Dkt. Kweka wa Magic FM: Wanaosali muda mrefu wana 'Uwendawazimu' wanahitaji Tiba ya haraka ya Kisaikolojia

Dkt. Kweka wa Magic FM: Wanaosali muda mrefu wana 'Uwendawazimu' wanahitaji Tiba ya haraka ya Kisaikolojia

Hawajui wakatoliki huyo wakatoliki wana sala ndefu za kurudia rudia naneno yale yale hadi uone kizunguzungu wanasali wanatumia Rozali utarudia rudia maneno yaleyale hadi ukome mpaka ufikie kuimaliza Rozali lazima utafute maji ya kunywa yalipo sauti inaweza kukukauka
Huyu ni mkatoliki nyemelezi.
Anavizia tu zile ibaada fupifupi ndo anashiriki.
 
Ndiyo,
Tupo frustrated.
Maisha ya duniani yamejaa frustration za kila aina.
Tunatumia ibaada pia kuondoa frustrations.
Maana Yesu anasema:

Mathayo 11: 28
"Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.
"
Kwa hiyo Ni kweli kabisa frustration zetu twazipeleka ibaadani , twapata pumziko.

Tunajua pia Gentamycin na washirika wako mna sehemu zenu za kupeleka frustrations zenu japo kwa kificho.
Tunajua mnazipeleka kwa waganga wa kienyeji, mnalala makaburini, na matendo mengine mengi mnayotenda gizani, yaani mnafanya ibaada ndefu pia kwa mungu wenu wa Giza gizani, halafu mnakija kijifanya wajanja Happ kwa kudhani mnayoyafanya gizani hatuyajui..
Shame on you..
Mkuu tena huko ndio balaa,kuna waganga hadi wana mabanda ya kulaza wageni na wagonjwa,mtu anaweza kukaa hata miezi mitatu kila siku anaogeshwa dawa makaburini na kuaguliwa
 
"Haiwezekani Mtu unasali Kuanzia Saa 12 asubuhi hadi Saa 12 Jioni au hata kwa Masaa 8 mfululizo ukawa Salama Kichwani mwako.

Napenda mno Ratiba za Ibada za Waislamu na hata Madhehebu mengine ya Kikristo ambapo zimepangiliwa kabisa muda na hauzidi dakika 45 mpaoa dakika 90 au 120 tu na hazizidi hapo.

Haingii Akilini Mtu Jumatatu hadi Jumatatu Yeye ni Kusali tu Asubuhi hadi Jioni halafu hapo hapo unamkuta analalamika ana Maisha magumu na Shida hazimuishi hawa Kisaikolojia wana tatizo Kubwa mno la Afya ya Akili ( Uwendawazimu ) na wanahitaji Tiba ya haraka sana" amesema Daktari ( Dkt ) Kweka wa Magic FM juzi akiwa katika 'Segment' ya Chumba cha Daktari ya Magic FM ndani ya Kipindi kizuri cha Morning Magic.pp

Dkt. Kweka popote pale ulipo kwa Makavu haya na Ukweli huu ambao GENTAMYCINE nimeupenda na Kuukubali tena 100% naomba nipendekeze kwa 'Intellectuals' Wote Tanzania tuchangishane na tukujengee Mnara wako wa Kumbukumbu kama Daktari Msemakweli Daima na usiye na Unafiki wala Uwoga.

Haya wale Wagonjwa wa Afya ya Akili mlioguswa na Ujumbe huu ( hasa hasa ) wa Kawe, Mwenge, Mbezi Kimara, Ubungo, Kigamboni, Mikocheni, Tegeta na Gongo la Mboto karibuni mjitetee kwani Sisi wengine akina GENTAMYCINE tunasali zile Ibada zilizoenda Shule na za Kisomi ( Kistaarabu ) ambazo unaingia Ibadani Saa 12 na Nusu Asubuhi na Saa 2 Kamili tunamaliza ili tuendelee na Majukumu mengine ya Kujenga nchi na siyo Kushinda Kutwa Ibadani mpaka unaanza Kupiga Miayo na Kushuhudia Shuhuda za Kipuuzi na za Uwongo Uwongo tupu.

