Dkt. Kigwangalla: Mo Dewji ni mfanyabiashara Mwenye Uwezo mdogo sana wa kufikiri, nimeamua kumpuuza!

Dkt. Kigwangalla: Mo Dewji ni mfanyabiashara Mwenye Uwezo mdogo sana wa kufikiri, nimeamua kumpuuza!

Mbunge wa Nzega Vijijini Dr Hamis Kigwangalla amesema Mohamed Dewji ni mfanyabiashara Mwenye Uwezo mdogo sana wa kufikiri ndio sababu amemfuta kwenye orodha ya Rafiki zake

Nimeamua kumpuuza na kumuondoa kwenye orodha ya Rafiki zangu, amesema Waziri wa zamani wa Utalii Dr Kigwangalla

View attachment 2589854

Chanzo: Star tv Medani za Siasa
Una nongwa!
 
Usiwaamini sana Forbes zinapokuja taarifa za Africa. Kuna wakati wanaweza kutoa listi ya wanawake, vijana n.k wenye ushawashi Tanzania au walio chini ya miaka 30 ikawa ni vituko vitupu maana watu wenyewe hawajulikani nje ya Kinondoni na Ilala.
Ni kawaida na ndivyo ulimwengu ulivyo. Kuna watu wanacheza vizuri zaidi kuliko Messi na Ronaldo lakini ndiyo hivyo tena. Jambo rasmi ndiyo linalofanyiwa rejea. Hata hivyo Mo ni miongoni mwa matajiri Afrika!!
 
Mbunge wa Nzega Vijijini Dr Hamis Kigwangalla amesema Mohamed Dewji ni mfanyabiashara Mwenye Uwezo mdogo sana wa kufikiri ndio sababu amemfuta kwenye orodha ya Rafiki zake

Nimeamua kumpuuza na kumuondoa kwenye orodha ya Rafiki zangu, amesema Waziri wa zamani wa Utalii Dr Kigwangalla

View attachment 2589854

Chanzo: Star tv M Dredani za Siasa
Mwambieni kuwa japo ni kweli kuwa jamhuri NDIO inaamua Nani awe tajiri namba moja nchini!

Hakuna haja ya hayo kuyasema coz haimpandishi kisiasa yeye ajikite kwenye kutatua changamoto zake jimboni!!
 
Kuna tofauti ya kurithi kibakuli na kurithi mabilioni, viwanda, maelfu ya ekari na godauni zilizokuwa mali ya umma kipindi fulani. 1×3=3 wakati 5×2=10
Unajua maana ya urithi?

Mwenzako anamiliki 75% ya metl

Mbona wewe hata kibakuli ulichorithishwa hujakifikisha popote?
 
Kwani hizo bilioni 20 zinazotajwa tajwa kila mara ni za nini?? Maana sielewi ni kwa nini kila mara Kigwangala husema kuwa Mo hajaingiza hizo hela kwenye Klab ya Simba.
 
Back
Top Bottom