Dkt. Kahyoza: Magufuli alifanya makosa makubwa kuhamishia Serikali Dodoma, gharama zimekuwa mara mbili

Dkt. Kahyoza: Magufuli alifanya makosa makubwa kuhamishia Serikali Dodoma, gharama zimekuwa mara mbili

Mtaalamu wa masuala ya Uchumi, Dr. Bravious Kahyoza amesema uamuzi wa Serikali kuhamia Dodoma ulikuwa ni kosa kubwa kwasababu umeongeza gharama zaidi za uendeshaji ikiwemo kutumia vibaya fedha za Walipa Kodi.

Ametolea mfano Safari za Viongozi na Watumishi ambao mara kwa mara wanaenda Dar au Dodoma kwa Ndege na wakati huo Magari yanasafiri kuwafuata Airport na kuwapeleka kwenye shughuli zao na baadaye wanarejea kwa Ndege tena huku magari yakiwafuata kwa njia ya Barabara.
View attachment 3017571
Pia Soma: Ilikuwa ni jambo jema Serikali kuhamia Dodoma maana Kivukoni na Posta ni Bandarini, Ashukuriwe Shujaa Magufuli!
Anajua hasara tuliyokuwa tunapata kama taifa kwa misururu ya foleni inayosababishwa na misafara hapa Dar?

Anajua gharama walizotumia wananchi wa mikoa ya mbali kuja Dar kufuata huduma ila kwa sasa wanapata huduma karibu?
 
Mtaalamu wa masuala ya Uchumi, Dr. Bravious Kahyoza amesema uamuzi wa Serikali kuhamia Dodoma ulikuwa ni kosa kubwa kwasababu umeongeza gharama zaidi za uendeshaji ikiwemo kutumia vibaya fedha za Walipa Kodi.

Ametolea mfano Safari za Viongozi na Watumishi ambao mara kwa mara wanaenda Dar au Dodoma kwa Ndege na wakati huo Magari yanasafiri kuwafuata Airport na kuwapeleka kwenye shughuli zao na baadaye wanarejea kwa Ndege tena huku magari yakiwafuata kwa njia ya Barabara.
View attachment 3017571
Pia Soma: Ilikuwa ni jambo jema Serikali kuhamia Dodoma maana Kivukoni na Posta ni Bandarini, Ashukuriwe Shujaa Magufuli!
Huyu Dokta mbona ameongea Pumba
Kama kiongozi ana safari za kikazi hiyo sio shida kwani hata makao makuu yalipokuwa Dar si walikuwa na safari za kikazi mikoani

Ila kama ni safari zao binafsi na wanatumia resources za serikali hilo nikosa na huo ni uzembe wa top management kushindwa kuthibiti

Na angekuwepo Magufuli huo upuzi usingekuwepo mbona alizuia safari za nje ya nchi sizizo na tija Kwa viongozi wa serikali

Badala mseme kuwa serikali imelegea watendaji wake wanafanya wanachojisikia mnamlaumu Magufuli

Kumbe unaweza uwa Dokta alafu ukawa kilaza tu
 
Mtaalamu wa masuala ya Uchumi, Dr. Bravious Kahyoza amesema uamuzi wa Serikali kuhamia Dodoma ulikuwa ni kosa kubwa kwasababu umeongeza gharama zaidi za uendeshaji ikiwemo kutumia vibaya fedha za Walipa Kodi.

Ametolea mfano Safari za Viongozi na Watumishi ambao mara kwa mara wanaenda Dar au Dodoma kwa Ndege na wakati huo Magari yanasafiri kuwafuata Airport na kuwapeleka kwenye shughuli zao na baadaye wanarejea kwa Ndege tena huku magari yakiwafuata kwa njia ya Barabara.
View attachment 3017571
Pia Soma: Ilikuwa ni jambo jema Serikali kuhamia Dodoma maana Kivukoni na Posta ni Bandarini, Ashukuriwe Shujaa Magufuli!
Dr mpuuzi tu
Unaacha kuwaambia wafanyakazi watulie Dodoma unamlaum magu
 
Binafsi huwa siwaelewi wanaomponda JPM ambae ndiye rais pekee aliyeonyesha uthubutu mkubwa sana katika kuonesha nchi yetu inabidi iendaje .
Pamoja na hayo, uamuzi wa kuhamishia makao makuu Dodoma haukufanywa na JPM kwa taarifa tu. Ni habari ambazo anayetaka kujua akitafuta atazipata.
 