Ninafurahi sana kuwa Roman Catholic!!!
Pole Sana, Mungu akusaidie!
 
"Haiwezekani Mtu unasali Kuanzia Saa 12 asubuhi hadi Saa 12 Jioni au hata kwa Masaa 8 mfululizo ukawa Salama Kichwani mwako.

Napenda mno Ratiba za Ibada za Waislamu na hata Madhehebu mengine ya Kikristo ambapo zimepangiliwa kabisa muda na hauzidi dakika 45 mpaoa dakika 90 au 120 tu na hazizidi hapo.

Haingii Akilini Mtu Jumatatu hadi Jumatatu Yeye ni Kusali tu Asubuhi hadi Jioni halafu hapo hapo unamkuta analalamika ana Maisha magumu na Shida hazimuishi hawa Kisaikolojia wana tatizo Kubwa mno la Afya ya Akili ( Uwendawazimu ) na wanahitaji Tiba ya haraka sana" amesema Daktari ( Dkt ) Kweka wa Magic FM juzi akiwa katika 'Segment' ya Chumba cha Daktari ya Magic FM ndani ya Kipindi kizuri cha Morning Magic.pp

Dkt. Kweka popote pale ulipo kwa Makavu haya na Ukweli huu ambao GENTAMYCINE nimeupenda na Kuukubali tena 100% naomba nipendekeze kwa 'Intellectuals' Wote Tanzania tuchangishane na tukujengee Mnara wako wa Kumbukumbu kama Daktari Msemakweli Daima na usiye na Unafiki wala Uwoga.

Haya wale Wagonjwa wa Afya ya Akili mlioguswa na Ujumbe huu ( hasa hasa ) wa Kawe, Mwenge, Mbezi Kimara, Ubungo, Kigamboni, Mikocheni, Tegeta na Gongo la Mboto karibuni mjitetee kwani Sisi wengine akina GENTAMYCINE tunasali zile Ibada zilizoenda Shule na za Kisomi ( Kistaarabu ) ambazo unaingia Ibadani Saa 12 na Nusu Asubuhi na Saa 2 Kamili tunamaliza ili tuendelee na Majukumu mengine ya Kujenga nchi na siyo Kushinda Kutwa Ibadani mpaka unaanza Kupiga Miayo na Kushuhudia Shuhuda za Kipuuzi na za Uwongo Uwongo tupu.

Ninafurahi sana kuwa Roman Catholic!!!
Kwani wewe mtu akisali zake hata mwezi shida yako ni nini?
Yaani mwingine asali huko,wewe uteseke?si umuache na kusali kwake wewe tafuta hela?
Yaani wewe unajua sana kuliko serikali ambayo imeacha watu wafuate imani zao kwa uhuru.

Kwa kua akisali zake hakupunguzii tonge la mboga yako,wewe unawashwa washwa nini?

Pambana na maisha yako,huku duniani si kila jambo lazima tufanane,wewe endelea kunywa bia ni tamu
 
Na Mimi GENTAMYCINE nawaombea wasipone ( wasiponyeke ) katika hayo Makanisa yao ya 'Kukesha' Siku nzima ili waendelee kuwa hivyo hivyo 'Wapumbavu' na tuweze Kuwatia ( Kuwakaza ) vizuri kwani huwa ni wepesi sana Kutongozeka na Sisi 'Madomo Zege' tuliotukuka Mkuu.
We' jamaa ni domo zege? Wewe si domo zege, ila hupendi kufuatilia demu kwa muda mrefu, hivyo unakata tamaa mapema. Hujui kubembeleza, unapenda vitu viwe programmed sana, na mademu zetu hawa hawapo hivyo. Wanataka kufuatiliwa, kubembelezwa, kunyenyekewa, kujaliwa n.k, ila Genta haupo hivyo! Unapenda shortcut mno kijana wangu!
 
