Dkt. Kigwangalla: Mo Dewji ni mfanyabiashara Mwenye Uwezo mdogo sana wa kufikiri, nimeamua kumpuuza!

Dkt. Kigwangalla: Mo Dewji ni mfanyabiashara Mwenye Uwezo mdogo sana wa kufikiri, nimeamua kumpuuza!

Mbunge wa Nzega Vijijini Dr Hamis Kigwangalla amesema Mohamed Dewji ni mfanyabiashara Mwenye Uwezo mdogo sana wa kufikiri ndio sababu amemfuta kwenye orodha ya Rafiki zake

Nimeamua kumpuuza na kumuondoa kwenye orodha ya Rafiki zangu, amesema Waziri wa zamani wa Utalii Dr Kigwangalla

=====
Nukuu za Mbunge Dkt. Hamisi Kigwangwala alipozungumza na Chief Odemba

“Mohamed Dewj (MO) ni mfanyabiashara mwenye uwezo mdogo sana wa kufikiri hivyo niliamua kumpuuza na kumuondoa kwenye listi ya marafiki zangu”

“CAG alinionea sana kunitaja kwenye ubadhilifu, aliyepaswa kupewa tuhuma hizo ni Katibu Mkuu Prof. Mkenda siyo Mimi”

“Katibu Mkuu wangu Prof. Mkenda alikuwa na dharau , Mimi nilikuwa Bosi wake lakini alikuwa anakaidi maagizo yangu”

Chanzo: Star tv Medani za Siasa
Ccm ina vijana wa hovyo sana
 
Mbunge wa Nzega Vijijini Dr Hamis Kigwangalla amesema Mohamed Dewji ni mfanyabiashara Mwenye Uwezo mdogo sana wa kufikiri ndio sababu amemfuta kwenye orodha ya Rafiki zake

Nimeamua kumpuuza na kumuondoa kwenye orodha ya Rafiki zangu, amesema Waziri wa zamani wa Utalii Dr Kigwangalla

=====
Nukuu za Mbunge Dkt. Hamisi Kigwangwala alipozungumza na Chief Odemba

“Mohamed Dewj (MO) ni mfanyabiashara mwenye uwezo mdogo sana wa kufikiri hivyo niliamua kumpuuza na kumuondoa kwenye listi ya marafiki zangu”

“CAG alinionea sana kunitaja kwenye ubadhilifu, aliyepaswa kupewa tuhuma hizo ni Katibu Mkuu Prof. Mkenda siyo Mimi”

“Katibu Mkuu wangu Prof. Mkenda alikuwa na dharau , Mimi nilikuwa Bosi wake lakini alikuwa anakaidi maagizo yangu”

Chanzo: Star tv Medani za Siasa
duhh...tajiri MO!!!sema watu viburi!!!!
 
Unakosea sana kutesti kunywa K-Vant wewe Mzee. Saizi yako wewe ni Johnie Walker. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Mo ni Mkurugenzi wa Kampuni ya familia yao na yeye ndiye "Decision Maker" na mwenye "Final Say" kwa sasa. Kama unamsifia Shabiby na Gereji aliyoachiwa, unashindwaje kumsifu Mo kwa biashara aliyoachiwa na kuiendeleza?

Kiukwasi Mo na Shabiby nani ana ukwasi mkubwa??
Masikini WA kibongo roho mbaya
 
Wanaume WA Kibongo tafuteni Hela Acheni wivu
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Wivu tu unawasumbua
Hapa ni usimba na uyanga plus uccm
Mnatia Kinyaa
 
Wewe mbona Baba yako hajakuachia mali?
Umemmaliza huyo Chakubanga!Wiki angemfilisi baba yake kisa mbususu.Kuaminiwa na familia kama Mo inahitaji uwe na akili kubwa Kuliko ya Hk,Miaka ya 90's huyo baba ake Mo alikuwa anakimbizwa na Olam kwenye ununuzi wa Korosho,Kampuni ilikuwa ikijivuta,kumbe Mzee Dewji alikuwa anamuandaa kijana na Leo kaifikisha kuwa miongoni mwa Kampuni kubwa kabisa Afrika.Hk kachanganyikiwa.
 
Huyo hk kama anauwezo mkubwa wa kufikiri ni wakati sasa nayeye awe na uwezo wa kiuchumi kama Mo
Kwani MO ametumia ajili ipi kuwa na hUO utajiri,Wakati utajiri wote hUO Ameridhi kutoka kwa wazazi.Ni sawa TU na kusema dereva anayeendesha Gari Ana akili Sana kwa kuwa anajua kuendesha Gari.WAKATI MWENYE AKILI NI YULE ALIYEVUMBUA HILO GARI.Kigwangala yupo sahihi
 
Mbunge wa Nzega Vijijini Dr Hamis Kigwangalla amesema Mohamed Dewji ni mfanyabiashara Mwenye Uwezo mdogo sana wa kufikiri ndio sababu amemfuta kwenye orodha ya Rafiki zake

Nimeamua kumpuuza na kumuondoa kwenye orodha ya Rafiki zangu, amesema Waziri wa zamani wa Utalii Dr Kigwangalla

=====
Nukuu za Mbunge Dkt. Hamisi Kigwangwala alipozungumza na Chief Odemba

“Mohamed Dewj (MO) ni mfanyabiashara mwenye uwezo mdogo sana wa kufikiri hivyo niliamua kumpuuza na kumuondoa kwenye listi ya marafiki zangu”

“CAG alinionea sana kunitaja kwenye ubadhilifu, aliyepaswa kupewa tuhuma hizo ni Katibu Mkuu Prof. Mkenda siyo Mimi”

“Katibu Mkuu wangu Prof. Mkenda alikuwa na dharau , Mimi nilikuwa Bosi wake lakini alikuwa anakaidi maagizo yangu”

Chanzo: Star tv Medani za Siasa
Hivi kisa Cha Kigwangala kuvutana na Mo?
 
Back
Top Bottom