Dkt. Kigwangalla: Mashine ya nyungu iliyo Muhimbili ivunjwe, viongozi wavae barakoa

Kuvaa Barakoa ?, Yeye anavaa ?
Anyway its never too late to do the right thing....
 
Hasira za kukosa uteuzi. Alijua Mama angemkumbuka. Huyu huwa ana mambo ya kitoto!
 
Mkuu tugange yajayo
Unafiki ni kweli upo ila mwendazake alijipanga sana kuwabana hawa kwa kutumia madhaifu ya katiba , nafikiri hawakuwa na option zaidi ya kusifia tu.
 
Dr Ngungulile ndiye shujaa, alisema madhara ya kujivukiza katika mfumo wa hewa. Mwendazake akamtumbua.
Huyu nae ameshakua kiazi tu, ametuahidi kupunguza virurushi badala yake kapandisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…