Huyu ni mkatoliki nyemelezi.
Anavizia tu zile ibaada fupifupi ndo anashiriki.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyo Dk Kweka mwenyewe ana matatizo ya kisaikolojia ndio maana alisomea masomo ya saikolojia
 
Nadhani Dkt. Kweka angewasaidia kwanza wanaokunywa pombe kuanzia asubuhi mpaka usiku wa manane ambao ni wengi sana Tanzania na wenye matatizo makubwa mno sio ya akili tu hata kimwili,kiuchumi na kifamilia mfano Rombo-Kilimanjaro kuliko kuhangaika na watu wanaotumia mda mwingi kumwomba Mungu wao.
Sasa mbona wote wanafanana? Wote wakemewe kuacha kupoteza muda Bali wafanye kazi na waache kupoteza muda kwenye jambo moja huku wakiacha kutafuta vipato mwisho wa siku jukumu la Kwanza walilopewa na Mungu la kufanya kazi linawashinda mwisho wanaletea familia zao umasikini.
 
Mi naamini wenye kusali sana ndio wenye dhambi na maovu mengi ila wanamuogopa mungu. Ungejua mambo wamefanya au wanafanya ungezimia. Watu wema hawana ugomvi na mungu wala hawamuogopi[emoji1787].. kwa hivyo huwezi kuona wakilia masaa na masaa kumuomba mungu awasamehe. Huu ndio ukweli.
Ni kweli.
Tuna dhambi nyingi,
Tunamuogopa Mungu.
Tunahitaji muda wa kutosha kujipatanisha na Mungu.

Warumi 3 : 23
"kwa sababu wote wamefanya dhambi, na kupungukiwa na utukufu wa Mungu; "

Yohana 3 : 19
" Na hii ndiyo hukumu; ya kuwa nuru imekuja ulimwenguni, na watu wakapenda giza kuliko nuru; kwa maana matendo yao yalikuwa maovu. "

Yohana 3 : 20
"Maana kila mtu atendaye mabaya huichukia nuru, wala haji kwenye nuru, matendo yake yasije yakakemewa. "

Hata hivyo , Gentamycin na washirika wake jitafakarini kwa hayo maandiko hapo juu.

Kisha:-

Isaya 1 :18
"Haya, njoni, tusemezane, asema BWANA. Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama theluji; zijapokuwa nyekundu kama bendera, zitakuwa kama sufu. "

Isaya 1 :19
"Kama mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi; "

Isaya 1 : 20
"bali kama mkikataa na kuasi mtaangamizwa kwa upanga; maana kinywa cha BWANA kimenena haya. "
 
Kwanza ujifunze au nikufundishe kwamba kuna Ibada, misa na sala katika kanisa Katoliki.

Pili muhimu zaidi kanisa katoliki misa zake, ibada zake na sala zake hazitoki kichwani kwa padre wala Askofu, bali ni liturjia ya kanisa iko pale na ndio muongozo wa kanisa.

Hakuna Ibada ya Misa jumapili itakayozidi masaa mawili na kimsingi masaa hayo yanafika kwa uzembe tu wa matangazo baada ya ibada ya misa.

Hayo mambo ya Rozari mwezi wa Novena ni vitu si vya lazima kwa kila muumini kuhudhuria ni sawa na shule unaweza kusoma masomo yako bila tuition na ukafaulu vizuri tu kama tulivyosoma sisi zamani bila tuition na tufanya vizuri.

Niko bize kidogo nitarudi hapa kukupa shule zaidi.
Mkuu kwa Ufafanuzi wako huu mzuri, wa uhakika na uliojaa Madini tupu kutoka Kwako Mwerevu kwenda kwa huyo Juha Mwandamizi YEHODAYA naomba ruhusa yako sasa nikuite ama Daktari wa Falsafa ( Honorary PhD Holder ) au Professor ( Profesa )
 
Mkuu tena huko ndio balaa,kuna waganga hadi wana mabanda ya kulaza wageni na wagonjwa,mtu anaweza kukaa hata miezi mitatu kila siku anaogeshwa dawa makaburini na kuaguliwa
Kabisa ,..
Ndo Hawa wakirudi uraiani wanaanza sijui hakuna Mungu, sijui hakuna Nini,
Wee toka lini nuru na Giza vikakaa na kuelewana!
Kwa vyovyote vile mtu asiyekuwa na mambo ya gizani hawezi kuangaika na watu wenye ustaarabu wao wa ibaada , Kwani wanampunguzia Nini.
Kila mtu na afanye mambo kwa imani yake na kwa faida yake ya kimwili, kiakili na kiroho ili mradi havurugi Uhuru wa mwingine Alie kinyume nae..
 
