Dkt. Kweka wa Magic FM: Wanaosali muda mrefu wana 'Uwendawazimu' wanahitaji Tiba ya haraka ya Kisaikolojia

Dkt. Kweka wa Magic FM: Wanaosali muda mrefu wana 'Uwendawazimu' wanahitaji Tiba ya haraka ya Kisaikolojia

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
"Haiwezekani Mtu unasali Kuanzia Saa 12 asubuhi hadi Saa 12 Jioni au hata kwa Masaa 8 mfululizo ukawa Salama Kichwani mwako.

Napenda mno Ratiba za Ibada za Waislamu na hata Madhehebu mengine ya Kikristo ambapo zimepangiliwa kabisa muda na hauzidi dakika 45 mpaoa dakika 90 au 120 tu na hazizidi hapo.

Haingii Akilini Mtu Jumatatu hadi Jumatatu Yeye ni Kusali tu Asubuhi hadi Jioni halafu hapo hapo unamkuta analalamika ana Maisha magumu na Shida hazimuishi hawa Kisaikolojia wana tatizo Kubwa mno la Afya ya Akili ( Uwendawazimu ) na wanahitaji Tiba ya haraka sana" amesema Daktari ( Dkt ) Kweka wa Magic FM juzi akiwa katika 'Segment' ya Chumba cha Daktari ya Magic FM ndani ya Kipindi kizuri cha Morning Magic.pp

Dkt. Kweka popote pale ulipo kwa Makavu haya na Ukweli huu ambao GENTAMYCINE nimeupenda na Kuukubali tena 100% naomba nipendekeze kwa 'Intellectuals' Wote Tanzania tuchangishane na tukujengee Mnara wako wa Kumbukumbu kama Daktari Msemakweli Daima na usiye na Unafiki wala Uwoga.

Haya wale Wagonjwa wa Afya ya Akili mlioguswa na Ujumbe huu ( hasa hasa ) wa Kawe, Mwenge, Mbezi Kimara, Ubungo, Kigamboni, Mikocheni, Tegeta na Gongo la Mboto karibuni mjitetee kwani Sisi wengine akina GENTAMYCINE tunasali zile Ibada zilizoenda Shule na za Kisomi ( Kistaarabu ) ambazo unaingia Ibadani Saa 12 na Nusu Asubuhi na Saa 2 Kamili tunamaliza ili tuendelee na Majukumu mengine ya Kujenga nchi na siyo Kushinda Kutwa Ibadani mpaka unaanza Kupiga Miayo na Kushuhudia Shuhuda za Kipuuzi na za Uwongo Uwongo tupu.

Ninafurahi sana kuwa Roman Catholic!!!
 
Imani ndio ugonjwa mbaya kabisa wa akili kuikumba dunia, turudie mara ngapi?
Nakazia Imani ni Uwendawazimu unaosababisha watu wengi kupata Hallucinations,
Wanakua kama wendawazimu waliowehuka maana unakuta mtu anakesha anasali kutwa nzima milango hewa ya baraka hewa imjie kama miujiza awe tajiri na hafanyi kazi Sasa anapoona mambo hayaendi lazima awe frustrated na Mungu hamjibu na kama angekuwepo kweli sidhani kama angewajibu wendawazimu kama hao wanaoomba tu bila kufanya Kazi!
Pumbavuuuuu!
 
"Haiwezekani Mtu unasali Kuanzia Saa 12 asubuhi hadi Saa 12 Jioni au hata kwa Masaa 8 mfululizo ukawa Salama Kichwani mwako.

Napenda mno Ratiba za Ibada za Waislamu na hata Madhehebu mengine ya Kikristo ambapo zimepangiliwa kabisa muda na hauzidi dakika 45 mpaoa dakika 90 au 120 tu na hazizidi hapo.

Haingii Akilini Mtu Jumatatu hadi Jumatatu Yeye ni Kusali tu Asubuhi hadi Jioni halafu hapo hapo unamkuta analalamika ana Maisha magumu na Shida hazimuishi hawa Kisaikolojia wana tatizo Kubwa mno la Afya ya Akili ( Uwendawazimu ) na wanahitaji Tiba ya haraka sana" amesema Daktari ( Dkt ) Kweka wa Magic FM juzi akiwa katika 'Segment' ya Chumba cha Daktari ya Magic FM ndani ya Kipindi kizuri cha Morning Magic.pp

Dkt. Kweka popote pale ulipo kwa Makavu haya na Ukweli huu ambao GENTAMYCINE nimeupenda na Kuukubali tena 100% naomba nipendekeze kwa 'Intellectuals' Wote Tanzania tuchangishane na tukujengee Mnara wako wa Kumbukumbu kama Daktari Msemakweli Daima na usiye na Unafiki wala Uwoga.

