BrownRange
JF-Expert Member
- Dec 25, 2020
- 927
- 1,191
Haaaaah ngoja mzee Gulam Dewji akusikieMO ana 75% ya kampuni nzima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haaaaah ngoja mzee Gulam Dewji akusikieMO ana 75% ya kampuni nzima
Kunyimwa mkopo wa tukutuku ndiyo povu lote hiliHuyu alimalizana na Bashe?
Huyu mtu anaonesha ni mchawi kabisa.
Utajiri wa kurithi haukufanyi kuwa na akili. Kwanza utajiri wowote haukufanyi kuwa na akili.
Mpuuzi huyu Kigwangala, Mo angekuwa na uwezo mdogo wa kufikiri asingewachukua Hamza Johari na Chandoo kama wajumbe wa bodi wa upande wake pale Simba.
Huyo Chandoo ni mshauri wa Rais SSH masuala ya finance. Johari ndio kinara wa mageuzi ya sekta ya anga nchini.
We mhaya ni mjinga sana ndo maana dada zako wamezalishwa na kuachwa kwenuAnalipa watu elfu tatu huyo Mo na Bakhressa ni matajiri uchwara tu , hapa Tz
Kwani baba ya nani kafa?Sababu yupo hai. Lingine.
Unajua maana ya urithi?Mo amerithi utajiri wa familia akaundeleza tu, alikuta kila kitu sawa na msawazo katika maisha yake.
Baba yake MO yupo, MO anamiliki 75% ya METL.Kuna njia nne tu za kuwa tajir wa level hizo.
1. Kurith
2.Kuoa tajir
3.Bidii ya kaz na kipaji
4.Kuiba.
Sasa yeye yupo ya 1... Kuna tatizo?
Shoga ni baba yako aliyemzalisha mama yakoWee shoga bado hutulizi makalio, muda wako ukifika usali, nyoko kabisa
Naona Kigwa kavurugwa. Kwani Deuji kamfanya nini?Mbunge wa Nzega Vijijini Dr Hamis Kigwangalla amesema Mohamed Dewji ni mfanyabiashara Mwenye Uwezo mdogo sana wa kufikiri ndio sababu amemfuta kwenye orodha ya Rafiki zake
Nimeamua kumpuuza na kumuondoa kwenye orodha ya Rafiki zangu, amesema Waziri wa zamani wa Utalii Dr Kigwangalla
View attachment 2589854
Chanzo: Star tv Medani za Siasa
Huyo mpumbavu ni kapuku tuwewe wako wakurithi uko wapi, tajiri wa 20 na 21 duniani wamerithi
usiwe kama lijinga
Kama kigwa ana uwezo mkubwa wa kufikili, atoke kwenye siasa aingie kwenye biashara apige minoti awe biliwoneya
Mh. Kigwangala ni lazima atambue yupo katika mfungo wa Ramadhani, hali kadhalika MO. Ni vyema akamalizia vyema fungu la mwisho la "Laylatul Kadri" ili apate thawabu zote kwa Mnyaaz wake.Mbunge wa Nzega Vijijini Dr Hamis Kigwangalla amesema Mohamed Dewji ni mfanyabiashara Mwenye Uwezo mdogo sana wa kufikiri ndio sababu amemfuta kwenye orodha ya Rafiki zake
Nimeamua kumpuuza na kumuondoa kwenye orodha ya Rafiki zangu, amesema Waziri wa zamani wa Utalii Dr Kigwangalla
View attachment 2589854
Chanzo: Star tv Medani za Siasa
Hakuna kitu kinaniuma kusikia,.. Mo hana bilion 20' in Mo's voice [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ushahidi tasavaliHadi leo zile mali ni za baba yake.
Mwizi kakuibia nini wewe!?Kigwangala kuhusu MO kasema ukweli kabisa, sbb MO kwanza ni tapeli mkubwa, katapeli Simba, hajatoa hata senti ktk bil 20 za kununua shares za Simba, ila kachukua 51% ya shares za Simba, kiuwizi kabisa, Wizara ya Michezo na uongozi wa Simba uko kimya tu..
MO is a crook, muongo sana, mwizi
Wewe ndo hujaelewa.Watu wengi hawalijui hili.
Huwezi kuwa tajiri kama huna akili...Akili sio Utajiri
Acha uzushi wewe.
Mo hadi Forbes wanamtambua miongoni mwa matajiri wa Afrika wewe unasema hana maamuzi!!??
Huo ndiyo kama ule uzushi wenu kwamba Mbowe hana maamuzi ndani ya CHADEMA mpaka Mzee Mtei akubali!!