Utakuta mtu anatoka na watoto saa 12 anarudi nao saa 8 hawajala ama wamekunywa vijuisi. Ukweli haya makanisa ya mabati full suti kama kota za polisi wanahangaika sana. Utakuta wana madaftari kabisa wanaenda kuandika somo la mchungaji. Aliyeharibu akili za waumini wa Kuhani Mussa, Mwamposa na mchungaji Rashid amewaweza sana. Halafu walokole asilimia 95 ni waongo na wakikukopa hawalipi.
Hakuna Watu ninaowadharau kama Walokole Mkuu ila ninachowapendea tu ni kwamba Ukiwatongoza na kuwaahidi ama Kuwapa Mimba au Kuwaoa au hata Kuwadanganya na Uongo unaokaribia Ukweli utawalala ( utawatia ) hadi Uwakinai kama vile GENTAMYCINE ninavyowakinai sasa na 'Mbunye' zao zinazotia Huruma ya Kiroho kila mara.
 
Asilimia kubwa watu wanaoshinda makanisani wako frustrated na matatizo mbali mbali either ugonjwa, maisha magumu ,kazi, matatizo ya ndoa na familia, ushirikina, kutopata watoto etc..kwahiyo mtu anakuwa frustrated na akili inavurugika kwa hiyo break ya kwanza nikushinda kanisani kutwa nzima. Watu wengi wanamtafuta Mungu awatendee miujiza ndio maaana wanajazana kwenye makanisa ya manabii . Wanaoenda for purpose ya ibada na kumwabudu Mungu na si miujiza na kushinda kutwa nzima Ni wachache sana

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hakika, umefafanua vizuri. Wanaokesha kwenye ibada kwa lengo la kuabudu ni wachache sana, Wengi wanaokesha na kushinda makanisani/misikitini ni wale wanaotaka miujiza kutokana na changamoto mbalimbali wanazopitia maishani
 
We' jamaa ni domo zege? Wewe si domo zege, ila hupendi kufuatilia demu kwa muda mrefu, hivyo unakata tamaa mapema. Hujui kubembeleza, unapenda vitu viwe programmed sana, na mademu zetu hawa hawapo hivyo. Wanataka kufuatiliwa, kubembelezwa, kunyenyekewa, kujaliwa n.k, ila Genta haupo hivyo! Unapenda shortcut mno kijana wangu!
Mkuu huwezi amini yaani hii post yako imenifanya nicheke sana kwani kuhusu Mimi umeongea 99% wa Uhalisia wangu halafu nahisi pia utakuwa unanijua vyema ( Personally ) kwani umepatia vingi vya Kunihusu na umepiga mule mule. Ninacheka mno hapa....!!!
 
"Haiwezekani Mtu unasali Kuanzia Saa 12 asubuhi hadi Saa 12 Jioni au hata kwa Masaa 8 mfululizo ukawa Salama Kichwani mwako.

Napenda mno Ratiba za Ibada za Waislamu na hata Madhehebu mengine ya Kikristo ambapo zimepangiliwa kabisa muda na hauzidi dakika 45 mpaoa dakika 90 au 120 tu na hazizidi hapo.

Haingii Akilini Mtu Jumatatu hadi Jumatatu Yeye ni Kusali tu Asubuhi hadi Jioni halafu hapo hapo unamkuta analalamika ana Maisha magumu na Shida hazimuishi hawa Kisaikolojia wana tatizo Kubwa mno la Afya ya Akili ( Uwendawazimu ) na wanahitaji Tiba ya haraka sana" amesema Daktari ( Dkt ) Kweka wa Magic FM juzi akiwa katika 'Segment' ya Chumba cha Daktari ya Magic FM ndani ya Kipindi kizuri cha Morning Magic.pp

Dkt. Kweka popote pale ulipo kwa Makavu haya na Ukweli huu ambao GENTAMYCINE nimeupenda na Kuukubali tena 100% naomba nipendekeze kwa 'Intellectuals' Wote Tanzania tuchangishane na tukujengee Mnara wako wa Kumbukumbu kama Daktari Msemakweli Daima na usiye na Unafiki wala Uwoga.