Haya wale Wagonjwa wa Afya ya Akili mlioguswa na Ujumbe huu ( hasa hasa ) wa Kawe, Mwenge, Mbezi Kimara, Ubungo, Kigamboni, Mikocheni, Tegeta na Gongo la Mboto karibuni mjitetee kwani Sisi wengine akina GENTAMYCINE tunasali zile Ibada zilizoenda Shule na za Kisomi ( Kistaarabu ) ambazo unaingia Ibadani Saa 12 na Nusu Asubuhi na Saa 2 Kamili tunamaliza ili tuendelee na Majukumu mengine ya Kujenga nchi na siyo Kushinda Kutwa Ibadani mpaka unaanza Kupiga Miayo na Kushuhudia Shuhuda za Kipuuzi na za Uwongo Uwongo tupu.

Ninafurahi sana kuwa Roman Catholic.
Kwa Afya Yako ya Akili, Mwili, na Roho!
IMG_20220121_171304.jpg
 
"Haiwezekani Mtu unasali Kuanzia Saa 12 asubuhi hadi Saa 12 Jioni au hata kwa Masaa 8 mfululizo ukawa Salama Kichwani mwako.

Napenda mno Ratiba za Ibada za Waislamu na hata Madhehebu mengine ya Kikristo ambapo zimepangiliwa kabisa muda na hauzidi dakika 45 mpaoa dakika 90 au 120 tu na hazizidi hapo.

Haingii Akilini Mtu Jumatatu hadi Jumatatu Yeye ni Kusali tu Asubuhi hadi Jioni halafu hapo hapo unamkuta analalamika ana Maisha magumu na Shida hazimuishi hawa Kisaikolojia wana tatizo Kubwa mno la Afya ya Akili ( Uwendawazimu ) na wanahitaji Tiba ya haraka sana" amesema Daktari ( Dkt ) Kweka wa Magic FM juzi akiwa katika 'Segment' ya Chumba cha Daktari ya Magic FM ndani ya Kipindi kizuri cha Morning Magic.pp

Dkt. Kweka popote pale ulipo kwa Makavu haya na Ukweli huu ambao GENTAMYCINE nimeupenda na Kuukubali tena 100% naomba nipendekeze kwa 'Intellectuals' Wote Tanzania tuchangishane na tukujengee Mnara wako wa Kumbukumbu kama Daktari Msemakweli Daima na usiye na Unafiki wala Uwoga.

Haya wale Wagonjwa wa Afya ya Akili mlioguswa na Ujumbe huu ( hasa hasa ) wa Kawe, Mwenge, Mbezi Kimara, Ubungo, Kigamboni, Mikocheni, Tegeta na Gongo la Mboto karibuni mjitetee kwani Sisi wengine akina GENTAMYCINE tunasali zile Ibada zilizoenda Shule na za Kisomi ( Kistaarabu ) ambazo unaingia Ibadani Saa 12 na Nusu Asubuhi na Saa 2 Kamili tunamaliza ili tuendelee na Majukumu mengine ya Kujenga nchi na siyo Kushinda Kutwa Ibadani mpaka unaanza Kupiga Miayo na Kushuhudia Shuhuda za Kipuuzi na za Uwongo Uwongo tupu.

Ninafurahi sana kuwa Roman Catholic.
Ohoo! Mkuu! Umechokoza nyuki. Utapigiwa ombi 24hrs kwa siku saba mfululizo uote kibiongo!
 
Mkuu naunga mkono hoja. Mungu alituleta duniani kwa maagizo mahususi, nendeni mkaijaze dunia, siyo kusali. Sawa tusali, lakini siyo kwa style hiyo.
 
Asilimia kubwa watu wanaoshinda makanisani wako frustrated na matatizo mbali mbali either ugonjwa, maisha magumu ,kazi, matatizo ya ndoa na familia, ushirikina, kutopata watoto etc..kwahiyo mtu anakuwa frustrated na akili inavurugika kwa hiyo break ya kwanza nikushinda kanisani kutwa nzima. Watu wengi wanamtafuta Mungu awatendee miujiza ndio maaana wanajazana kwenye makanisa ya manabii . Wanaoenda for purpose ya ibada na kumwabudu Mungu na si miujiza na kushinda kutwa nzima Ni wachache sana

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Asilimia kubwa watu wanaoshinda makanisani wako frustrated na matatizo mbali mbali either ugonjwa, maisha magumu ,kazi, matatizo ya ndoa na familia, ushirikina, kutopata watoto etc..kwahiyo mtu anakuwa frustrated na akili inavurugika kwa hiyo break ya kwanza nikushinda kanisani kutwa nzima. Watu wengi wanamtafuta Mungu awatendee miujiza ndio maaana wanajazana kwenye makanisa ya manabii . Wanaoenda for purpose ya ibada na kumwabudu Mungu na si miujiza na kushinda kutwa nzima Ni wachache sana

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Na Mimi GENTAMYCINE nawaombea wasipone ( wasiponyeke ) katika hayo Makanisa yao ya 'Kukesha' Siku nzima ili waendelee kuwa hivyo hivyo 'Wapumbavu' na tuweze Kuwatia ( Kuwakaza ) vizuri kwani huwa ni wepesi sana Kutongozeka na Sisi 'Madomo Zege' tuliotukuka Mkuu.
 
Back
Top Bottom