200% correctAkili sio Utajiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
200% correctAkili sio Utajiri
Akili sio Utajiri
Hujui ulisemalo. JPM alipewa tuzo ya ICAO kwa aina ya mageuzi mazima ya sekta ya anga yaliyopandisha asilimia za ufanisi wa anga mpaka tukafika asilimia 65 wakati miaka ya nyuma tulikuwa tukiishia asilimia 35 tu.Mageuzi gani yamefanyika kwenye sekta ya anga nchini ambayo mtu unaweza kujisifia nayo??
Watu wanaoenda bodi ya Simba sio kwamba wana akili sana, ni koneksheni, kujuana na sehemu ya siasa kusakia fursa nyingine zitokanazo na siasa.
Did he have to say it,hekima ilikuwa kunyamaza.Kigwangala hana hekima na busara.Huku tunaita kuropoka.Kweli lakini. Kigwangala ana nongwa ya kukosa uwaziri. Ila alichosema kwa MO ni kweli.
Shithole baba yakoNitakunyoosha, hutapata any chance ya kupumua, nyoko mtoto ww... shithole
Huyo badala amlaumu baba yake kuendekeza lewa na kukata viuno huku wenzake wakiwekeza, analaumi urithi wa mtuWe mbwiga, the Rockefellers au Rothschilds hawarithishani mali? Vipi familia ya British settler in Kenya, Lord Delamere? Walaumu wazazi wako kwa kutokukuachia chochote cha maana.
Kuwa wewe tajiri ulipe watu mamilioniMatajiri wa Tz wanalipa wafanyakazi laki nne kwa Mwezi Tena Mtu mwenye degree huku vibarua wakiondoka na elfu tatu, huku ukija kwa Ccm bit wizi mtupu
So kingwangwala ni ubabaishaji mwizi huku mo na yeye ni tajiri uchwara.
Wewe Baba yako ana nini?Hadi leo zile mali ni za baba yake.
😆😀😂 Na si ajabu lenyewe liliachiwa urithi, yet huo urithi halikuundeleza hadi ukaisha. Kuundeleza uithi si jambo robo;Mo apongezwe.Huyo badala amlaumu baba yake kuendekeza lewa na kukata viuno huku wenzake wakiwekeza, analaumi urithi wa mtu
Kwanini mnadhani tupo sawa? Kama baba yako ameshindwa ni juu yako, wengine wazazi wetu walikuwa viongozi wa Babu na baba zenu.Wewe Baba yako ana nini?
Katika kifo sote hugeuka maskini ghafla, maana hatubebi chochote kule tuendako baada ya kifo.Umemaliza? Haya naenda ukatafute vimilioni vyako kabla ujafa maskini.
Unakuta unaandika haya maneno upo uswahilini. Admin wakicheki IP zetu wataishia kucheka tu.Huyo badala amlaumu baba yake kuendekeza lewa na kukata viuno huku wenzake wakiwekeza, analaumi urithi wa mtu
Haya ni maneno ya wakosaji. Tafuta fursa ikamue to the last penny. Hujui ukifa utaenda wapi lakini unajua Duniani bila pesa mambo hayaendi.Katika kifo sote hugeuka maskini ghafla, maana hatubebi chochote kule tuendako baada ya kifo.
Rithi na wewe uoneUna uhakika MO ana uwezo wa kiuchumi au ni urithi
Sa km akili sio utajiri kuna haja gani ya kua na akili au izo akili zako znakusaidia nn km zimeshidwa kukupa pesa aunkukupa mbinu za pesa
shida zako zisikufanye utukane watu,tafuta vyako,piga kazi kwa bidii,acha kutafuta visingizioMatajiri wa Tz wanalipa wafanyakazi laki nne kwa Mwezi Tena Mtu mwenye degree huku vibarua wakiondoka na elfu tatu, huku ukija kwa Ccm bit wizi mtupu
So kingwangwala ni ubabaishaji mwizi huku mo na yeye ni tajiri uchwara.
siyo kweli ukiwa na uwezo mkubwa wa kufikiri ndo unakuwa tajiri hayo ni mawazo hasi kabisa.ingekuwa hivyo basi wasomi wengi wenye uwezo wa kufikiri wangekuwa matajiri lkn ukiangalia matajiri wengi si wasomi pia wasomi wengi siyo risk taker.Huyo hk kama anauwezo mkubwa wa kufikiri ni wakati sasa nayeye awe na uwezo wa kiuchumi kama Mo