Kwa sasa kulikuwa hakuna sababu yoyote ya kuhamishia makao makuu Dodoma kwa sababu sababu zilizokuwepo zilishapitwa na wakati. Uongozi mzuri ni pamoja na kuweza kuzuia mianya ya upigaji siku zijazo. Hili la viongozi kutokupenda kuishi Dodoma wegi tulilisema. Your task: andika hata sababu mbili unazodhani kuhamishia makao makuu Dodoma kuna manufaa!
Mkuu kumbuka serikali haingalii miaka mitano hata kumi mbele ila sisi mtu mmoja mmoja ndo tunaangalia karibu karibu,serikali inatakiwa iangalie miaka hata hamsini na zaidi mbele ,sasa kuhamia Dodoma serikali imefanya hivyo imeangalia mbali sana idadi ya watu inakua sana ,mpaka sasa ukiangalia dar ina watu wengi.Na pia kama serikali baadhi ya majengo ilikuwa inapanga sasa itaendelea kupanga mpaka lini kama serikali? Kwa hiyo kuhamia dodoma ni muda muafaka na sababu sahihi zipo.
 
Huyo ni chawa yupo kazini.

Viongozi wa Serikali walishahamia Dodoma baada ya Ikulu kukamilika, hakuna Ofisi za Serikali Dar.

Sasa huyu chawa kwa kutumia maneno hayo hayo ya kukemea kufuja rasilimali za nchi, kwanini asiyaelekeze kwa viongozi wa umma waliopo madarakani wanaofanya hizo safari zisizokuwa na tija, kuanzia Rais kutotulia Dodoma, ambako kuna ofisi zake na makao yake, kila siku kiguru na njia kwenda Dar?

Kuendelea kubeza mambo yaliyokwisha kutengenezwa na kukamilika ni upumbaf wa kihayawani.
Uchawa unamsumbua, hajafikiria vyema. Watu wanakula Raha mjin badala ya kukaa Dom wafanye kazi.

Ni sawa na kumlaumu Mungu kule Kongo Kwa kuwapa madini badala ya kuwalaumu wale wanaoifanya Kongo isitawalike.
 
Mkuu kumbuka serikali haingalii miaka mitano hata kumi mbele ila sisi mtu mmoja mmoja ndo tunaangalia karibu karibu,serikali inatakiwa iangalie miaka hata hamsini na zaidi mbele ,sasa kuhamia Dodoma serikali imefanya hivyo imeangalia mbali sana idadi ya watu inakua sana ,mpaka sasa ukiangalia dar ina watu wengi.Na pia kama serikali baadhi ya majengo ilikuwa inapanga sasa itaendelea kupanga mpaka lini kama serikali? Kwa hiyo kuhamia dodoma ni muda muafaka na sababu sahihi zipo.
Hili mbona lina suluhisho rahisi kuliko kuhamia Dodoma? Dar na maeneo yanayoizunguka bado ni kubwa sana. Kuna vipaumbele vya kuangalia sasa hivi kama hospital, shule etc na siyo kujenga ikulu Dodoma. BTW Sidhani kama serikali yetu inapanga mipango ya muda mrefu kwa sababu ingekuwa inafanya hivyo nchi isingekuwa kwenye hali ya sasa inaendeshwa kama zimamoto.
 
Huyu Dokta mbona ameongea Pumba
Kama kiongozi ana safari za kikazi hiyo sio shida kwani hata makao makuu yalipokuwa Dar si walikuwa na safari za kikazi mikoani

Ila kama ni safari zao binafsi na wanatumia resources za serikali hilo nikosa na huo ni uzembe wa top management kushindwa kuthibiti

Na angekuwepo Magufuli huo upuzi usingekuwepo mbona alizuia safari za nje ya nchi sizizo na tija Kwa viongozi wa serikali

Badala mseme kuwa serikali imelegea watendaji wake wanafanya wanachojisikia mnamlaumu Magufuli

Kumbe unaweza uwa Dokta alafu ukawa kilaza tu
Magufuli akiwepo mambo yalikuwa ni hivi hivi. Safari za Dododoma Dar zilikuwa haziishi.
 
