao so called viongozi hawawezi kutulia hapo Dodoma na sisi ndio tuwafuate Dar ?
 
Mkuu Dunia ya sasa hivi umbali sio ishu, uwekezaji wa teknolojia ya kisasa na kiu salama na ulinzi inatosha.

Nchi nyingi duniani miji mikuu yao ipo ufukweni na zina usalama hiyo sio sababu hata kidogo.
Bas elewa sababu kutokana na sisi nasio wao, kuhanishia serikali dodoma lilikua ni pendekezo lenye tija kwa nchi, kwanza dodoma bado iko empt kuliko dar kwaiyo ilikua ni rahisi kuijenga na kupa hadhi ya kiserikali mapema kabla haijaharibiwa miundo mbinu yake.
Mkapa aliwahi kusema kinachoikwamisha tanzania ni kila hawamu kua na mamuzi na mipango yake, nyerere aliweka map yote mezani swala lilikua ni kutekeleza kwa hawamu bila kurudi nyuma na Tanzania ingekua mbali sana.
 
Mkuu mtu asipompenda Mwendazake hapaswi kufundisha???

Kwamba kwa sababu alikuwa mfuasi wa Lowasa ndio maana hakuwa wa maana???

Common Mkuu, unautweza ukufunzi wako!!! Naona wewe ndiye mwenye shida ya kufikiri sio Dr.
alichukia kufundishwa bila kumtaja hayati lowasa au kuzungumzia siasa kwenye masuala au moduli zisozo husu siasa za majukwaani
 
Binafsi huwa siwaelewi wanaomponda JPM ambae ndiye rais pekee aliyeonyesha uthubutu mkubwa sana katika kuonesha nchi yetu inabidi iendaje .
Uthubutu wa kuuwa na kuteka mbwa yule
 
Binafsi huwa siwaelewi wanaomponda JPM ambae ndiye rais pekee aliyeonyesha uthubutu mkubwa sana katika kuonesha nchi yetu inabidi iendaje .
Unaweza kufanya maamzi magumu lon ya siwe sahihi
 
Mbona yeye mwenyewe alishahamia chato, [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Chato alienda sababu za usalama wake tu kwa maana covid wakati imenea sana ,lkn muda mwingi angalau alikuwa yupo dom hata makamu wake muda mwingi alikuwa Dodoma.
 
Mbona hamsemi gharama za safari za nje ya nchi za viongozi ila mnaona ya magufuli kuhamishia makao dodoma
 
Ifike muda hawa mawakala wa mafisadi wa muache Jpm apumzike tumechoka na kauli zao za hovyo ina maana kila alilolifanya magufuli ni baya hana mazuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…