Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,670
Ngoja nichomeke kaswali! Hivi wanasayansi wanaweza kufanya utafiti ili wajue kama kweli Yesu alikufa na kufufuka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Papa Mtakatifu amesahau kuwa hapa bongo kuna mkuu wa malaika woteKatibu mkuu wa Baraza la Maaskofu (TEC), Dkt. Charles Kitima akiongea na BBC amesema Baba Mtakatifu ambaye ndio mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francisco amewataka kupokea ushauri wa wanasayansi kuhusiana na ugunduzi wa chanjo za Corona.
Dkt. Kitima amesema wao kama Kanisa watachukua tahadhari kama Mataifa yaliyoendelea yafanyavyo ikiwemo social distancing, kuvaa barakoa na kunawa mikono.
Fr. Kitima amesema kwa sasa wazee wengi wameacha kuhudhuria ibadani wakihofu maambukizi ya Corona.
Chanzo: BBC Dira ya Dunia
Maendeleo hayana vyama!
WanawezaNgoja nichomeke kaswali! Hivi wanasayansi wanaweza kufanya utafiti ili wajue kama kweli Yesu alikufa na kufufuka?
Ujinga mzigo sana.Kwahiyo Mungu amesema
Sayansi haiamini maombi kupamnana na Corona, wa kwetu anaamini, disqualifiedNi miongoni mwa wanasayansi ambao papa ametutaka tusikilize ushauri wao.
Hapo Chadema sidhani kama mna mwanasayansi hata mmoja maana mzee Sumaye na Dr Mollel walisharejea CCM!
Magufuli ni mwanasayansi ya afya? Au kwa vile anaitwa Dr ukadhani ni Doctor by professional.Ni miongoni mwa wanasayansi ambao papa ametutaka tusikilize ushauri wao.
Hapo Chadema sidhani kama mna mwanasayansi hata mmoja maana mzee Sumaye na Dr Mollel walisharejea CCM!
Mzee mangungu pamoja na kiburi ila jamaa ana msimamo ndio sababu anawafokea hata maaskofu wanaotaka kulamba miguu ya viongozi wa sasa. Take my word huyu jamaa atapata uaskofu ndani ya miaka 5 ijayo.Nani ampe Uasikofu! Hawezi pewa! Ana dharau na kiburi sana,hua ana wadharau hadi maboss wake! In short humujui Kitima wewe! Enzi akiwa VC Saut,tumeonja joto lake!
Ulishafanyika sana tu na majibu yalishapatikana.Jitahidi kusoma na kupeleleza mamboNgoja nichomeke kaswali! Hivi wanasayansi wanaweza kufanya utafiti ili wajue kama kweli Yesu alikufa na kufufuka?
Huyu Mungu aliyeletwa na Meli miaka ya 1880 siwezi kumuamini mkuu.Kwa hiyo kama wewe huamini jambo,therefore kila mtu na aamini kama unavyoamin wewe?
Hakuna mungu wala Mungu mkuu, ishi maisha yako vile utakavyo! Ukifa ndiyo mwisho wako, utarudisha hizo protons, neutrons and electrons kwa mmiliki wake, ambaye ni UNIVERSE!Mpuuzi kweli wewe... hakuna mungu kuna Mungu.
That's you. Ndiyo maana una haki ya kuiongelea nafsi yako na si nafsi za wengine, Faith ni personal issues.Huyu Mungu aliyeletwa na Meli miaka ya 1880 siwezi kumuamini mkuu.
Sawa kiongozi nimekusomaThat's you. Ndiyo maana una haki ya kuiongelea nafsi yako na si nafsi za wengine, Faith ni personal issues.
Nafikiri Father Dr. Kitima anamaanisha ya kwamba Baba Mtakatifu anawashauri wasizitumie chanjo za Corona kwasababu hazijakidhi viwango vya Kisayansi kwasababu zimechukua muda mfupi sana kuanza kutumika. Kwahiyo anawatahadharisha waumini wake kama Rais Magufuli alivyowatadharisha raia wake dhidi ya hizi chanjo!Ukifuata wana sayansi kawaida, process ya kuvumbua dawa au chanjo zina chukua muda gani ?
Pope Francis ameshauri watu wafuate ushauri wa kisayansi na kwamba waumini wanapaswa kutumia chanjo kujikinga pale inapotolewa na mamlaka husika.Nafikiri Father Dr. Kitima anamaanisha ya kwamba Baba Mtakatifu anawashauri wasizitumie chanjo za Corona kwasababu hazijakidhi viwango vya Kisayansi kwasababu zimechukua muda mfupi sana kuanza kutumika. Kwahiyo anawatahadharisha waumini wake kama Rais Magufuli alivyowatadharisha raia wake dhidi ya hizi chanjo!
Kibaraka hikiKatibu mkuu wa Baraza la Maaskofu (TEC), Dkt. Charles Kitima akiongea na BBC amesema Baba Mtakatifu ambaye ndio mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francisco amewataka kupokea ushauri wa wanasayansi kuhusiana na ugunduzi wa chanjo za Corona.
Dkt. Kitima amesema wao kama Kanisa watachukua tahadhari kama Mataifa yaliyoendelea yafanyavyo ikiwemo social distancing, kuvaa barakoa na kunawa mikono.
Fr. Kitima amesema kwa sasa wazee wengi wameacha kuhudhuria ibadani wakihofu maambukizi ya Corona.
Chanzo: BBC Dira ya Dunia
Maendeleo hayana vyama!
Ok let me make it a little bit simple , what is the reasonable time to complete hiyo circle, and confirm it to be ready to be used by human beings
Nani, papa?Kibaraka hiki