Huyo ni chawa yupo kazini.
Viongozi wa Serikali walishahamia Dodoma baada ya Ikulu kukamilika, hakuna Ofisi za Serikali Dar.
Sasa huyu chawa kwa kutumia maneno hayo hayo ya kukemea kufuja rasilimali za nchi, kwanini asiyaelekeze kwa viongozi wa umma waliopo madarakani wanaofanya hizo safari zisizokuwa na tija, kuanzia Rais kutotulia Dodoma, ambako kuna ofisi zake na makao yake, kila siku kiguru na njia kwenda Dar?
Kuendelea kubeza mambo yaliyokwisha kutengenezwa na kukamilika ni upumbaf wa kihayawani.