Huyu Kigwangalla analialia kama changudoa aliyekosa Mwanaume pale Corner Bar. REAL men don't write such personal gossips.
Aende kwa Mo Dewji akam face one on one.
Una nongwa!Mbunge wa Nzega Vijijini Dr Hamis Kigwangalla amesema Mohamed Dewji ni mfanyabiashara Mwenye Uwezo mdogo sana wa kufikiri ndio sababu amemfuta kwenye orodha ya Rafiki zake
Nimeamua kumpuuza na kumuondoa kwenye orodha ya Rafiki zangu, amesema Waziri wa zamani wa Utalii Dr Kigwangalla
View attachment 2589854
Chanzo: Star tv Medani za Siasa
... ila utajiri ni akili.
wewe wako wakurithi uko wapi, tajiri wa 20 na 21 duniani wamerithi
usiwe kama lijinga
Ni kawaida na ndivyo ulimwengu ulivyo. Kuna watu wanacheza vizuri zaidi kuliko Messi na Ronaldo lakini ndiyo hivyo tena. Jambo rasmi ndiyo linalofanyiwa rejea. Hata hivyo Mo ni miongoni mwa matajiri Afrika!!Usiwaamini sana Forbes zinapokuja taarifa za Africa. Kuna wakati wanaweza kutoa listi ya wanawake, vijana n.k wenye ushawashi Tanzania au walio chini ya miaka 30 ikawa ni vituko vitupu maana watu wenyewe hawajulikani nje ya Kinondoni na Ilala.
Hata haijawahi kuthibitika kama hizo billion 20 zimeingia Simba kweli.Anahasira na uwekezaji billion 20
Mwambieni kuwa japo ni kweli kuwa jamhuri NDIO inaamua Nani awe tajiri namba moja nchini!Mbunge wa Nzega Vijijini Dr Hamis Kigwangalla amesema Mohamed Dewji ni mfanyabiashara Mwenye Uwezo mdogo sana wa kufikiri ndio sababu amemfuta kwenye orodha ya Rafiki zake
Nimeamua kumpuuza na kumuondoa kwenye orodha ya Rafiki zangu, amesema Waziri wa zamani wa Utalii Dr Kigwangalla
View attachment 2589854
Chanzo: Star tv M Dredani za Siasa
Kwani hizo bilioni 20 zinazotajwa tajwa kila mara ni za nini?? Maana sielewi ni kwa nini kila mara Kigwangala husema kuwa Mo hajaingiza hizo hela kwenye Klab ya Simba.Hata haijawahi kuthibitika kama hizo billion 20 zimeingia Simba kweli.
Unajua maana ya urithi?
Mwenzako anamiliki 75% ya metl
Mbona wewe hata kibakuli ulichorithishwa hujakifikisha popote?
Wewe una wivuKuna tofauti ya kurithi kibakuli na kurithi mabilioni, viwanda, maelfu ya ekari na godauni zilizokuwa mali ya umma kipindi fulani. 1Γ3=3 wakati 5Γ2=10
Ni kampuni ya ngapi kulipa kodi Tanzania?Baba yake MO yupo, MO anamiliki 75% ya METL.
metl ni kampuni #99 Afrika kwa Mapato
Kafanye utafiti wewe au nenda TRANi kampuni ya ngapi kulipa kodi Tanzania?
Kwani hizo bilioni 20 zinazotajwa tajwa kila mara ni za nini?? Maana sielewi ni kwa nini kila mara Kigwangala husema kuwa Mo hajaingiza hizo hela kwenye Klab ya Simba.
Alijua ingetokea kama alivyo hisiDah mbona ghafla sanaππ
masikini munavyopenda kujifananisha!Kweli lakini. Kigwangala ana nongwa ya kukosa uwaziri. Ila alichosema kwa MO ni kweli.
Tajiri aumie kumpoteza maskini mmojaMaskini! MO atakuwa ameumia sana kumpoteza rafiki kama Kigwangala
Una ushahidi hapo?Familia yao imeua Sanaa ili kupata huo utajiri.
Utajiri wa damu za watu.
Cold blooded killers.