Dkt. Kigwangalla: Mo Dewji ni mfanyabiashara Mwenye Uwezo mdogo sana wa kufikiri, nimeamua kumpuuza!

Dkt. Kigwangalla: Mo Dewji ni mfanyabiashara Mwenye Uwezo mdogo sana wa kufikiri, nimeamua kumpuuza!

Mageuzi gani yamefanyika kwenye sekta ya anga nchini ambayo mtu unaweza kujisifia nayo??
Watu wanaoenda bodi ya Simba sio kwamba wana akili sana, ni koneksheni, kujuana na sehemu ya siasa kusakia fursa nyingine zitokanazo na siasa.
Mpuuzi huyu Kigwangala, Mo angekuwa na uwezo mdogo wa kufikiri asingewachukua Hamza Johari na Chandoo kama wajumbe wa bodi wa upande wake pale Simba.

Huyo Chandoo ni mshauri wa Rais SSH masuala ya finance. Johari ndio kinara wa mageuzi ya sekta ya anga nchini.
 
Mbunge wa Nzega Vijijini Dr Hamis Kigwangalla amesema Mohamed Dewji ni mfanyabiashara Mwenye Uwezo mdogo sana wa kufikiri ndio sababu amemfuta kwenye orodha ya Rafiki zake

Nimeamua kumpuuza na kumuondoa kwenye orodha ya Rafiki zangu, amesema Waziri wa zamani wa Utalii Dr Kigwangalla

View attachment 2589854

Chanzo: Star tv Medani za Siasa
Naona Kigwa kavurugwa. Kwani Deuji kamfanya nini?
 
Kwa hiyo kwa akili zako unafikiri walio kwenye biashara tu na wamepiga minoti ndio wana uwezo mkubwa wa kufikiri?!
Kama kigwa ana uwezo mkubwa wa kufikili, atoke kwenye siasa aingie kwenye biashara apige minoti awe biliwoneya
 
Mbunge wa Nzega Vijijini Dr Hamis Kigwangalla amesema Mohamed Dewji ni mfanyabiashara Mwenye Uwezo mdogo sana wa kufikiri ndio sababu amemfuta kwenye orodha ya Rafiki zake

Nimeamua kumpuuza na kumuondoa kwenye orodha ya Rafiki zangu, amesema Waziri wa zamani wa Utalii Dr Kigwangalla

View attachment 2589854

Chanzo: Star tv Medani za Siasa
Mh. Kigwangala ni lazima atambue yupo katika mfungo wa Ramadhani, hali kadhalika MO. Ni vyema akamalizia vyema fungu la mwisho la "Laylatul Kadri" ili apate thawabu zote kwa Mnyaaz wake.
 
Kigwangala kuhusu MO kasema ukweli kabisa, sbb MO kwanza ni tapeli mkubwa, katapeli Simba, hajatoa hata senti ktk bil 20 za kununua shares za Simba, ila kachukua 51% ya shares za Simba, kiuwizi kabisa, Wizara ya Michezo na uongozi wa Simba uko kimya tu..

MO is a crook, muongo sana, mwizi
Mwizi kakuibia nini wewe!?
 
Usiwaamini sana Forbes zinapokuja taarifa za Africa. Kuna wakati wanaweza kutoa listi ya wanawake, vijana n.k wenye ushawashi Tanzania au walio chini ya miaka 30 ikawa ni vituko vitupu maana watu wenyewe hawajulikani nje ya Kinondoni na Ilala.
Acha uzushi wewe.

Mo hadi Forbes wanamtambua miongoni mwa matajiri wa Afrika wewe unasema hana maamuzi!!??

Huo ndiyo kama ule uzushi wenu kwamba Mbowe hana maamuzi ndani ya CHADEMA mpaka Mzee Mtei akubali!!
 
Back
Top Bottom