Kosa alifanya Nyerere back in 1973...Aliamua kuhamia dodoma bila ya yeye mwenyewe kuhamia kule...kama angehamia kikweli kweli dodoma, 50 years now Govt capital ingekuwa dodoma na Dsm ikabaki kuwa port and business capital.

Unfortunately baada yake hakuna Raisi aliyependa kwenda Dodoma, somehow, somewhere alitakikana mtu wa kufanya maamuzi, twende dodoma au tubaki Dsm na hicho ndicho Jiwe alikifanya...CCM kwa kuwa ni genge la wanafiki wamekuwa wakikwepa mjadala huu. Ilitakiwa baada ya Julius Nyerere waamue ikiwa dhamira ya Dodoma ingalipo au imekufa na mwasisi wake in 1999.

Kumlaumu hayati mwendazake kwa kufanya maamuzi ambayo chama kimejinasibisha kwayo tangu 1973 siyo haki na hivyo huyo msomi hakutenda haki!
Mkuu Marais waliofuata baada ya Nyerere hawakuona sababu ya msingi ya kuhamia Dodoma licha maamuzi ya chama. Kitisho cha mashambulizi kilishatoweka.

Pili, mambo na maamuzi hubadilika kulingana na wakati na maendeleo ya teknolojia.

Anachosema Dr. Hapo ni matokeo hasi na hasara ya maamuzi ya kukurupuka.

Mkuu ukweli ni kwamba kwa mwenendo huu na uwekezaji unaoendelea Dar es salaam miaka 10 mingine ijaayo ofisi zote zitakuwa zina operate kutoka Dar es salaam kama kawaida.
 
Wataalam wanapoongea ujinga unajiuliza hii nchi nani ataikomboa.

Tumefikia mahali mtaalam mwenye PHD anakua chawa.

Dr. Kahyoza chawa mwenye PhD.
 
Mkuu heshima kwako. Aachwi mtu. Yani magu katuweka pabaya hadi kutufanya tukufuru na kumtendea Mungu mabaya kukaa meza moja na shetani kujadiliana jinsi atakuwa extradited back to the world to face all the atrocities he committed against Tanzanians from murder, rape, extortion, homicide, terror, robbery, theft, banditry, fraud, corruption, udultry, gossip/backbiting, witchcraft, fabrication name them all.

Etwege johnthebaptist
🙋‍♂️📝✍️👍👌👏👊🤝🙏🗼🎁💐🛡️
 
Dkt. Kahyoza ni mtanzania? Uraia wake ? Hawa kina Kahyoza hawa wanajificha kwenye kagera hawa wachunguzwe
Mkuu ni mtanzania na ana haki ya kusema upunguani wa Magufuli, usitishe watu hapa.

Maamuzi ya kipuzi na kidwanzi yapingwe ili vizazi vijavyo vijifunze na maamuzi ya sahihi yapewe heshima inayo stahiki.
 
Heshima ikurudie na wewe mkuu.

Huna unaloweza kuthibitisha pasina shaka hata tuhuma nusu ya unayoyasema, unaongozwa na ubinafsi na ulafi kwenye kujenga chuki dhidi ya Magufuli na utakuwa ni uendawazimu wa hali ya juu ukidhani au hata kupenda haya yanayoendelea sasa!

Itoshe kusema, kwenye mjadala huu, pg 1 mpaka pg 3, nimeona ni jinsi gani watu wamemuelewa zaidi Magu na kumpuuza PhD holder kwa upuuzi aliouongea...na kwa hakika ndio zile zile PhD wanazozipata kwa safari za ovyo....PhD ya usafiri wa Anga; bure kabisa!
Mkuu ushahidi upo wa kutosha, usijitoebufahamu kwa sababu ya mahaba uchwara.

Unajifanya una mapenzi naye kuliko hata familia yake. Mwendazake alikuwa katili kupita kiasi, lilikuwa ni kosa kubwa kwenye historia ya Tanzania.
 
Back
Top Bottom