Haya wale Wagonjwa wa Afya ya Akili mlioguswa na Ujumbe huu ( hasa hasa ) wa Kawe, Mwenge, Mbezi Kimara, Ubungo, Kigamboni, Mikocheni, Tegeta na Gongo la Mboto karibuni mjitetee kwani Sisi wengine akina GENTAMYCINE tunasali zile Ibada zilizoenda Shule na za Kisomi ( Kistaarabu ) ambazo unaingia Ibadani Saa 12 na Nusu Asubuhi na Saa 2 Kamili tunamaliza ili tuendelee na Majukumu mengine ya Kujenga nchi na siyo Kushinda Kutwa Ibadani mpaka unaanza Kupiga Miayo na Kushuhudia Shuhuda za Kipuuzi na za Uwongo Uwongo tupu.

Ninafurahi sana kuwa Roman Catholic!!!

tatizo sio kusali mda mwingi.bali imani ikikukaa kichwani inaanza kukugeuza mwendawazimu. hakuna cha mkristo,muislamu wala nani!
 
Huyo Dk Kweka mwenyewe ana matatizo ya kisaikolojia ndio maana alisomea masomo ya saikolojia
Jamani basi imetosha kwa hizi 'Comments' zenu hapa kwani huku nilipo nacheka mpaka naanza kusahau kama leo Simba SC yangu inacheza na Mtibwa Sugar FC Saa 10 Jioni na kwamba Ushindi kwa Simba SC yangu huko ni ama Sare au Kufungwa tena kama ilivyokuwa kwa Mbeya City ili tuanze Kuchapana Bakora vizuri.
 
Sasa mbona wote wanafanana? Wote wakemewe kuacha kupoteza muda Bali wafanye kazi na waache kupoteza muda kwenye jambo moja huku wakiacha kutafuta vipato mwisho wa siku jukumu la Kwanza walilopewa na Mungu la kufanya kazi linawashinda mwisho wanaletea familia zao umasikini.
Wanafanana kwenye muda tu ila anaekunywa pombe muda mrefu ana hasara nyingi zaidi kuliko anayesali muda mrefu.

Kwanza hakuna mtu anasali saa moja mpaka saa 12 jumatatu hadi jumatatu,huyo Dkt.karopoka tu.

Ila kuna kuna mtu anakunywa pombe asubuhi mpaka usiku jumatatu hadi jumatatu,hao wapo wengi tu.
 
Ni kweli.
Tuna dhambi nyingi,
Tunamuogopa Mungu.
Tunahitaji muda wa kutosha kujipatanisha na Mungu.

Warumi 3 : 23
"kwa sababu wote wamefanya dhambi, na kupungukiwa na utukufu wa Mungu; "

Yohana 3 : 19
" Na hii ndiyo hukumu; ya kuwa nuru imekuja ulimwenguni, na watu wakapenda giza kuliko nuru; kwa maana matendo yao yalikuwa maovu. "

Yohana 3 : 20
"Maana kila mtu atendaye mabaya huichukia nuru, wala haji kwenye nuru, matendo yake yasije yakakemewa. "

Hata hivyo , Gentamycin na washirika wake jitafakarini kwa hayo maandiko hapo juu.

Kisha:-

Isaya 1 :18
"Haya, njoni, tusemezane, asema BWANA. Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama theluji; zijapokuwa nyekundu kama bendera, zitakuwa kama sufu. "

Isaya 1 :19
"Kama mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi; "

Isaya 1 : 20
"bali kama mkikataa na kuasi mtaangamizwa kwa upanga; maana kinywa cha BWANA kimenena haya. "
...."mtakula mema ya nchi"... Hii hutokea ukiwa hai au mpaka ufe kwanza na hukumu ipite ukutwe hauna kesi ya kujibu?
 
Back
Top Bottom